Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Israel yafanya shambulio baya nchini Lebanon na kuua zaidi ya 50, huku zaidi ya 300 wakijeruhiwa

Iran wamepiga marufuku kwa IRGC guards kutumia vifaa vya mawasiliano?. Ni mwendo wa P.O. BOX tu

Kwahiyo itakua hivi


P Box 11111
Gaza


Kwako, mpendwa shekhe kundecha,
Salaaam ama baada ya salamu tuna imani u mzima bado hujaangushiwa dhahama na mayahudi washenzi sana wale shekhe, wanatufumua sana vichogo.
Nia ya barua hii ni kukujulisha kuwa usitumie hata wembe kunyolea ndevu mana wembe nao wameuhack unabadilika unakua panga.


Wako ,mtiifu Shekhe Kitoga wa mwembe mtengu
 
Waliambiwa waondoke wamepigiwa hadi simu kwa kiarabu
Hezbollah Leo asubuhi waliwatangazia wananchi waendelee kusalimia kwenye nyumba zao wasiondoke Kwa mikwala Israel Ila baada ya kupigwa kipigo kikali wameondoka maelfu ya raia.
Hezbollah wakitoa ahadi ya kuwalipia Kodi Kwa baadhi ya wananchi ila imeshindikana Kwa raia kusikiliza propaganda...
Safari hii Hezbollah watakufa Sana tofauti na 2006
 
Bro kama hujui jambo sio lazima uliongelee.
Kambi za Hizbollah sipo umbali wa kilometa 50 na makazi ya raia.
Unasemaje yapo katikati ya raia!??
Ndugu yangu kama hujui kitu sio lazima ukieleze utaongopa na kujitia aibu.
Kambi iwe Mbezi makazi yawe Kigamboni je hiyo inaingia akili mtu ushambulie Kigamboni uache kambi Mbezi Luis!??
Wamejitakia... Hezbollah inawahusu nn vita ya Hamas? Mbona mataifa mengine ya kiarabu yasiyofungamana na Iran yana amani na maisha yanaendelea
 
Bro kama hujui jambo sio lazima uliongelee.
Kambi za Hizbollah sipo umbali wa kilometa 50 na makazi ya raia.
Unasemaje yapo katikati ya raia!??
Ndugu yangu kama hujui kitu sio lazima ukieleze utaongopa na kujitia aibu.
Kambi iwe Mbezi makazi yawe Kigamboni je hiyo inaingia akili mtu ushambulie Kigamboni uache kambi Mbezi Luis!??
IDF hawashambulii ovyo ovyo tu na hii ndio tofauti kati ya jeshi bora na vikundi vya wahuni, mara nyingi IDF huwa wanashambulia wanaposhambuliwa na wanapiga pale pale kwenye eneo yalipotokea makombora ( launching post) leo IDF wamepiga target karibu 300 za Hizbullah kwa maneno Yako unataka kusema wewe una akili zaidi kuliko MOSSAD yaani wakapige raia waache hayo maeneo ya Hizbullah ambayo ni tishio kwao?
 
Hezbollah Leo asubuhi waliwatangazia wananchi waendelee kusalimia kwenye nyumba zao wasiondoke Kwa mikwala Israel Ila baada ya kupigwa kipigo kikali wameondoka maelfu ya raia.
Hezbollah wakitoa ahadi ya kuwalipia Kodi Kwa baadhi ya wananchi ila imeshindikana Kwa raia kusikiliza propaganda...
Safari hii Hezbollah watakufa Sana tofauti na 2006
2006 Israel alikimbizwa Lebanon.
Kaa usilisahau hilo.
 
Usiangalie upande Mmoja! Upande wa pili fuatialia Hezbollah anavyopiga ndani ya Israel na kusababisha hasara kwa Israel.
Wataalamu wa maswala ya vita wanasema hata Vita ichukue muda gani mshindi kati ya Hezibollah na IDF hawezi kupatikana!
Isipokuwa Mashariki ya Kati nzima inaweza kujikuta katika vita hiyo.
Mtaalamu gani kayasema haya maneno?
 
Mkuu; usisahau Uganda kwa muda mrefu alikuwa na chokochoko maneno, matusi na kejeli dhidi ya Tz kwa muda mrefu hadi waTz wakaanza kumlaumu JKN ni kwa nini hataki kuwaruhusu TPDF waliokuwa na usongo na Iddi Amini awaachilie wafanye kazi yao? Hezbollah hawajaanza urushaji wa makombora na majigambo yao dhidi ya Israeli siku za karibuni.
Wacha walinywe kama walivyoligema.
Narudia comment ya tatu hii, hao wanaokufa sio Hezbollah, unapopiga jengo la Raia huui wanajeshi bali raia wa kawaida, soon utaona majina ya waliofariki ni vitoto na wanawake kwa asilimia kubwa, hasa huu muda wa asubuhi/Mchana ambao wanaume wapo makazini.
 
