Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

Israel waomba msaada wa kimataifa kwa Israel dhidi ya Iran na Hezbollah

Ila Israel waongo sana aisee.
Huwezi shambulia eneo dogo kwa ndege za kivita 100 kwa wakati mmoja.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Aaah aaah aaah Israel hapana ni muongo.
Hao USA wenyewe hata katika world war hawakuwahi kutumia ndege 100 kwa wakati mmoja.

Taarifa za Reuters zinasema Hizbollah walishambulia alfajiri na shambulio kweli limepenya hadi Israel.
Baada ya hilo shambulio ndio Israel ikatangaza kuwa imefanya preemptive strike kuharibu miundombinu ya Hizbollah.
Japo Hizbollah wanadai hakuna kilichoharibika na wanapanga shambulizi lingine baada ya Alfajiri.
Inamaana alianza kushambulia Hizbollah.

Ila hili la kurusha ndege vita 100 daaah hapana Israel muongo sana.
Screenshot_2024-08-25-13-14-01-09_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-25-13-14-12-96_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-25-13-14-34-06_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-08-25-13-14-50-82_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ila Israel waongo sana aisee.
Huwezi shambulia eneo dogo kwa ndege za kivita 100 kwa wakati mmoja.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Aaah aaah aaah Israel hapana ni muongo.
Hao USA wenyewe hata katika world war hawakuwahi kutumia ndege 100 kwa wakati mmoja.

Taarifa za Reuters zinasema Hizbollah walishambulia alfajiri na shambulio kweli limepenya hadi Israel.
Baada ya hilo shambulio ndio Israel ikatangaza kuwa imefanya preemptive strike kuharibu miundombinu ya Hizbollah.
Japo Hizbollah wanadai hakuna kilichoharibika na wanapanga shambulizi lingine baada ya Alfajiri.
Inamaana alianza kushambulia Hizbollah.

Ila hili la kurusha ndege vita 100 daaah hapana Israel muongo sana.View attachment 3078773View attachment 3078774View attachment 3078775View attachment 3078776
Israel akisema ni muongo ila magaidi wa Hezbollah wakisema ni ukweli, mbona ni kama ushabik wa Yanga na Simba tu.

It doesn't make any sense at all owing to the fact that the opinions are driven more by religious fanaticism than common sense.
 
Wanaukumbi.

Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel.

๐Ÿšจ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH

Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel dhidi ya Hezbollah, Iran na washirika wao.

Katz alisisitiza kwamba mashambulizi ya IDF nchini Lebanon yalikuwa ni kujibu shambulio kubwa la kombora na ndege zisizo na rubani zilizopangwa dhidi ya Israeli.

Alisisitiza haki ya Israel ya kujilinda na kufafanua kuwa Israel haitafuti vita vya kila upande.

Chanzo: Times of Israel

View: https://x.com/marionawfal/status/1827570053052600374?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

umevurugwa hadi kichwa cha habari umekivuruga kwa jinsi ulivyo na chuki kwa myahudi.
 
hawa wapumbavu wamebeba agenda ya kuharibu uchumi wa dunia kwa kuanzisha vita ya 3
 
Ila Israel waongo sana aisee.
Huwezi shambulia eneo dogo kwa ndege za kivita 100 kwa wakati mmoja.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Aaah aaah aaah Israel hapana ni muongo.
Hao USA wenyewe hata katika world war hawakuwahi kutumia ndege 100 kwa wakati mmoja.

Taarifa za Reuters zinasema Hizbollah walishambulia alfajiri na shambulio kweli limepenya hadi Israel.
Baada ya hilo shambulio ndio Israel ikatangaza kuwa imefanya preemptive strike kuharibu miundombinu ya Hizbollah.
Japo Hizbollah wanadai hakuna kilichoharibika na wanapanga shambulizi lingine baada ya Alfajiri.
Inamaana alianza kushambulia Hizbollah.

Ila hili la kurusha ndege vita 100 daaah hapana Israel muongo sana.View attachment 3078773View attachment 3078774View attachment 3078775View attachment 3078776
Wewe hujui kitu, ebu angalia mwaka 1986 wakati Gaddafi aliposhambuliwa na Marekani kwa kufanya vitendo vya kigaidi alishambuliwa na ndege ngapi.

 
Endelea kujidanganya.
Hiyo Gaza haikaliki
kimabavu.
Tambua Gaza ikikaliwa Baab al mandib itaendelea kushikiliwa na Yemeni na meli zitaendelea kushambuliwa na Galilee kaskazini mwa Israel kutaendelea kushambuliwa na Hizbollah.
Utambue kuwa bandari ya Eilat inayochangia pato kubwa kwa Israel haifanyi kazi kwasababu asilimia kubwa ya meli hupitia red sea ambako Yemen kapafunga.
Pia utambue Galilee kila leo raia wanakimbia,hadi kufikia sasa wameshakimbia raia laki tatu.
Sasa gharama ya kuikalia Gaza ndio hizo.
Unadhani Israel atakubali kuendelea kulipa hizo gharama!??
Sawa mkuu
 
Wewe hujui kitu, ebu angalia mwaka 1986 wakati Gaddafi aliposhambuliwa na Marekani kwa kufanya vitendo vya kigaidi alishambuliwa na ndege ngapi.


