Ripoti zinasema shambulizi limefeli we unakuja kubwabwaja bila ushahidi.Una uhakika mkuu
Hivi huoni huko watu wanaleta ushahidi kuwa Israel shambulio limefeli!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ripoti zinasema shambulizi limefeli we unakuja kubwabwaja bila ushahidi.Una uhakika mkuu
Kama ni kweli hyo inaitwa liwalo na liwe, mwanaume umezaliwa siku moja utakufa siku mojaHabari za muda huu.......
Kumeripotiwa milipuko mikubwa kadhaa ndani ya Iran, Syria na Iraq..........
====
Israeli missiles have reportedly hit the Iranian city of Isfahan
Israeli missiles have hit a site in Iran, the United States' ABC News has reported, citing a US official, days after Iran launched a drone strike on Israel in response to an attack at the Iranian embassy in Syria.
Iran's Fars news agency said an explosion was heard at an airport in the Iranian city of Isfahan but the cause was not immediately known.
Several Iranian nuclear sites are located in Isfahan province, including Natanz, the centrepiece of Iran's uranium enrichment program.
Several flights were diverted over Iranian airspace, CNN reported.
Over the weekend, Iran launched hundreds of drones and missiles in a retaliatory strike after a suspected Israeli strike on its embassy compound in Syria earlier in April.
Most of the drones and missiles were downed before reaching Israeli territory.
Iran told the United Nations Security Council on Thursday that Israel "must be compelled to stop any further military adventurism against our interests" as the UN secretary-general warned that the Middle East was in a "moment of maximum peril".
Israel had said it was going to retaliate against Iran's 13 April missile and drone attack.
Analysts and observers have been raising concerns about the risks of the Israel-Gaza war spreading into the rest of the region.
Israel's assault on Gaza began after Palestinian Islamist group Hamas attacked Israel on 7 Ocober, killing 1,200, according to Israeli tallies.
Israel's military offensive has killed over 33,000 Palestinians in Gaza, according to the local health ministry.
Iran-backed groups have declared support for Palestinians, launching attacks from Lebanon, Yemen and Iraq.
This is a developing story and this article will be updated.
Follow the latest from SBS News at
, or on the SBS News app available on
or
View attachment 2967853
Israel is bombing Iran, Syria and Iraq at the same time.
USA kusema hivo ni mtego kwa wavaa kobaz,kwamba wajae mazimamazima kupima nguvu zaoKuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
We mbona una kichwa kigumu sana kuelewa ? Mimi nataka picha za shambulio la leo siyo hizo unazosema wewe.Picha ya nini nawakati watu walizika makomando waliouawa kwenye shambulio
Ukiona hivyo ujue shule ilikushinda mapema, pole sana.Mada yenyewe hata haieleweki
Very good mkuu 👍Ukiona haieleweki ujue haikuhusu!
hii gemu ingmfaa TRUMPWendawazimu wawili wamekutana na kila mmoja hayupo tayari kuishusha heshima yake mbele ya hadhira.
Amerika, Russia na China wanapaswa kuingilia kati kabla ya middle east haijaharibika.
Amerika asichochee vita hii bali awe msuluhishi bila ya kujali uhusiano wake na ISRAIL.
Sasa kama anaingia hasara wewe uanumia nini 🤣🤣Marekani wanahangaishwa sana na mtoto wao wa kambo.........
Ningependa mdau mwenye uelewa mpana wa siasa na uchumi wa kimataifa atudadavulie kuwa Marekani anafaidika nini na Israel mpaka kuingia hasara na kuhatarisha usalama wa taifa lake kiasi hicho
Kwa kweli hata mimi sikuiamini ilee kauli ya USA....lakini nilijua ni propaganda tu za kivitaNi lini USA alisema anakaa kando khs Israel mkuu? Kusema kwamba hatahusika na kuipiga Iran ila atailinda Israel ni kujitenga na Israel? (yaani unamwambia mtu kumpiga fulani mimi sitampiga. Ila wewe ukimpiga mimi nitakulinda na akitaka kukurushia ngumi mimi nitazuia ngumi zake).
Naona umekimbilia kum quote jamaa ili akupe support ya Like lakini kakupotezea 😂😂😂Hata wafuasi wake kulike tu wameshindwa ujue wameona mtoa mada ametoa boko
Hizi ni official data au ni dark news.....???Wanao Control Amerika ni jews Mfano kama Rothschild na wengine kwahiyo ni ngumu kutoisaidia Israel hata Rais wa amerika lazima ale kiapo cha kuisaidia Israel.
Inawezekana ni mpango kabambe wa siku nyingi..... Iran anatakiwa kuwa makini katika hiliHayo maneno tu mkuu, Israel hawezi anzisha ugomvi bila kupata baraka ya West. Jana Cameroon alisema ni swala la muda tu Israel kujibu mashambulizi na yataescalate kadri siku ziendavyo mbele.....
Hilo ndio wanaloliweza. Kashambulio ka kushtukiza kamefanyika, lakini kametulizwa. Yani mpaka sasa dunia haijui hata kama kuna kashambulio kalifanyika Iran.Israel shambulio pekee wanaloweza kuwafanyia Iran ni kuvizia mtoto mdogo wa miaka 6 wa Iran alie nje ya nchi wamuue kama wanavyofanya Palestine
Iran hakuna kitu kimetokea , Israel anakuzwa tu uli aendelee kudanganya watu 😅😅😅Wairan jaribu kuangalia wanaendelea na ishu zao kule Gaza sawa.Kama enzi ya jiwe hakuna korona ila ilienda nae
Pole sana wenzako wanasifia mvua imewanyeshea
Ameen 🙏Du, tuombe Amani, tuache ushabiki. Iran na Israel wote ni wakubwa