IDF hawashambulii ovyo ovyo tu na hii ndio tofauti kati ya jeshi bora na vikundi vya wahuni, mara nyingi IDF huwa wanashambulia wanaposhambuliwa na wanapiga pale pale kwenye eneo yalipotokea makombora ( launching post) leo IDF wamepiga target karibu 300 za Hizbullah kwa maneno Yako unataka kusema wewe una akili zaidi kuliko MOSSAD yaani wakapige raia waache hayo maeneo ya Hizbullah ambayo ni tishio kwao?
Jamaa ni muongo Sana
 
Bro kama hujui jambo sio lazima uliongelee.
Kambi za Hizbollah sipo umbali wa kilometa 50 na makazi ya raia.
Unasemaje yapo katikati ya raia!??
Ndugu yangu kama hujui kitu sio lazima ukieleze utaongopa na kujitia aibu.
Kambi iwe Mbezi makazi yawe Kigamboni je hiyo inaingia akili mtu ushambulie Kigamboni uache kambi Mbezi Luis!??
 
IDF hawashambulii ovyo ovyo tu na hii ndio tofauti kati ya jeshi bora na vikundi vya wahuni, mara nyingi IDF huwa wanashambulia wanaposhambuliwa na wanapiga pale pale kwenye eneo yalipotokea makombora ( launching post) leo IDF wamepiga target karibu 300 za Hizbullah kwa maneno Yako unataka kusema wewe una akili zaidi kuliko MOSSAD yaani wakapige raia waache hayo maeneo ya Hizbullah ambayo ni tishio kwao?
Bro unaongea na mtu mzima sio fala.
Una uhakika Israel haishambulii raia kimakusudi!?
Hivi unajua kama Israel ilimuua France official akiwa ofisini kwake Palestina??
Waliulizwa kwanini walilipua jengo la France official hawakujibu hadi leo.
Wewe shabiki wao unaweza ukatugaia jibu??
Au ndio utaleta kisingizio kile kile France consulate inaficha Hamas!?
Hapo hapo Lebanon hivi unajua kama kuna waandishi wa habari walilipuliwa wakiwa katika majukumu yao na walikua wanane wanne wakiwa wazungu!??
Na hawakuwa eneo la mapigano walikua eneo waliloambiwa kuwa salama halitaweza kuwafikia mapigano!??

Tuache huko twende Gaza ambako Israel sniper aliua wanawake wawili kwa sniper wakiwa kanisani.
Je hilo unalizungumziaje??

Narudia tena mkuu kama hujui kitu kaa kimya.Kambi za Hibzollah ziko karibia na mipaka ya Israel na zipo katika miinuko milimani sio karibu na raia.
ISrael ni nchi ambayo ikionekana kushindwa mapigano hushambulia raia ili kuleta hofu kwa wapiganaji.

NASUBIRI MAJIBU YA MASWALI YANGU HUKO JUU.
LEO NIKO NA WEWE MGUU KWA MGUU
.
 
Wako msikitini wanamlaumu allah kwa kuwatelekeza vipenzi vyake.
Hao ni wasiokua na imani kama wayahudi na manasara na mapagani, muislam hawezi kumulaum Allah. Liki mfika jambo tumeambiwa kusema Alhamdulillah au innalillah wainalillah rajiun.. unajifuta vumbi unasonga dini yetu ni muhimu kuliko uhai wetu iweje tuwe na lawama? Sisi ni watumwa tu kwani Allah ataleta wengine akiamua kama ambavyo amekua akifanya kuanzia aliowafuta kwa maji ya mvua kipindi cha nuhu, na akatuleta sisi hio ndio cycle
 
Israel hana mamlaka yoyote yale kwa Sheria ya kimataifa kuwaambia raia wa Nchi yoyote ile aondoke Nchini kwao.

