stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
NakubaliKwani Iran alivyorusha mabomu kuipiga Israel ilikuwa ni ujumbe kuwa hataki vita ila anataka urafiki na Israel!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakubaliKwani Iran alivyorusha mabomu kuipiga Israel ilikuwa ni ujumbe kuwa hataki vita ila anataka urafiki na Israel!?
Hizo silaha zenye thamani hazijafanya maangamizi yeyote hakuna majeruhi wala kilichoharibika.Israel sio Iran haiitaji Makombora 500 wala baliistic missiles 150.
Israel kila silaha yake inathamani
Tukumbuke urusi anamuunga mkono iran ,iraq na majirani zake na Marekani yupo upande wa Israel .. vita ya tatu hiyo inakujaTufanye ni kweli amesema anakaa kando, Je, atatulia bila kufanya chochote wakati vita ikizidi kupamba moto?
Umepotea sana mkuu
Ilikuwa ni kuitishia Israel asije akajaribu kujibKwani Iran alivyorusha mabomu kuipiga Israel ilikuwa ni ujumbe kuwa hataki vita ila anataka urafiki na Israel!?
America yupi wa kukaa kando? Hujui mambo mengi wewe...! Subili uone.America huyu ambaye hataki hata Palestine ipate kiti UN? Democrats wanacheza na akili za voters tuu( Arab Americans). Marekani imemtafuta mda mrefu sana Iran...hapo wanakoleza moto chini chini tu. Kama huelew hata Saudi Arabia anachekelea sana anaomba ipiganwe vita rasmi kati ya Iran na IsraelKuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Hizo taarifa zisizoegemea upande wowote hazina hata vipicha picha mkongwe!? Au hata video?taarifa zisizoegamia upande wowote zinasema miji saba ya Iran imepokea kichapo cha makombora ya chap chap na miundo mbinu kuteketea.
Win to win situation... Ndo kitu kilichotokea hapo ila Israel akizidi zaidi ya hapo Marekani atakua kando kusoma mchezoKuna kiongozi mkubwa Iran juzi kati hapa alisema marekani waliwatumia barua wakiomba Israel ijibu kwa kufanya shambulizi lisilo na madhara ndani ya Iran ili kuiondolea Israel aibu.
Naona ndicho kilichofanyika
Siwezi kukupinga ama kukubaliana na wewe.Bado upo chini kwenye kuelewa propaganda za kivita ndugu yangu......kwa watu wenye uelewa na mambo ya kivita hapo Iran kichwa kinamuuma na kuna maswali kibao anajiuliza.........
Saudi Arabia amekataa uwanja wake wa ndege vita kutumika dhidi ya Iran.America yupo wa kukaa kando? Hujui mambo mengi wewe...! Subili uone.America huyu ambaye hataki hata Palestine ipata kiti UN? Democrats wanacheza na akiliza voters tuu( Arab Americans). Marekani imemtafuta mda mrefu sana Iran...hapo wanakoleza moto chini chini tu. Kama huelew hata Saudi Arabia anachekelea sana anaomba ipiganwe vita rasmi kati ya Iran na Israel
Bado azijapnda kijana. Hacha taharuki ingawa bei zitapandaLakini nyasi tutaumia ndugu yangu.....si umeona bei za mafuta zimeshapanda......
Acha basi, unahisi viongozi wa Iran ni mbumbumbu kiasi cha kushindwa kutofautisha kati ya Israel na Msumbiji!?Ilikuwa ni kuitishia Israel asije akajaribu kujib
Imeshapanda kwenye soko la duniaBado azijapnda kijana. Hacha taharuki ingawa bei zitapanda
Kila mmoja anaihofia vita mkuu.inaonekana ilikuwa very limited strike, haifikii hata kiwango kile iran ilifanya kwa israel, naona walikuwa kama wanatoa msg kuonyesha kuwa wanao uwezo wa kuingia hadi ndani ya nchi. nafikiri cha kuangalia ni kama watapiga tena au la, ila hadi sasa iran bado ni boss. alichofanya israel ni kama kupiga alimradi tu ili na yeye aonekane hakukubali kupigwa, na inaonekana baada ya hii, hawatarushiana tena, kila mtu atamheshimu mwenzake. ugomvi utaishia hapo na iran itaendelea kuogopwa kwamba sio ya kitoto. let truth be told.
Labda Tu nikuambie.......vita ndio vinamuweka Israel huko tangu alipotangaza taifa lake.......kumekuwepo na majaribio kadhaa ya kuiondoa Israel upande huo lakini imeshindikana.......kwa lugha nyepesi Israel anakaa hapo kwa ngu u za kijeshi na msaada wa mataifa they nguvu duniani.......Siwezi kukupinga ama kukubaliana na wewe.
Ila kwa mimi Israel kichwa kinamuuma zaidi,maana Israel ni nchi ambayo bado inapitia vita kila leo.
Jumatano Hizbollah wameshambulia Galilee na kujeruhi watu saba.
Point yangu ni kwamba Israel amekaa vibaya sana katika huu mgogoro kiasi wananchi wao na baadhi ya viongozi wameshachoka na vurugu za kila leo.
Israel haina tofauti sana na Ukraine kila baada ya muda unasikia air siren mkuu.
Hii raia wameichoka.View attachment 2967951
Ngoja tusubili. Saudia analindwa na Marekani na ana base pale.Saudi Arabia amekataa uwanja wake wa ndege vita kutumika dhidi ya Iran.
Saudi Arabia na Iran wana mahusiano ya kidiplomasia kama haujui.
Saudi Arabia hawezi kutaka jambo hilo hata mara moja labda utuletee ushahidi wa usemayo.
US iko nyakati mbaya sana red sea kazi haijakamilika na Ukraine bado kubichi hawezi jihusisha na vita inhine kiwepesi.
US ni muongo,hawezi kuacha "satellite country" yake ipigweKuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Unasubiri mpaka katibu muenezi wa CCM atangaze kwamba Iran kashambuliwaHakuna lolote mpaa sasa hivi nimetaza Al Mayadeen TV hizi habari si kweli mpaa mda huu.