Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

Hamna lolote waongo hao
1001994888.jpg
 
Labda Israel ataishinda Iran kwa mara ya kwanza katika historia ya dunia hii.
Maana huko nyuma, Iran (by then Uajemi), wamewahi kuwa watawala wa Israel. Huenda historia ikajirudia au Israel akawa-prove wrong.
Anyway, anything can happen.
 
Marekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........

Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
 
We
Wendawazimu wawili wamekutana na kila mmoja hayupo tayari kuishusha heshima yake mbele ya hadhira.

Amerika, Russia na China wanapaswa kuingilia kati kabla ya middle east haijaharibika.

Amerika asichochee vita hii bali awe msuluhishi bila ya kujali uhusiano wake na ISRAIL.
Wenda wazimu wawili nani na nani hapo mwendawazimu ni mmoja tu Israeli Wacha wazimu wako huoni yeye ndio muanzishi wa mabalaa yote duniani na khasa Mashariki yakati??
 
Wendawazimu wawili wamekutana na kila mmoja hayupo tayari kuishusha heshima yake mbele ya hadhira.

Amerika, Russia na China wanapaswa kuingilia kati kabla ya middle east haijaharibika.

Amerika asichochee vita hii bali awe msuluhishi bila ya kujali uhusiano wake na ISRAIL.
Wacha Israel aonje kitamu na yeye
 
Back
Top Bottom