Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel.

🚨🇱🇧🇮🇱 FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH

Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel dhidi ya Hezbollah, Iran na washirika wao.

Katz alisisitiza kwamba mashambulizi ya IDF nchini Lebanon yalikuwa ni kujibu shambulio kubwa la kombora na ndege zisizo na rubani zilizopangwa dhidi ya Israeli.

Alisisitiza haki ya Israel ya kujilinda na kufafanua kuwa Israel haitafuti vita vya kila upande.

Chanzo: Times of Israel

View: https://x.com/marionawfal/status/1827570053052600374?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Bwana Ritz umeruka Uzi wote kwa kuleta habari nusu


View: https://x.com/MarioNawfal/status/1827567632540651682

Hezbollah walipanga kurusha Makombora zaidi ya 6000 kuja kushtuka launchers zao zimeshambuliwa ghafla

Mtaendelewa kudanganywa baada ya kipigo wamekuja na hizo drama.

Rockets were fired at dawn from Lebanon towards Israel before the occupation launched its aggression on the south.

Israel is trying to promote to its audience that it carried out a preemptive attack, despite the fact that resistance strikes occurred beforehand.

**Al Mayadeen
 
Wanaukumbi.

Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel.

🚨🇱🇧🇮🇱 FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH

Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel dhidi ya Hezbollah, Iran na washirika wao.

Katz alisisitiza kwamba mashambulizi ya IDF nchini Lebanon yalikuwa ni kujibu shambulio kubwa la kombora na ndege zisizo na rubani zilizopangwa dhidi ya Israeli.

Alisisitiza haki ya Israel ya kujilinda na kufafanua kuwa Israel haitafuti vita vya kila upande.

Chanzo: Times of Israel

View: https://x.com/marionawfal/status/1827570053052600374?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Labda kukusaidia tu, naona haujaelewa chochote hapo ndugu,
1. Unaijua kazi ya Waziri wa Mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa?
2. Umeelewa ulichokiandika mwenyewe hapo aina ya uungwaji mkono anaoutaka?
3. Unaelewa kwanini anasema Israel ina haki ya kujilinda.

Ni kwamba Israel walipewa na UN eneo dogo sana, lakini kila wakishambuliwa wanawapiga adui zao na kuchukua maeneo yao. Hili la Gaza, tegemea Israel kutolirudisha eneo hilo kwa waPalestina. Litakaliwa kimabavu
 
Wanaukumbi.

Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel.

🚨🇱🇧🇮🇱 FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH

Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel dhidi ya Hezbollah, Iran na washirika wao.

Katz alisisitiza kwamba mashambulizi ya IDF nchini Lebanon yalikuwa ni kujibu shambulio kubwa la kombora na ndege zisizo na rubani zilizopangwa dhidi ya Israeli.

Alisisitiza haki ya Israel ya kujilinda na kufafanua kuwa Israel haitafuti vita vya kila upande.

Chanzo: Times of Israel

View: https://x.com/marionawfal/status/1827570053052600374?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Taifa teule linamuomba misaada kwa wasioteuliwa
 
Back
Top Bottom