KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
- #41
Lakini hapo zilipopigwa Iran kuna vinu vya nyuklia karibu.....huoni kwamba huo ni ujumbe mzito Kwa Tehran kujipima....???Hamna cha maana ,kule israel kakubali kwamba kambi zake mbili zimelipuliwa na wanajeshi kdhaa wamekufa