Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,585
- 1,546
Usije kusahau Kifo cha waziri mkuu WA Lebanon Rafik Harir.Waliomuua ni Hezbollah na damu yake naiona ikilipwa taratibu.Kisimi soleiman,,Imad Mugnie,,Jihad Mugnie,,na Yule mbwa aliekufa hivi karibuni Fuad shukr..Damu ya mtu sio engine oil kwamba unaweza kuimwaga gari ikitembea km 3000Wana wahost au wameingia kibabe.. imewacost kutoimarisha jeshi lao..
Pale mmatumbi wa mchambawima anapojifanya anamjua Netanyau kuliko Netanyau anavyojijuaNetanyahu mpoland,babaake alipohamia palestine ndiyo akajiita netanyahu,siyo kwao hapo
Pale mmatumbi wa mchambawima anapojifanya anamjua Netanyau kuliko Netanyau anavyojijua
| Nathan Mileikowsky | |
|---|---|
| Relative | |
|
| |
| Born | August 15, 1879 Kreva, Russian Empire |
| Died | February 4, 1935 (aged 55) Jerusalem, Mandatory Palestine |
| Citizenship | Russian, later British subject |
| Spouse | Sarah Mileikowsky (née Lurie) |
| Children | 9, including Benzion and Elisha |
Ni walebanon walioanzisha jeshi baada ya jeshi lililokuwepo kuwa legelegeKwa hiyo wao ni akina nani huko Lebanon?
Kikundi cha waasi, genge la uhalifu, waharamia waliojihami kwa silaha au ni akina nani na lengo lao ni nini?
Kwa akili yako inavyokutuma Bongozozo atakuwa mtanzania kwa maana ya asili yake na akisema sio yeye ni Muingereza utabisha.Nathan Mileikowsky
Nathan Mileikowsky (Hebrew: נתן מיליקובסקי; August 15, 1879 – February 4, 1935) was a Zionist political activist, rabbi, and writer. Mileikowsky's son was the scholar and academic Benzion Netanyahu, and his grandson is current Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu.
Nathan Mileikowsky Relative Born August 15, 1879
Kreva, Russian EmpireDied February 4, 1935 (aged 55)
Jerusalem, Mandatory PalestineCitizenship Russian, later British subject Spouse Sarah Mileikowsky (née Lurie) Children 9, including Benzion and Elisha
We papai, babaake netanyahu bwana benzion mileikowsky ni mpoland,akifuata dini ya yahudi, harakati za wayahudi ziliponoga wakarudi nchi ya ahadi,yaani mufti zuberi aseme saudi arabia ni kwao,we ulimtazama netanyahu na mpoland mwenzie lewandoski unaona tofauti!?Kwa akili yako inavyokutuma Bongozozo atakuwa mtanzania kwa maana ya asili yake na akisema sio yeye ni Muingereza utabisha.
Kwa akili yako inavyokutuma Bongozozo atakuwa mtanzania kwa maana ya asili yake na akisema sio yeye ni Muingereza utabish
Google Image Result for https://img.a.transfermarkt.technology/portrait/big/38253-1701118759.jpg?lm=1Kwa akili yako inavyokutuma Bongozozo atakuwa mtanzania kwa maana ya asili yake na akisema sio yeye ni Muingereza utabisha.
Visingizo? Hio habari ni kweli US alikuwa anamtafuta huyo kwa kuwambia atakaye toa infomation yake atampa 7 millions.
Aya toli..yeye asubirie kilemba kitalipuka 1day
Hata Muigizaji Mia khalifa ni likatoliki la Lebanon.Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Kweli we pungazeze madrasa imekuharibu kabisaa akili kiasi ambacho hufikirishi tena hata akili kiduchu uliyonayo kila uchafu unaokaririshwa na propaganda za kiislamu unabeba tu umekuwa kokoroWe papai, babaake netanyahu bwana benzion mileikowsky ni mpoland,akifuata dini ya yahudi, harakati za wayahudi ziliponoga wakarudi nchi ya ahadi,yaani mufti zuberi aseme saudi arabia ni kwao,we ulimtazama netanyahu na mpoland mwenzie lewandoski unaona tofauti!?
Kwa hiyo putin nae ni myahudi?Google Image Result for https://img.a.transfermarkt.technology/portrait/big/38253-1701118759.jpg?lm=1
Umemuona huyo mpoland,ana tofauti gani na netanyahu?
Peleka upumbavu wako huko nan hakuji wewe ni kobaziUngepinga hoja yangu kwa hoja sijawahi kuwa na dini yoyote , hata ningetaka dini ukristo usingekua chaguo langu.
Israel anasema meeting ya ma commander ya hicho kikosi cha Radhwan ilifanyika kwenye 2nd underground building ya chini kabisa, na kapewa infomation leo tu, sa ana uhakika gani hao macommander wamekufa au walikuwepo 💯. Mpaa mda hu kuna watu wameokolewa je kama huyo Commander yuko hai?
Kama israel kashindwa kumaliza kata ya gaza basi hawezi kushinda vita lebanon itaishia kujipamba kwa kuvizia na ndio kaburi lao!Kamanda Mkuu wa operations za kijeshi wa kundi la Hezbollah ndugu Ibrahim Aqil ameuawa mchana leo kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Israel Jijini Beirut nchini Lebanon.
=======
Hezbollah official Ibrahim Aqil in an undated photo. (US Department of State)
A source close to Lebanon’s Hezbollah says the Israeli strike in Beirut’s Dahiyeh neighborhood killed Ibrahim Aqil, a senior commander in the terror group’s elite Radwan unit.
“The Israeli air strike killed Radwan Force commander Ibrahim Aqil, its armed force’s second-in-command after Fuad Shukr,” who was killed by an Israeli strike in July, also in Hezbollah’s southern Beirut stronghold, says the source who requested anonymity to discuss sensitive matters.
Soma Pia:
..."likatoliki"...!Hapo unataka kumaanisha nini?Hata Muigizaji Mia khalifa ni likatoliki la Lebanon.
Muisrael ye anakula vichwa vya viongozi tu, what a bettle strategy haha😄😄Ndege za F-35 Leo zimefanya unyama Sana Lebanon.
Hili ni pigo kubwa Sana Kwa Hezbollah maana huyu kamanda wao ndiyo alikuwa master plan wa kundi, Acha tuone mwisho hii moviie maana Hezbollah wameomba msaada wa kijeshi kutoka Iraq
US ndio anawauwa siri imeanza kutoka anatoa 7 million ili apate information zao
View: https://youtu.be/VLCm_CJ1lPc?si=PG6fS7bKzVH0e-uS
Cha kushangaza huyu kamanda aliyekufa Leo alikuwa anatoka hospital alikokuwa amelazwa baada kulipukiwa na pagers