View: https://x.com/warintel4u/status/1827756633155666185?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wamenichekesha eti wameshambulia luncher za Missiles 6000 sijui hu uwongo watauficha wapi, kipigo walicho pigwa jana na Hezbullah kimevuruga akili zao ๐Ÿ˜„
#BREAKING Sayyed Nasrallah:

Tutatathmini matokeo ya operesheni yetu ili kuona kama majibu yetu ya leo kwa mauaji ya Fouad Shukr yalitosha au la, na kama hayakutosha, tutajibu wakati ujao.

Kwa hivyo kimsingi Sayyed Nasrallah aliwaweka Waisraeli kati ya chaguzi mbili mbaya:

Onyesha kuwa vifaa viliguswa ili Hezbollah ifikirie kuwa operesheni imekamilika, au iendelee kuwa macho ikingojea majibu mengine.
 
Wanaukumbi.

Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel.

๐Ÿšจ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH

Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel dhidi ya Hezbollah, Iran na washirika wao.

Katz alisisitiza kwamba mashambulizi ya IDF nchini Lebanon yalikuwa ni kujibu shambulio kubwa la kombora na ndege zisizo na rubani zilizopangwa dhidi ya Israeli.

Alisisitiza haki ya Israel ya kujilinda na kufafanua kuwa Israel haitafuti vita vya kila upande.

Chanzo: Times of Israel

View: https://x.com/marionawfal/status/1827570053052600374?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wameomba support kwa mambo "actions" wanayowafanyia na watakazo fanya. Soma kwa kuelewa. Read between the lines.
 
Wameomba support kwa mambo "actions" wanayowafanyia na watakazo fanya. Soma kwa kuelewa. Read between the lines.
Wewe punguni kweli hiyo โ€˜Actionโ€™ ipo wwpi kwenye hilo bandiko? Soma hiii.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Foreign Minister Israel Katz has written to dozens of foreign ministers, seeking support for Israel's actions against Hezbollah, Iran, and their proxies.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Nyie walokole mna shida sana.
 
#BREAKING Sayyed Nasrallah:

Tutatathmini matokeo ya operesheni yetu ili kuona kama majibu yetu ya leo kwa mauaji ya Fouad Shukr yalitosha au la, na kama hayakutosha, tutajibu wakati ujao.

Kwa hivyo kimsingi Sayyed Nasrallah aliwaweka Waisraeli kati ya chaguzi mbili mbaya:

Onyesha kuwa vifaa viliguswa ili Hezbollah ifikirie kuwa operesheni imekamilika, au iendelee kuwa macho ikingojea majibu mengine.
Mkuu wa Hezbollah Hassan Nasrallah anasema kundi la Lebanon lilikuwa limelenga kambi ya kijeshi ya Israel karibu na Tel Aviv.

Alisema hii ni mara ya kwanza kwa Hezbollah kutuma ndege zisizo na rubani kwa Israel kutoka eneo la Bekaa.
 
Wewe punguni kweli hiyo โ€˜Actionโ€™ ipo wwpi kwenye hilo bandiko? Soma hiii.

Foreign Minister Israel Katz has written to dozens of foreign ministers, seeking support for Israel's actions against Hezbollah, Iran, and their proxies.

Nyie walokole mna shida sana.
Mimi sio mlokole ila we unakatwa na waarabu. Linashindwa kusoma hapo kama mtume wenu."seeking support for ...." Iq fupi bana. Yani ipo hapo alafu halioni. Umepofushwa na ushabiki mandazi na udini. Huna akili. Soma tena kilaza ulie reseat.
 
Mimi sio mlokole ila we unakatwa na waarabu. Linashindwa kusoma hapo kama mtume wenu."seeking support for ...." Iq fupi bana. Yani ipo hapo alafu halioni. Umepofushwa na ushabiki mandazi na udini. Huna akili. Soma tena kilaza ulie reseat.
Angaliia shoga hili la kilokole linaogea uharo mtupu.
Mtoto wa kiume unaitwa paqwata kuna nini zaidi ya kupakwata.
 
Wanaukumbi.

Hezbollah wanaendelea kushambulia maeneo muhimu ya jeshi ndani ya Israel.

๐Ÿšจ๐Ÿ‡ฑ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ FM KATZ AWATAKA MSAADA WA KIMATAIFA KWA ISRAEL DHIDI YA IRAN NA HEZBOLLAH

Waziri wa mambo ya nje Israel Katz amewaandikia makumi ya mawaziri wa mambo ya nje akitaka kuungwa mkono na hatua za Israel dhidi ya Hezbollah, Iran na washirika wao.

Katz alisisitiza kwamba mashambulizi ya IDF nchini Lebanon yalikuwa ni kujibu shambulio kubwa la kombora na ndege zisizo na rubani zilizopangwa dhidi ya Israeli.

Alisisitiza haki ya Israel ya kujilinda na kufafanua kuwa Israel haitafuti vita vya kila upande.

Chanzo: Times of Israel

View: https://x.com/marionawfal/status/1827570053052600374?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hata Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ watawapa Msaada nakuapia
 
Back
Top Bottom