Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Huyu kazi yake ilikua kupanga mipango yote ya matumizi ya fedha, yaani zipi zitumike kwenye ugaidi upi na wapi. Poleni kwa msiba wenzetu wa huku uswahilini mnaowaita wale ndugu.

Israel bado haijaanza kulipiza kisasi.

=========

Israel kills Hamas Economy Minister

PHOTO: GETTY IMAGES

Rear Admiral Daniel Hagari, spokesman for the Israel Defence Forces (IDF), has announced that the Israeli army has killed Jawad Abu Shamala, Hamas' Minister of Economy.

"Tonight [on the night of 9-10 October – ed.], an IDF aircraft killed Jawad Abu Shamala, the Minister of Economy of the Hamas terrorist organisation.

He was in charge of the organisation's finances and allocated funds to finance and manage terrorism inside and outside the Gaza Strip."

Hagari also stated that "one of the senior members of the political bureau of the Hamas terrorist organisation, who served as the head of the organisation's national relations department," had been killed as well.

pravda.com.ua
Watamchagua mwingine amrithi.

Pray for peace in middle east...🙏🙏🙏
 
Ninavyowakubaligi mitu ya Israel wote wanajitolea sans kwa ajili ya Taifa lao. Na hawanaga kuremba wala kukata tamaa. Na hapo ndio kwanza kazi inaanza. Ndio maana waziri mkuu katangaza ni vita vya muda mrefu. Hapo hizo za kutangazwa baadae zitaachwa,atakuwa anadokolewa mmoja mmoja kokote aliko. Na wote waliopanga mipango hii ovu na nyumba iliyopangiwa mipango na mtu alieanza anza hii mipango wote hesabuni hasara kwenu
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Hallo Israel ni hatari lile Taifa. Hapo ujue amezingirwa kila kona na sio hao tu Lebanon na Parestina,hapo ujue kuna korea kask kuna Iran pia. Lakini anapiga Lebanon huku anachakaza Hamas. Ni hii kweli itakuwa vita vya muda mrefu. Hawa kenge wamechokoza nyuki. Watapigwa wachakae. Wakawaulize Misri vile vita vya siku 6 viliwafanyeje
 
Kawaida hiyo.


Myahudi kishaxhezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.


Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Hii isitupe kiwewe kwamba kuna sehemu iliyokuwa imechukuliwa na Israeli imekombolewa. Tujikumbushe mwaka 1973 Waarabu waliposhambulia Israeli kwa kustukiza siku ya sikukuu ya Kiyahudi ya Yom Kippur. Misri ilishambulia upande wa Sinai na Syria ikashambulia wakati huohuo upande wa Golan Heights. Katika siku tatu Waarabu walikomboa sehemu kadhaa za ardhi yao zilizokuwa zikikaliwa na Israeli. Israeli ilichukua wiki mbili kujipanga na kujibu mapigo hayo ya kustukiza. Ndani ya wiki mbili wakaziteka upya sehemu zilizokuwa zimekombolewa na wakaenda mbali zaidi na kuteka sehemu mpya nyingine. Furaha ya Waarabu ilidumu chini ya wiki tatu wakaja wakapata kilio kikubwa zaidi. Waarabu hawakuweza kufanya cho chote mpaka Misri ilipokuja kurudishiwa kwa amani sehemu ya Sinai kutokana na mazungumzo ya Camp David kati ya Rais Jimmy Carter wa Marekani, Rais Anwar Sadat wa Misri na Waziri Mkuu Menachem Begin wa Israeli. Masharti ya kurudishiwa Sinai yalikuwa pamoja na Misri kuitambua Israeli kama nchi halali na kuanzisha uhusiano wa kibalozi. Makubaliano hayo yalifanyika Oktoba 1978, miaka mitano baada ya vita vya Yom Kippur vya Oktoba 1973. Sinai aliyorudishiwa Misri ilikuwa kwenye meza ya mazungumzo na si kwa ukombozi wa mtutu wa bunduki.
Hali kadhalika hivi sasa. Tusibweteke kwa mafanikio hayo ya kustukiza ya Oktoba 2023. Hatujui kilio kinachoweza kufuata. Aidha, sijui mwezi Oktoba unaashiria nini kati ya Israeli na Waarabu kwani vitu vingi vinatokea mwezi huo.
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
ushabiki wa kijinga kwa sababu vita haiko mlangoni mwako. Watakaoumia zaidi na kwa wingi ni raia wasio na hatia wa palestina maana kwa ulipizaji kisasi wa mazayuni, wataiteketeza gaza kwa wiki nzima.

Gaza strip itarudi kuwa katika zama za mawe.
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.
 
ushabiki wa kijinga kwa sababu vita haiko mlangoni mwako. Watakaoumia zaidi na kwa wingi ni raia wasio na hatia wa palestina maana kwa ulipizaji kisasi wa mazayuni, wataiteketeza gaza kwa wiki nzima.

