Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

cheki hii kenge msukule ya waarabu. Iran imetandikwa miji saba (7) lakini pia Iraq na Syria same time zote kimenuka kma miji zaidi ya 12. Kenge anakuja kusema mji moja. Maislamu bhana hua maongo maongo tu majinga majinga tu.
View attachment 2967882
Saaa hapa waislamu wanahusikaje , mimi ni mkristo KKT ila naona umetumia akili ndogo mno kufikiria au ni shetani kakuongoza kuandika hapa
 
Mnatia aibu, Israel kawapa nini mmutukuze hivo? Mtu mweusi kwa Israel ni uchafu...watu wa ajabu Sana ninyi na Imani zenu za kinaskini.
Hapo lazima wachangikiwe kabla hawajafikiria kujibu wanapigwa tena zingine, hawajafikiria kujibu hizo wanapigwa tena zingine, kabla hawajafikiria kujibu wanapigwa tena zingine, mpaka hapo washaanza kua na magofu na Ile death count down inaanza kuandikwa, hawajafukiria kujibu wanashushiwa tena kitu kizito, mpaka hapo wanaanza kuomba POO, hawajafikiria kujibu wanapigwa tena zingine za kutosha, Israel akianza hua hamalizi mpaka useme
 

Israel bombs Iran and Syria​


18 APRIL 2024
Israel BOMBS Iran, Syria


Israel has reportedly launched Missile attacks against Iran, in an escalatory "response" to the Iran retaliation over Israel Bombing Iran's Embassy on April 1.
Reports are coming in saying Israel struck the Isfahan and Natanz nuclear facilities in central Iran, Iran Revolutionary Guard Corps locations in Iran, and several sites in neighboring country of Iraq.
Israeli missile launches follow Iran's attack last Saturday, where the country sent a volley of more than 300 uncrewed drones and missiles toward targets throughout the country, Israeli military officials previously said. All but a few were intercepted by Israel and its allies, including the United States, officials said.
That attack by Iran was lawful pursuant to Article 51 of the United Nations Charter, because Iran did that in response to Israel bombing the Iranian Embassy compound in Damascus, Syria, on April 1, in violation of the Vienna Convention on Diplomatic Relations.
Iran has previously warned that any attack upon Iranian soil, by Israel, would be met with a ferocious Iran response.
Now, the world waits to see how far this escalates.
LIVE UPDATES will appear below.

UPDATES IRAN HAS ORDERED A CLEARING OF ITS AIR SPACE, presumably for its missile response . . . .
Iran-clears-western-airspace.jpg

Iranian media are now reporting that Israel is responsible for the attacks.
PENTAGON CONFIRMS IT IS ISRAEL HITTING IRAN PER ABC NEWS
Residents of Zardanjan District: At 4:30 a.m. in Zardanjan in Isfahan, near the nuclear facility, many explosions were heard and Iranian air defenses tried to respond to the attack.

NOTAM Closing Iran Air Space:
Iran-NOTAM-04-18-2024.jpg

Multiple airports in Iran have closed per recent NOTAM postings.
This doesn’t appear to just be a Short-Term Suspension of Flights it seems to be a Mass Cancellation, which possibly indicates that Iran isn’t planning on Reopening its Western Airspace for a while.
GOLD and SILVER Spiking as Investors Flee for Cover:
Gold-2425.50.jpg

Iran's state-affiliated Fars News Agency confirms that at least 1 explosion has occurred in Isfahan, Iran

Sources linked to the Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) have now Confirmed that Israeli Missiles have Struck near City of Qahjaverestan within the Isfahan Province of Central Iran.
Media outlets affiliated with the Iranian Revolutionary Guard confirm that huge explosions occurred in the city of Qahjavarestan in Isfahan.
Reports of explosions in Iran (Isfahan), Iraq (Baghdad and Babil) and Syria.

Major explosions at this hour at Iran’s Isfahan and Nantanz nuclear sites.
Explosions near Isfahan Airport and the Iranian Army’s Hashtam Shikari Air Base

Heavy jet activity reported over Iraq and Syria. Unclear if USAF or IAF.

