Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

Mashetani yakishawapanda wanaanza kumchokoza Israel, mnarusha virocket Israel akijibu mnatunga uongo wa kuomba huruma, ngoja kwanza Israel aichakaze Lebanon, mtulie mkae kimya, wala msipige kelele pambaneni na myahudi.
 
Daah mnatukanana kisa vita vya Waarabu na Wayahudi ambao kiasili wao ni ndugu..
Harafu ninyi mpo busy kutukanana.
 
Katoliki ni ulimwengu, la ulimwengu. Universal. Mungu ni universal.
Inamaana tukigoogle au tukiangalia kwenye dictionary maana ya neno universal tutapata ni katoliki au hiyo ni tafsiri yako binafsi?
 
Inamaana tukigoogle au tukiangalia kwenye dictionary maana ya neno universal tutapata ni katoliki au hiyo ni tafsiri yako binafsi?
Unafahamu maana ya kutohoa? Hilo neno linatokana na neno la kigiriki "katholikos" . Anzia hapo uendelee. Slow ass niggas.
 
Israel akisema ni muongo ila magaidi wa Hezbollah wakisema ni ukweli, mbona ni kama ushabik wa Yanga na Simba tu.

It doesn't make any sense at all owing to the fact that the opinions are driven more by religious fanaticism than common sense.
Hicho kizungu chako cha kuunga unga hakiwezi kikaufanya uongo wa wazayuni kua kweli

Walete ushahidi
 
Katoliki sio warumi kasome tena sana tu. Kuna Maronite, byzantine etc, ya hamjui kitu.
Wewe ndio hujui kitu kama Mungu ni mkatoliki na ni ulimwengu wote kusingekuwa na miungu mingine wala Iman nyingine
 
Back
Top Bottom