Gaza strip itarudi kuwa katika zama za mawe.
Waliwachokoza wenyewe
 
Usiingie mtego wa MK254 kushabikia vita.

Mimi na ugalatia wangu sijapenda kabisa yanayoendelea pale Gaza, Ukraine, Sudan, DRC, Libya, Syria etc

Vita ni upumbavu na wehu mkubwa
Kuna watu hawajitambui. Walau Angegusa msoto wa RTS angeelewa unachomwambia kupita pita NS wanajikuta mchezo wanaujua sana.

Wawaulize ndugu zao wanaoenda walau PKO.
 
Kwa hiyo kwa maoni yako HAMAS walipaswa kuimbiwa taarabu baada ya kushambulia kwa maroketi.
HAMAS ni kundi la kigaidi.

Two mistakes wont correct the first mistake

CHildren of Israel and Palestines deserve protection. I believe the huntungdown the terrorists must also abstain the children phenomenum in the warzones.
 
Hii isitupe kiwewe kwamba kuna sehemu iliyokuwa imechukuliwa na Israeli imekombolewa. Tujikumbushe mwaka 1973 Waarabu waliposhambulia Israeli kwa kustukiza siku ya sikukuu ya Kiyahudi ya Yom Kippur. Misri ilishambulia upande wa Sinai na Syria ikashambulia wakati huohuo upande wa Golan Heights. Katika siku tatu Waarabu walikomboa sehemu kadhaa za ardhi yao zilizokuwa zikikaliwa na Israeli. Israeli ilichukua wiki mbili kujipanga na kujibu mapigo hayo ya kustukiza. Ndani ya wiki mbili wakaziteka upya sehemu zilizokuwa zimekombolewa na wakaenda mbali zaidi na kuteka sehemu mpya nyingine. Furaha ya Waarabu ilidumu chini ya wiki tatu wakaja wakapata kilio kikubwa zaidi. Waarabu hawakuweza kufanya cho chote mpaka Misri ilipokuja kurudishiwa kwa amani sehemu ya Sinai kutokana na mazungumzo ya Camp David kati ya Rais Jimmy Carter wa Marekani, Rais Anwar Sadat wa Misri na Waziri Mkuu Menachem Begin wa Israeli. Masharti ya kurudishiwa Sinai yalikuwa pamoja na Misri kuitambua Israeli kama nchi halali na kuanzisha uhusiano wa kibalozi. Makubaliano hayo yalifanyika Oktoba 1978, miaka mitano baada ya vita vya Yom Kippur vya Oktoba 1973. Sinai aliyorudishiwa Misri ilikuwa kwenye meza ya mazungumzo na si kwa ukombozi wa mtutu wa bunduki.
Hali kadhalika hivi sasa. Tusibweteke kwa mafanikio hayo ya kustukiza ya Oktoba 2023. Hatujui kilio kinachoweza kufuata. Aidha, sijui mwezi Oktoba unaashiria nini kati ya Israeli na Waarabu kwani vitu vingi vinatokea mwezi huo.
Nguvu hua inatoka marekan wakishtukizwa mbona wepesi tu
 
Solution ni mbili either waungane wawe nchi moja au wapalestina watawanywe kwenye nchi mbalimbali za kiarabu wakaanze upya maisha.
Yaani nchi ya Palestine isiwepo.

Waarabu washenzi sana,waondoshwe wote hapo mana walipewa nafasi ya kugawiwa mipaka wajitegemee wakakataa,sasahivi hata ile ardhi waliyokuwa wamepewa wagawane hawana wamebaki kulialia na kuleta ugaidi,pole yao.
 
HAMAS ni kundi la kigaidi.

Two mistakes wont correct the first mistake

CHildren of Israel and Palestines deserve protection. I believe the huntungdown the terrorists must also abstain the children phenomenum in the warzones.

Hivi ni vita mzee, reality not a movie, kule kwenye muvi ndio huwa tunaona magaidi yakishambulia na kujificha ndani ya raia wa kawaida, halafu makomando wanaingia kiaina na kuwaua humo humo bila raia yeyote kuathirika, ila hapa sasa hao magaidi kuwachomoa ndani ya raia sio rahisi kihivyo, unalazimika kupiga carpet bombing.

Kwako wewe ni rahisi kuongea ongea na kuandika kwenye mitandao maana upo sehemu yenye amani, hakuna anayeshambulia familia yako, ila ikujie mtu ashambulie watoto wako kisha aende akajifiche kwenye raia.
 
Kuna watu hawajitambui. Walau Angegusa msoto wa RTS angeelewa unachomwambia kupita pita NS wanajikuta mchezo wanaujua sana.

Wawaulize ndugu zao wanaoenda walau PKO.
Codetion imetulia sana, kwa mwenye akili atakubali na ku-like
 
Back
Top Bottom