Iranian State Media is reporting that tonight’s Airstrike by the Israel Air Force may have Targeted the 8th Tactical Airbase of the Iranian Air Force, within Isfahan International Airport, which contains multiple Squadrons of F-14 “Tomcat” Fighter Aircraft.

An emergency meeting of the Iranian Supreme National Security Council.
Flights to Tehran, Isfahan, Shiraz and all other airports in western Iran suspended. - Mehr News

For reader Reference, the map below shows the locations of Iran Nuclear Program Sites:
Iran-Nuke-Site-Map.jpg


U.S. AIR REFUELING TANKERS ARE NOW UP OVER BAGHDAD, IRAQ (This could mean the US in refueling the Israeli aircraft used in the attack, and if this is true, US Bases throughout the Middle East will likely be targeted by an Iranian response. Iran warned of this exact scenario, days ago.)

Of note:
Iran's Foreign minister earlier today: "In case the Israeli regime embarks on adventurism again and takes action against the interests of Iran, the next response from us will be immediate and at a maximum level"
and IRAN TO STRIKE ISRAEL'S NUCLEAR SITES IF THEIRS GET HIT IRGC commander, Ahmad Haghtalab: "If the Zionist regime wants to take action against our nuclear centers and facilities, we will surely and categorically reciprocate with advanced missiles against their own nuclear sites.” Source: Sky News

Official Israeli government sources are keeping pure radio silence. That only happens when there is heavy censorship and complete coordination. Anyone who deals with Israeli sources, knows how unusual this is.

QUICK ANALYSIS: The major issue is Iran has now backed themselves into a corner after upping the ante earlier today about a response if attacked, now they will feel as if they do not respond they will be viewed as weak rather than a regional power. Which will likely result in another

IDF has allegedly hit 7 Cities Inside of Iran: Tehran, Fordow, Arak, Natanz, Kharg Island, Bushehr, Bandar Abbas
IRAN-CITIES-ATTACKED-MAP.jpg

Iranian state television reports strong explosions near Tehran

OF NOTE: Oil prices now up 4%

Syrian media is claiming Israel sent missiles from Jordan

The Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) is claiming to have Shot Down several Drones earlier over the Western Province of Isfahan.

Iranian officials and outlets are claiming that all explosions heard tonight are due to interceptions and that no explosions have occurred "on the ground"

This is Weird !
 
Mnatia aibu, Israel kawapa nini mmutukuze hivo? Mtu mweusi kwa Israel ni uchafu...watu wa ajabu Sana ninyi na Imani zenu za kinaskini.
Hakuna mtu hapa anamtukuza Israel lakini tunasema ukweli dhidi ya propaganda za waarabu weusi wa Buza.
Sasa Iran waliyekuwa wanamtukuza kaanza kupokea kipigo cha chap chap.
 
Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Hakuna WW3 ya aina hiyo. Ninyi hata M23 walipoanza uasi wai mlisema WW3 inanukia, alipokufa mwendazake mkasema hivyohivyo.

Trump alipoingia madarakani mkasema anaenda kusababisha vita duniani kote na hatimaye ww3.

WW3 siyo ya kusababishwa na vita hiyo. Sasa hivi endeleeni na maisha yenu tu.
 
Tayari Israel imejibu shambulio lililofanywa na Iran dhidi yake takriban wiki iliyopita.
Miripuko imesikiaka kwenye mji wa Isfahan ambapo Iran imekiri kutokea kwa shambulio hilo
Shirika la habari la nchi hiyo Fars limesema milipuko iliyosikika karibu na uwanja wa ndege wa Isfahan ni kutokana na droni za Israel zilizodondoshwa huko
Israel hana muda wa kupoteza na vidroni, kapeleka ndege kapiga kutokea Iraq.
 
Tayari Israel imejibu shambulio lililofanywa na Iran dhidi yake takriban wiki iliyopita.
Miripuko imesikiaka kwenye mji wa Isfahan ambapo Iran imekiri kutokea kwa shambulio hilo
Shirika la habari la nchi hiyo Fars limesema milipuko iliyosikika karibu na uwanja wa ndege wa Isfahan ni kutokana na droni za Israel zilizodondoshwa huko
Hakuna ka video mkuu?
 
Back
Top Bottom