FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina.
Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC