Chinchiler
JF-Expert Member
- Jul 29, 2022
- 1,513
- 2,019
Mmoja mmoja ndio mpango subiri wazike mwengine atafuataHadithi za Israel na Hezbollah ni kama hadithi ya Mungu na Shetani vile!
Mungu hajamwangamiza Shetani kwa makusudi flani.
Je Israel nayo haimwangamizi mkuu wa Hezbollah kwa makusudi flani?
Imeshindwaje kumlenga Jemedari wao Nasrala ili ugomvi ufikie mwisho,
?
Au ndiyo hayo ya kuishi shimoni kama nyaga, bila simu bila kompyuta?
Iweje walenge kidagaa wakati papa yupo, tunabaki tunajiuliza?
Hapo hatoboi mtu halafu saa zao zinakwenda kulipuka soonWana Hezbollah waliobaki wakijiuliza mara mbili mbili kama wanachokifanya (vita na Mzayuni) kitawalipa au lah?“wanajiuliza hivi kweli dah....na hali tutatoboa kweli?”View attachment 3101237
Kwamba wengine wanaenda kushoto, wengine kuliaLebanon kunawaka moto wanajukwaa.... aisei wavaa kobaz wanapoteana.... Myahudi amechafukwa....
Hao wakristo wa lebanon sisi hatuwatambuiHii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Hii sio vita ya kidini mkuu,halafu israeli dini kuu ni uyahudi kwahiyo mambo ya ukristo wao hawana habari nayoIla tukubali tukatae Lebanon kuna wakristo karibu nusu ya raia wote ,pia madhara ya kivita yanawapata wote .
Namkumbuka Benjamin Netanyahuh baada ya shambulizi la 7.10.2023, alisema wao wanapigana kulinda nchi na ardhi yao, na maadui ( waarabu) wanapigana kuhakikisha wanaondoka hapo walipo. Anqyepambana kukutoa kwako uta deal naye kwa hasira zote, na gharama zozoteLebanon wasipokuwa makini, beirut itabadilika na kuwa kama Gaza..
Myahudi anahakikisha anakuvuruga...
Naogopa sana.
serikari ya waziri mkuu Mr NAJIB MIKATI wao pia wana wasapot israel kimya kimya maana hilo kundi linaitaka nchi liitawale. kama ilivyo Rais wa palestina yuko kimya anajua Hamas wanaitaka nchiSasa mbona nchi yao imegeuka uwanja wa kurltestia silaha na wao wako kimya tu?
Sawa mzayuñiHao wakristo wa lebanon sisi hatuwatambui
X100000000000000
Wazayuni ndio wavamizi😂😂😂😂
Kwamba eti magaidi siyo wale hahah!
Hapigi raia anatafuta magaidiSasa mbona nchi yao imegeuka uwanja wa kurltestia silaha na wao wako kimya tu?
Wana wahost au wameingia kibabe.. imewacost kutoimarisha jeshi lao..Wanawahost hao Hezibolaa wa kazi gani? Mambo mengine hayana maana.