1. Si kweli Hezbollah wanawalenga IDF tu bali hawana uwezo wa kuwafikia wananchi wa Israel. Nyumba zote za Israel zina mahandaki so wakati wa hatari king'ora kinalia wanaingia. Na leo wamehamishwa na serikali yao. Israel hawalengi raia ndio maana wanatangaza kabisa wahame. Lini Hamas au Hezbollah imewahi kuwatanga Waisrael wahame kabla hawajashambulia?
2. Kama ambavyo Israel inapata msaada toka USA, Hezbollah wanapata toka Iran, Lebanon na washirika wengine. Ni kwamba wanazidiwa uwezo, maarifa na teknolojia. Wenzao wakati wanachimba madesa, wao wanasoma madrasa.