Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Israel yafaulu kumuua waziri wa uchumi wa HAMAS

Ninavyowakubaligi mitu ya Israel wote wanajitolea sans kwa ajili ya Taifa lao. Na hawanaga kuremba wala kukata tamaa. Na hapo ndio kwanza kazi inaanza. Ndio maana waziri mkuu katangaza ni vita vya muda mrefu. Hapo hizo za kutangazwa baadae zitaachwa,atakuwa anadokolewa mmoja mmoja kokote aliko. Na wote waliopanga mipango hii ovu na nyumba iliyopangiwa mipango na mtu alieanza anza hii mipango wote hesabuni hasara kwenu
Halafu kingine, Israel hufuata watu hata kwa mataifa ya mbali, yaani kuna NAZI remnant walifuatwa hadi Argentina.
Myahudi hulipiza kisasi hata kama itachukua miaka 50, huwa mwendo wa kuiwanda tu.
 
Hivi ni vita mzee, reality not a movie, kule kwenye muvi ndio huwa tunaona magaidi yakishambulia na kujificha ndani ya raia wa kawaida, halafu makomando wanaingia kiaina na kuwaua humo humo bila raia yeyote kuathirika, ila hapa sasa hao magaidi kuwachomoa ndani ya raia sio rahisi kihivyo, unalazimika kupiga carpet bombing.

Kwako wewe ni rahisi kuongea ongea na kuandika kwenye mitandao maana upo sehemu yenye amani, hakuna anayeshambulia familia yako, ila ikujie mtu ashambulie watoto wako kisha aende akajifiche kwenye raia.
Nisikilize vizuri mkuu
Kama unaamini katika kisasi cha jino kwa jino basi mjadala huu una maana

Taifa la Israel lina Haki ya Kujilinda. Mimi na wengine tunaojua Historia tunaamini bila shaka kabisa kuwa waarabu wameikalia ardhi ya Israel isivyo haki lakini je kuua watoto kama HAMAS walivyofanya ndivyo kunaleta haueni?

Mtu mjinga ama mpumbavu asikulazimishe ukahama kutoka kwenye hekima na kufuata mkumbo wa upumbavu wake.

Tuikemee na kuilaani vita (aina yeyote), hata ya maneno bali tuwatafutie suluhu wanaogombana ili kustawisha amani na mshikamano.

Tanzania tuna utamaduni wa utani wa kikabila ambao unafanyika ktk misiba, sherehe na kadhalika. Chanzo cha utani huo ni kufunika machungu ya mauaji ya vita za kikabila zilizopelekea kugharimu maisha ya watu wengi. Waliamua kupatana na kugeuza uchungu kuwa utani.

Ukitumia akili kidogo utaona namna ambayo amani haijawahi kuwa chaguo baya
 
Kawaida hiyo.

Myahudi kishachezea kichapo ambacho hajawahi kupokea maisha yake yote.

Hata wafanye nini, ushindi bado ni wa Palestina, kwa muda mchache sana wameweza kukishikilia tena kipande cha nchi yao mpaka leo hii. japo kidogo lakini wamekichukuwa tena.

Leo alfajiri wamesukuma moto mwingine kutokea Lebanon.
Pole sana kwa machungu na mateso makali wanayopitia ndugu zako wa Palestina na hasa kina mama,wazee na watoto
 
Muisrael au mpalestina wakiuana hakunipunguzii wala kuniongezea kula yangu huku Tabata.

Kuna watu wanajikuta na wao wayahudi au wapelistina jinsi wanavyoshangilia yanayotekea huko, kipindi hicho si mu Israel wala Mpalestina anaejua kama kuna Kenya au Tanzania.
Our fellow black men have been murdered decades and decades They never protest
Leo majitu yanauana mbali huko kila mtu pray for Israel pray for Palestine
Wacongoman sio watu?..
Black tumerogwa
 
mnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Yupo kwa denial so ni lazima awe anarudia rudia tukio liliotokea siku 4 nyuma.Ukimwambia aongelee yanayoendelea sasa hivi utakuwa unamtesa sana.
 
mnafurahia kupiga ngumi moja huku mnapigwa ngumi 20 , hiyo ni dalili ya ukilaza , raha ngumi uzipige muda wote sio kupigwa muda wote uku unashangilia ngumi uliyopiga jana
Wao wafia dini huwa hawajitambui
 
Huyu kazi yake ilikua kupanga mipango yote ya matumizi ya fedha, yaani zipi zitumike kwenye ugaidi upi na wapi. Poleni kwa msiba wenzetu wa huku uswahilini mnaowaita wale ndugu.

Israel bado haijaanza kulipiza kisasi.

=========

Israel kills Hamas Economy Minister

PHOTO: GETTY IMAGES

Rear Admiral Daniel Hagari, spokesman for the Israel Defence Forces (IDF), has announced that the Israeli army has killed Jawad Abu Shamala, Hamas' Minister of Economy.

"Tonight [on the night of 9-10 October – ed.], an IDF aircraft killed Jawad Abu Shamala, the Minister of Economy of the Hamas terrorist organisation.

He was in charge of the organisation's finances and allocated funds to finance and manage terrorism inside and outside the Gaza Strip."

Hagari also stated that "one of the senior members of the political bureau of the Hamas terrorist organisation, who served as the head of the organisation's national relations department," had been killed as well.

pravda.com.ua
Aisee!
 
Pole sana kwa machungu na mateso makali wanayopitia ndugu zako wa Palestina na hasa kina mama,wazee na watoto
Na wewe pole zaidi, mabwana zako wa
kizayuni hiki ndicho kinawakuta:

Onyo, clip inatisha kutazama, kama huna moyo usitazame:



 
Back
Top Bottom