stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Ukitaka kuua mbwa mpe jina baya , hao wazayuni ndio wavamizi na magaidi kwenye nchi ya watu, fuatilia taratibu bila hisia za kidini .
Umeongea ukweli kabisa mkuu ,kweli bongo sie ni mashabiki maandazi😅Bora useme ukweli , ukifuatilia nyuzi humu unaweza kucheka ...Utaona ushabiki maandazi , kama sisi sote ni watanzania lakini mawazo yetu yapo tofuati sio kosa kuwa upande fulani ila pia tuangalie na ukweli uko wapi .
Hii vita inapigana pale lakini naona wanaokejeliwa waislamu wengine kama ni jambo la ushabiki , kuna vita ya Russia na ukraine hawa wote ni wakristo ila Russia ni wakristo hasaa ...Lakini huoni watu wakiongelea vbaya ukristo kwa sababu Russia anaua watu wa ukraine ambao wote kiimani ni ndgu .
Zipo page za watu wanawakosoa na kuunga mkono pande moja wap na watu hao ni miongoni mwa waislamu, wakristo , hata jewish baadhi wanapiga kitendo cha israel .Tanzania ni ubishani maandazi wala hatujui chochote .
Tufike wakati tusisambaze chuki tubaki ukweli hata kama usem israel ni powerful ila hiyo vita wanagawana madhara na haijaanza leo , wengi humu ni wadogo vita wameikuta .
Mbaya zaidi hatuna uhakika wa kihistoria kamili maana kila mtu anadai pale ni kwake . Pia. swali la kujiuliza Palestine na israel wamefikaje pale mpaka wakawa na miji yao ?
Unajua ukifuatilia media unaweza kushangaa sana na wtu wanachoongea huku , wajaribu kuangalia na kule ukraine watu wanavyokufa hao wote ni wakristo ila wameacha wamehamia kushambulia waislamu .Umeongea ukweli kabisa mkuu ,kweli bongo sie ni mashabiki maandazi😅
NakaziaIla anafanya kaz nzuri ya ku eliminate magaidi ya kiislamu hayo mengine hayatuhusu
Huna unachojua idiot kid. Jitahid upate cha kufanya kwanzaWazayuni ndio wavamizi
Huyo kila siku anajiandaa hamaliz tu?Iran anajiandaa lipiza
Na nyie si mkalilie IranUlimsikia netanyahu alivyokua akililia silaha toka marekani!?
Ahsante kwa taarifa...Netanyahu mpoland,babaake alipohamia palestine ndiyo akajiita netanyahu,siyo kwao
Usipoteze muda kumuelimisha huyu min -me mjinga. Mjibu mpumbavu sawa sawa na upumbavu wake.. hawa watoto shida wanajivika ujuaji mnoo mpaka unaona kero.Kwa taarifa tu, Lebanon ilikuwa nchi ya kikristu, ilivyokaribisha tu wanamgambo wa Palestina, ndio wamezaliwa Hezbollah, mengine imebaki hidtoria.
Hivi mnajua Insrael ana NukeWamewahi kukutana Mara mbili kwenye Medani za vita, ya kwanza ilisemekana Israel alidundwa na vita vya pili ilisemekana walitoka draw(sare sare).
Wakipigana vita sasa, itakuwa wanapigana kwa Mara ya tatu na Hezbollah walishasema kuwa kama vita vitaanza na wao hawataangalia sehemu za kupiga au kufuata kanuni za vita zinavyotaka. Kwahiyo watafanya kama wanavyofanya Israeli kuua Raia hovyo na kuangamiza Miji ya raia badala ya kupambana na jeshi na kulipua vituo vya kijeshi na Maghala ya Silaha.
Hivyo basi kwa kuwa wote hawatafuata kanuni za vita basi tutarajie vita vitakuwa vibaya sana kwa pande zote mbili, ijapokuwa Hezbollah watapata Madhara na Israel watapata pia Madhara, ukizingatia uwezo wa hezbollah umeongezeka tofauti na kipindi cha nyuma. Maana taarifa za Israel kupitia MOSSAD zinasema kwa sasa Hezbollah uwezo wake wa Makombora umeongezeka hadi kufikia laki moja na nusu, tena ni makombora yanayoweza kuongozwa na kuchagua wapige wapi na wapi wasipige.
Mwisho kabisa, tuache ushabiki vita ni mbaya maana Adolf Hitler alijona Mwamba na kiranja wa Dunia lakini leo hii Ujerumani ni ya kawaida tu. Dola ya Ugiriki, Roma, na Persian zote hazipo leo hii. Hata Uingereza alikuwa Super Power na kuwapa eneo Wayahudi pale pale Palestina(Israel) mwaka 1948 lakini leo hii Muingereza kawa kama Mandonga.
FUll kujichanganya..Hiyo ni kawaida kutokana na jamii ya utaratibu wa kiislamu lazima idadi yao ingekuja kuwa kubwa,hata huku tuendako mataifa mengi yenye wakristo wengi yatakua na idadi kubwa zaidi ya waislamu.
Lebanon hapo nyuma ilikua nchi ya kikristo kabisa waislamu pale wamevamiaKwenye Lebanese civil war iliyopita Israel iliwasaidia Wanamgambo wa Kikristo na sasa huenda ikawasaidia ili kuyaondoa Magaidi ya Hezbola na kupunguza nguvu zao wanazozipata kutoka kwenye Islamic Government ya Iran.
Huenda tukashuhudia Lebanon Civil war part 2.
Kapige nyeto kwanzaa akili ikikukaa sawa ndio urud kuongea na watu wenye akil kijana wa hovyo weweHata Muigizaji Mia khalifa ni likatoliki la Lebanon.
Achana na wajinga wajinga hao mkuu, hawajui lilote kuhusu uyahudi na mtawanyiko wa wayahudi.Kwa hiyo putin nae ni myahudi?
Pia Ufaransa ana ushawishi sana Lebanon....Lakini Haya mambo yataisha lini???Lebanon nchi nzuri inakwenda kuharibika sababu ya mabifu ya hesbolah (iran) na israel... walebanon halisi wenyewe ni watu wa kula goodtym na ku-vibe tu
Mimi nakuambia, mpaka waje washstuke kuwa pale Iran penyewe panaendeshwa na Myahudi watakua wameshachelewa sanaaaaaa...Nchi yoyote iliyoshirikiana na Hii Iran imekuwa failed state hili jambo linabidi lifanyiwe utafiti.
Watu wanaongea kuhusu Lebanon na Hezbollah Ila hawajui kuwa hiyo nchi uchumi wake umeanguka.
Ushia wa Iran uchunguzwe
Hatari sana.Lebanon hapo nyuma ilikua nchi ya kikristo kabisa waislamu pale wamevamia
Sema marekani wakapata habari,wakaamuru kambi yao ya kijeshi ishambulie