Leo Kagame ama Museveni akiwaambia watu wa Mkoa wa Kagera waondoke halafu wa kapiga Kagera itakua wenye Tatizo NI Tanzania?
Hakuna taifa dunia halina adabu kama hilo, tatizo aliye tunga bibilia aliwapoteza makondoo wakamini eti taifa la Mungu. Huyo Mungu asichague US, China, Congo ambayo ni matajari au Saud Arabia na ni makubwa akachague kinchi kilicho undwa na UK 😄

Hao wanafanya genocide afu US anasema zipo wapi dalili 😄
 
Narudia comment ya tatu hii, hao wanaokufa sio Hezbollah, unapopiga jengo la Raia huui wanajeshi bali raia wa kawaida, soon utaona majina ya waliofariki ni vitoto na wanawake kwa asilimia kubwa, hasa huu muda wa asubuhi/Mchana ambao wanaume wapo makazini.
Majengo husika ndo yaliyokuwa yakitumika kuhifadhi silaha. Ndo maana waliambiwa waondoke kwenye majengo hayo. Lakini wao walikaidi.
 
At least 50 people have been killed and more than 300 wounded by Israeli air strikes in Lebanon, the ministry of health said Monday.

Also read >Wakazi wa Kusini mwa Lebanon wamepokea SMS zikiwataka kuhama kwenye nyumba zao

View attachment 3104244
Smoke billows over southern Lebanon following Israeli air attacks [Aziz Taher/Reuters]
Published On 23 Sep 202423 Sep 2024

Israeli air attacks on southern Lebanon have killed at least 50 people and wounded more than 300, according to the Lebanese Ministry of Public Health.

Children, women and medics were among the victims in Monday’s attacks that came after Israel told residents of southern Lebanon to evacuate from homes and other buildings where it claimed Hezbollah had stored weapons, saying the military would conduct “extensive strikes” against the group.

Lebanese media also reported that residents received text messages telling them to move away from any building where Hezbollah stores arms until further notice.

The warnings were the first of their kind in nearly a year of steadily escalating conflict that has forced the displacement of communities on both sides of the border.

On Sunday, Hezbollah launched about 150 rockets, missiles and drones into northern Israel in retaliation for strikes that killed a top commander and dozens of fighters.

The increasing strikes and counterstrikes have raised fears of an all-out war.

With Israel’s war on Gaza approaching the one-year mark, Hezbollah has decided to continue its strikes in solidarity with the Palestinians in the besieged and bombarded territory even as Israel says it is committed to returning calm to its northern border.

Source: Photos: Israeli air raids hit wide swaths of southern Lebanon, kill dozens
Nasema Lebanon 🇱🇧 waache haya mambo ya Israel 🇮🇱 watapoteaa hawaa

Wawashauri wanamgambo wao waachane na Israel watakufaa na kurudishwa nyuma
 
Bro unaongea na mtu mzima sio fala.
Una uhakika Israel haishambulii raia kimakusudi!?
Hivi unajua kama Israel ilimuua France official akiwa ofisini kwake Palestina??
Waliulizwa kwanini walilipua jengo la France official hawakujibu hadi leo.
Wewe shabiki wao unaweza ukatugaia jibu??
Au ndio utaleta kisingizio kile kile France consulate inaficha Hamas!?
Hapo hapo Lebanon hivi unajua kama kuna waandishi wa habari walilipuliwa wakiwa katika majukumu yao na walikua wanane wanne wakiwa wazungu!??
Na hawakuwa eneo la mapigano walikua eneo waliloambiwa kuwa salama halitaweza kuwafikia mapigano!??

Tuache huko twende Gaza ambako Israel sniper aliua wanawake wawili kwa sniper wakiwa kanisani.
Je hilo unalizungumziaje??

Narudia tena mkuu kama hujui kitu kaa kimya.Kambi za Hibzollah ziko karibia na mipaka ya Israel na zipo katika miinuko milimani sio karibu na raia.
ISrael ni nchi ambayo ikionekana kushindwa mapigano hushambulia raia ili kuleta hofu kwa wapiganaji.

NASUBIRI MAJIBU YA MASWALI YANGU HUKO JUU.
LEO NIKO NA WEWE MGUU KWA MGUU
.
Waisrael zaidi ya 100 waliotekwa na Hamas baada ya kuingia ndani ya Israel na kuua baadhi hili hukuona eti ee.
 
Jamaa ni muongo Sana
Bro mie sio kama wewe huwa siropoki naongea nilichothibitisha.
Hiyo ripoti ya mwaka jana 2023 Israel soldiers wamewapiga risasi wanawake wawili kanisani na wamewajeruhi 7 wakiwa na rifle inamaana wadunguaji walikuwa sniper.
Je hapa unasemaje!??
Mdunguaji wa mbali anakuweka katika target halafu anakufyatulia risasi je hii sio makusudi!??
Ulimwengu huu wa utandawazi utamdanganya nani??
Screenshot_2024-09-23-16-30-03-53_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-09-23-16-30-49-13_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Back
Top Bottom