Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Nilikujibu kwamba Allah kamleta Muhammad kuelekeza alo ya amrisha na kuyakataza
Yupo sahihi kabisa adam na manabii wengine walikua waislamu
Wewe unaesema manabii wa kabla ya Muhammad hawakua waislam kwa kigezo gani?
Ahsante ni tajibu qadri ya uwezo wanguBasi kwa vile mwenzako kashidwa kujibu akakimbia. Umefanya vizuri kuja kumsaidia.
Tuambie, ili mtu awe muislamu anatakiwa afanye nini? Yaani kipi kinachomtambulisha muislamu?
Manabii wapi hawakuufuata?Kwa sababu uislamu nguzo zake na mambo yanayomtambulisha mtu kama muislamu hao manabii hawakufuata.
bwani munanichekesha uku nimebeba tofariKwa hiyo kilikuwepo ambacho hakikuwepo?Utata.
Propaganda hizoKwa akili hizi mtaendelea kupiga mazoezi ya kivita Maporini Mtwara na mtauwawa sana
Manabii wapi hawakuufuata?
Ahsante ni tajibu qadri ya uwezo wangu
Inatakiwa umuamini Allah s.w na Mtume wake au mitume yake(maana mitume ilikua mingi sana ila hapa tutamuongelea s.a.w kwakua ndio tupo kwenye wakati ama zama zake)
Una ushahidi kama hawakutekeleza nguzo tano kama Muhammad s.a.w ama umeamua tu kusema leta ushahidi kama hawakutekeleza hizo nguzo kama unavyodaiManabii wote kabla ya Muhammad hawajawahi kushika nguzo tano za uislamu.
Issa
Musa
Yakobo
Ibrahim
Adamu
N.k
Takbiiiir..!Mkiristo akifa ktk ukiristo wake ni sawa na mwanafunzi aliekamatwa na bomu chumba cha mtihani. Mtihani hata hahusahihishi
Mtupie tajiri yako halafu umwambie pole!bwani munanichekesha uku nimebeba tofari
Alokwambia kama Muhammad hakua anajulijana na manabii walopita nani haoKwa uelewa wako Issa, Yakobo, Ibrahim, Muda, Yunus walimuamini Allah na Mohamed?
Hao manabii hawamjui sio huyo Allah wala sio huyo Mohamed. Iweje useme walimuamini?
Nipo hapa Kitisi Makambako.Karibu ule numbu.Amina, hivi uko nchi gani?
Ntakupa mfano mdogo tu maana unaonekana hujui vingi kijanaKwa uelewa wako Issa, Yakobo, Ibrahim, Muda, Yunus walimuamini Allah na Mohamed?
Hao manabii hawamjui sio huyo Allah wala sio huyo Mohamed. Iweje useme walimuamini?
Mkuu nibakishie niko kwa Kihaka hapa nakujaNipo hapa Kitisi Makambako.Karibu ule numbu.
Uroho wenu wa mbunye tu.Maana wanawake wakiristo wanakosa
Astaghifilullah!Nakuja hapo.Nipo kwa Kilonge nanunua quinine.Mkuu nibakishie niko kwa Kihaka hapa nakuja
Watarudi ku avenge vifo vya watoto na Mama zao so mapigano yatarudi upya!! Violence doesn't end Violencehata hao HAMAS kama kuna siku nyingine wataichokoza Israel nitawakubali kweli ni ving'ang'anizi
Una ushahidi kama hawakutekeleza nguzo tano kama Muhammad s.a.w ama umeamua tu kusema leta ushahidi kama hawakutekeleza hizo nguzo kama unavyodai