Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Hakuna kitu kama hicho

Hizo ni porojo tu.
Hitting nuclear sites in Iran is in the best interest of US. Itakuwa Pentagon wanapiga vigelegele kimya kimya muda huu
Ameshindwa kupiga nuclear sites pale Korea aende akapige Iran ?
US haihitaji kuingia vitani hivi sasa, Israel ndio anataka kushinikiza kwa namna yeyote ile US iingie vitani, wanapeleka kila aina ya maneno ya uongo na intelligence zao uchwara za mchongo ili kuishawishi US kwamba Iran inarutubisha nuclear kwa matumizi ya silaha hatari ambapo itapelekea kuharibu amani ya dunia.

Lakini kwa response navyoona kwa US ni wazi sasa wamegundua waajemi hawana nia mbaya yeyote ya kuchafua amani hata kama wakimiliki silaha za nuclear.
 
Ungekua unajua humu haulipwi usingekesha kumtukana mweusi mwenzio kisa vita ya watu weupe nyie weusi msiojielewa ndio mnasababisha wenzenu kuitwa nyani hujielewi eti unasema for fun yaani hata hujui maana ya mtandao unachokiandika hapa kinadumu milele watoto watakua wanasoma ujinga wa babu yao kweli jitu jeusi kama wewe kujielewa mpaka litawaliwe tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwana intel wa kiajemi na habari za ndaaani kabisa
 
{}
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…