Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Vibaya hivo lo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vibaya hivo lo
Maana ya katoliki ni nini na makatoliki ni nani na je Mungu ni mkatoliki?Taifa teule ni mkristo mbatizwa yani mkatoliki. Hao wengine ni takataka.
Magaidi ya Hezbola yanasaidiwa na Ayatolah wa Iran kwanini na Israel isisaidiwe?!Taifa teule linaomba msaada walidhani Hezbollah ni Gaza.
Katoliki ni ulimwengu, la ulimwengu. Universal. Mungu ni universal.Maana ya katoliki ni nini na makatoliki ni nani na je Mungu ni mkatoliki?
Inamaana tukigoogle au tukiangalia kwenye dictionary maana ya neno universal tutapata ni katoliki au hiyo ni tafsiri yako binafsi?Katoliki ni ulimwengu, la ulimwengu. Universal. Mungu ni universal.
Unafahamu maana ya kutohoa? Hilo neno linatokana na neno la kigiriki "katholikos" . Anzia hapo uendelee. Slow ass niggas.Inamaana tukigoogle au tukiangalia kwenye dictionary maana ya neno universal tutapata ni katoliki au hiyo ni tafsiri yako binafsi?
Hicho kizungu chako cha kuunga unga hakiwezi kikaufanya uongo wa wazayuni kua kweliIsrael akisema ni muongo ila magaidi wa Hezbollah wakisema ni ukweli, mbona ni kama ushabik wa Yanga na Simba tu.
It doesn't make any sense at all owing to the fact that the opinions are driven more by religious fanaticism than common sense.
Wewe ndio unatakiwa uslow ass maana umekuwa mtumwa wa fikra za warumi kwa maslahi yaoUnafahamu maana ya kutohoa? Hilo neno linatokana na neno la kigiriki "katholikos" . Anzia hapo uendelee. Slow ass niggas.
Katoliki sio warumi kasome tena sana tu. Kuna Maronite, byzantine etc, ya hamjui kitu.Wewe ndio unatakiwa uslow ass maana umekuwa mtumwa wa fikra za warumi kwa maslahi yao
Wewe ndio hujui kitu kama Mungu ni mkatoliki na ni ulimwengu wote kusingekuwa na miungu mingine wala Iman nyingineKatoliki sio warumi kasome tena sana tu. Kuna Maronite, byzantine etc, ya hamjui kitu.
Chuki ya kidini inamfanya awe na kufikili finyu sana na store zake za vijiwe vya kahawaMkuu, unajua kingereza au umetafsiliwa na huyo mleta mada? Msiwe mnakurupuka hata hujui kilichoandikwa.