Sawa mkuu nilikua najaribu kumuelewesha tu jamaa ana mihemko sana.sasa kama hamjuani mnataka tusome mipasho yenu? Hebu jadilini mada iliyopo israel yafanya mashambulizi iran, iraq na syria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu nilikua najaribu kumuelewesha tu jamaa ana mihemko sana.sasa kama hamjuani mnataka tusome mipasho yenu? Hebu jadilini mada iliyopo israel yafanya mashambulizi iran, iraq na syria
OK; kesi imeisha turudi kwenye mada ya msingi. Israel na Iran......wamefanyanaje....Sawa mkuu nilikua najaribu kumuelewesha tu jamaa ana mihemko sana.
Ameshindwa kupiga nuclear sites pale Korea aende akapige Iran ?Hakuna kitu kama hicho
Hizo ni porojo tu.
Hitting nuclear sites in Iran is in the best interest of US. Itakuwa Pentagon wanapiga vigelegele kimya kimya muda huu
kumbuka mkataba wa amani wa camp david kati ya israel na misriNdoto za alinacha.
Ungekua unajua humu haulipwi usingekesha kumtukana mweusi mwenzio kisa vita ya watu weupe nyie weusi msiojielewa ndio mnasababisha wenzenu kuitwa nyani hujielewi eti unasema for fun yaani hata hujui maana ya mtandao unachokiandika hapa kinadumu milele watoto watakua wanasoma ujinga wa babu yao kweli jitu jeusi kama wewe kujielewa mpaka litawaliwe tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hii text yangu ya mwisho kwako usiponielewa basi.
Nina mashaka na uelewa wako.
Hii ni JF mzee watu wengine wapo humu for fun tu kujifurahisha basi.
Sasa wewe unapochukulia mambo serious nakushangaa sana.
Humu haulipwi mkuu.
Aisee😂😂😂😂 ujinga mzigo sana.
Halafu narudia tena hujui hujai niona unapokomalia suala langu la rangi unadhihirika kuwa ni mjinga.
Umewahi kuniona?
Unanijua nilivyo?
Usipende kupanik kwa ujinga mzee hii JF watu wanaongea na kuacha mambo hapa hapa.
Jaribu kuwa mtu mzima narudia tena jaribu kuwa mtu mzima haulipwi acha kupanik kwa ujinga.
Hebu leta picha ni sehemu gani Iran imepigwa.Mgalatia uchwara wewe. Siwaoni kina Kambaku na 100 others . Yani nyie ni judas na brutus.
God JESUS BLESS and PROTECT ISRAEL
JESUS AND ISRAEL FIRST AND FOREVER
IN JESUS WE MUST TRUST AND WORSHIP
ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE
JESUS IS GOD
View attachment 2968062
Hivi kiongozi mkuu akifariki hiyo nafasi inakuajeIsrael wamesubiri birthday ya Ayatollah ifike ndo washambulie 😂😂😂
Mwana intel wa kiajemi na habari za ndaaani kabisaAmeshindwa kupiga nuclear sites pale Korea aende akapige Iran ?
US haihitaji kuingia vitani hivi sasa, Israel ndio anataka kushinikiza kwa namna yeyote ile US iingie vitani, wanapeleka kila aina ya maneno ya uongo na intelligence zao uchwara za mchongo ili kuishawishi US kwamba Iran inarutubisha nuclear kwa matumizi ya silaha hatari ambapo itapelekea kuharibu amani ya dunia.
Lakini kwa response navyoona kwa US ni wazi sasa wamegundua waajemi hawana nia mbaya yeyote ya kuchafua amani hata kama wakimiliki silaha za nuclear.
{}Wacha kuimba kwaya wewe Netanyahu mwenyewe ka Kakiri hataki vita na Iran hakuna cha ndege wala Missiles wala drone zimetokea Israel kupiga Iran.
Hizo drones ni za wapinzani wa Iran tena hazikufanya madhara yeyote yale zimetunguliwa kama njiwa 😄
DuuuhNaona Izirael kaona awapige ISIS.
Nawewe unamuamini uyo Amerika!.Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi na mwisho wa Israel unakaribia, kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando.
Wee umbwaaa hao mbusii wako salama sisini?
Tamaa ni mbaya. Nia ndio nzuriNgoja tuuone kitatokea kipi, natamani siku moja Israel atandikwe
Au waamue wakutane PM wayajenge wakutane ana kwa ana hawa akina Kosugi na ChristopherPaul15 wazichape kavukavu. Maana hoja zimewashindasasa kama hamjuani mnataka tusome mipasho yenu? Hebu jadilini mada iliyopo israel yafanya mashambulizi iran, iraq na syria
Nilijua tu kuwa anafanya siasa za kipropaganda
Mbona Iran akujibu kwa Pakistan alipowatest wakamjibu fastaHao wote n wazee wa jino kwa jino Iran nae atajibu tu kwa kishindo
Hawezi kukuelewa katanguliza ushabiki bila kuangalia kitishoLakini hapo zilipopigwa Iran kuna vinu vya nyuklia karibu.....huoni kwamba huo ni ujumbe mzito Kwa Tehran kujipima....???