Tunaomba hizo picha za uharifu.Kumekucha!!!! 🙌
Base ya jeshi la anga, huko Isfahan, Iran yalipuliwa 🤔
.....
Israel, Iran play down apparent Israeli strike. The muted responses could calm tensions — for now
U.S. officials declined to comment as of early Friday, but American broadcast networks quoting unnamed U.S. officials said Israel carried out the attack.apnews.com
Waajemi ni wajeuri na watu wasiokubali kushindwa kwa unyongeHakuna vita jombaa ngoma imeisha hivyo.
Uzur Israel hajarusha mengi moja tuHabari za muda huu.......
Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq..........
====
Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan
Israeli missiles have hit a site in Iran, the United States' ABC News has reported, citing a US official, days after Iran launched a drone strike on Israel in response to an attack at the Iranian embassy in Syria.
Iran's Fars news agency said an explosion was heard at an airport in the Iranian city of Isfahan but the cause was not immediately known.
Several Iranian nuclear sites are located in Isfahan province, including Natanz, the centrepiece of Iran's uranium enrichment program.
Several flights were diverted over Iranian airspace, CNN reported.
Over the weekend, Iran launched hundreds of drones and missiles in a retaliatory strike after a suspected Israeli strike on its embassy compound in Syria earlier in April.
Most of the drones and missiles were downed before reaching Israeli territory.
Iran told the United Nations Security Council on Thursday that Israel "must be compelled to stop any further military adventurism against our interests" as the UN secretary-general warned that the Middle East was in a "moment of maximum peril".
Israel had said it was going to retaliate against Iran's 13 April missile and drone attack.
Analysts and observers have been raising concerns about the risks of the Israel-Gaza war spreading into the rest of the region.
Israel's assault on Gaza began after Palestinian Islamist group Hamas attacked Israel on 7 Ocober, killing 1,200, according to Israeli tallies.
Israel's military offensive has killed over 33,000 Palestinians in Gaza, according to the local health ministry.
Iran-backed groups have declared support for Palestinians, launching attacks from Lebanon, Yemen and Iraq.
This is a developing story and this article will be updated.
Follow the latest from SBS News at
, or on the SBS News app available on
or
View attachment 2967853
Israel is bombing Iran, Syria and Iraq at the same time.
Mbona hamjatuletea picha za uharibifu ?Hayo ni maneno ya serikali ya Iran kujifariji na kuwatuliza raia wake, taarifa zisizoegamia upande wowote zinasema miji saba ya Iran imepokea kichapo cha makombora ya chap chap na miundo mbinu kuteketea.
Limekanushwa na Nani.....???Mbona hili shambulio limekanushwa asubuhi hii?
Wamekushughulikia,ndio ukajua hawavai chupi.Pole sana,ndio dunia ilivyo,ila kaa nao mbali,au utakuwa upinde mzoefu.Wavaa Dela bila chupi
Hizo nchi za kiarabu ndo zizue WW III? Vita ya dunia ilikuwa inakadiriwa ingetokea baina ya Russia dhidi ya Ukraine sio hao Iran na Israel, kwa hesabu nyepesi tu, Israel atakuwa na upande wa washirika wenye nguvu sana sababu hata nchi nyingi za kiarabu hazifurahishwi na vitendo vya Iran.Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Mkuu usipoteze muda wako kusubiri taarifa zaidi Israel hajashambulia popote ndani ya Iran.Ngoja tusubiri taarifa zaidi.
Umemmaliza,akikujibu niite.Wacha kuota ndoto. Kwani Israel au Iran wenyewe wanasema je ndugu paroko?
View attachment 2967947
Kumbe hapo kumevaliwa suti?
Na wote wataufyata, ni suala la muda tu.Jamaa kapiga sehemu tatu kwa mpigo Iran, Iraq na Syria.
Nadhani kusudio lake halikuwa kuharibu bali kutuma ujumbe wa alichokifanya Iran na maneno aliyosema pale UN.........Uzur Israel hajarusha mengi moja tu
Wa Iran wamesema hakuna shambulio kutoka nje ya nchi limetokea,Limekanushwa na Nani.....???
Angalia BBC na aljazeera wako live wanalichambua.......na Israel wamekiri kuendesha shambulizi kama hatua moja wapo ya kulipa kisasi
Natambua unajua, ila unanijaribu tu. Ila sawa, link hiyo hapo chini. Kama GROBAL FIRE POWER hawapo sahihi unaweza kunipa “source” yenye takwimu nyingine sahihi.Hebu tuletee takwimu za nguvu za kijeshi baina ya nchi hizi mbili tuweze kukadiiria ushindi
Inawezekana ukawa sahihi hasa kwa uhalisia wa mambo yalivyo kwa sasa kwenye ukanda huo........Hizo nchi za kiarabu ndo zizue WW III? Vita ya dunia ilikuwa inakadiriwa ingetokea baina ya Russia dhidi ya Ukraine sio hao Iran na Israel, kwa hesabu nyepesi tu, Israel atakuwa na upande wa washirika wenye nguvu sana sababu hata nchi nyingi za kiarabu hazifurahishwi na vitendo vya Iran.
Piga hesabu zako vyema, nambie mshirika gani wa maana atasimama upande wa Iran? Russia ambaye anavuja jasho huko Ukraine? China? Hayupo. Upande wa Israel huko hakushikiki ana watu wengi sana nyuma yake.
Hii statement ina ji contradict yenyewe, vita ya tatu ya dunia itatokeaje wakati umesema Amerika kakaa kando? Ili vita ya tatu itokee si lazima hao allies wa Israel na Iran wawepo vitani?Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Waajemi ni wajeuri na watu wasiokubali kushindwa kwa unyonge
Hahahaha watu kama hawa huwa wananikata stimu kinoma. Kun wenzako kama wew huwaga wanatoa maoni kama haya kwenye jumbe za matangazo ya radio DW swahili. Utasikia "naomba urusi isiue wasio na hatia" utazan hao urusi wanawasikilizaWendawazimu wawili wamekutana na kila mmoja hayupo tayari kuishusha heshima yake mbele ya hadhira.
Amerika, Russia na China wanapaswa kuingilia kati kabla ya middle east haijaharibika.
Amerika asichochee vita hii bali awe msuluhishi bila ya kujali uhusiano wake na ISRAIL.
Hii inaitwa save the face hutaona video wala clipIsrael sijakuzoea hivi picha na video mpaka sasa zakutafuta kwa tochi.Peleka makombora Tehran tuone majivu.Vinginevyo naungana na wote wanaodai Iran ni maji ya shingo kwako.Mpaka itakapotangazwa vinginevyo.
Pamoja na kuwa najua lakini maarifa na elimu havina mwisho hasa kwenye medani za siasa na kiuchumi kimataifa.........Natambua unajua, ila unanijaribu tu. Ila sawa, link hiyo hapo chini. Kama GROBAL FIRE POWER hawapo sahihi unaweza kunipa “source” yenye takwimu nyingine sahihi.
Comparison of Iran and Israel Military Strengths (2024)