Israel yamuua Kamanda Mkuu wa operations za Hezblollah Jijini Beirut

Hapa nimeelewa namna alivyojichimbia kujificha aridhini chini ya quaters za Hezbollar akitumia makazi hayo kama ngao yake.
 
Israel hana mchezo asee mbona wataisoma Namba na hapo bado ,anagusa maeneo muhimu tu alianza na pagers,Leo kiongozi anasogea tu mbona mpaka waseme Hezbolah
Ajuza Nasrallah bleed ilikata ila leo imerudi tena upyaaa kwa kihoro, hapo alipo pampaz limejaaa
 
Wazayuni ndio wavamizi
Then in reality who is gaidi tukiiweka kauli yako pale juu kwenye uchambuzi huru?

Ndiyo ni wavamizi lakini nao huwa wanavamiwa so kilichotokea Oct 7 mwaka jana ule utauita siyo ugaidi na kinachotokea leo ndiyo ugaidi?hao wanawahiana tu mara hii mmoja kamuwahi mwenzake na ana nguvu zaidi acha awaonyeshe kilichomnyonyoa kanga manyoya duniani heshima hailetwi kwenye bahasha heshima inapiganiwa kama hivi.
 
Pole sana😆
Israel anasema meeting ya ma commander ya hicho kikosi cha Radhwan ilifanyika kwenye 2nd underground building ya chini kabisa, na kapewa infomation leo tu, sa ana uhakika gani hao macommander wamekufa au walikuwepo 💯. Mpaa mda hu kuna watu wameokolewa je kama huyo Commander yuko hai?
 
Netanyahu mpoland,babaake alipohamia palestine ndiyo akajiita netanyahu,siyo kwao hapo
 

Nathan Mileikowsky​



Nathan Mileikowsky (Hebrew: נתן מיליקובסקי; August 15, 1879 – February 4, 1935) was a Zionist political activist, rabbi, and writer. Mileikowsky's son was the scholar and academic Benzion Netanyahu, and his grandson is current Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu.
Nathan Mileikowsky
Relative
BornAugust 15, 1879
Kreva, Russian Empire
DiedFebruary 4, 1935 (aged 55)
Jerusalem, Mandatory Palestine
CitizenshipRussian, later British subject
SpouseSarah Mileikowsky (née Lurie)
Children9, including Benzion and Elisha
 
Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Dhambi yao nì moja tu, kuhifadhi magaidi wa Hezbollah
 
Hii hadithi ya wakristo wa bunyokwa kufurahi Lebanon 🇱🇧 ikipigwa na Israel inafurahisha sana , cha kushangaza Lebanon kuna wakristo wengi na ndio taifa peke mashariki ya kati wakristo wana haki sawa na waislamu.
Kwa taarifa tu, Lebanon ilikuwa nchi ya kikristu, ilivyokaribisha tu wanamgambo wa Palestina, ndio wamezaliwa Hezbollah, mengine imebaki hidtoria.
 
Kwa taarifa tu, Lebanon ilikuwa nchi ya kikristu, ilivyokaribisha tu wanamgambo wa Palestina, ndio wamezaliwa Hezbollah, mengine imebaki hidtoria.
Hiyo ni kawaida kutokana na jamii ya utaratibu wa kiislamu lazima idadi yao ingekuja kuwa kubwa,hata huku tuendako mataifa mengi yenye wakristo wengi yatakua na idadi kubwa zaidi ya waislamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…