Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kimsingi ghorofa na nyumba nyingi Gaza Centre ni za Hamas, ndiyo wenye nguvu kwani wanaongoza eneo la Paslestina. Ni kama kulinganisha Msasani na Viongozi w CCMIdadi ya watoto wa kiume walio pigwa mabomu hao ndo wangekuwa khamas wa kesho.
Yah huu ni ushindi Kwa is real
Vice versa is trueNo ceasefire mpaka Palestina ipewe madaraka yake kamili.
Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Ni wengi sana na karibia 3000 wameshadakwa wako kwenye gereza za IsraelJe wapiganaji wangapi wa HAMAS wamepoteza maisha hadi sasa?
Katika lipi!?Inama Nikusweke' umesimamia upande gani?
Inama Nikusweke' unakalia upande upi?Katika lipi!?
Naona mnataka kupata kichambo muharibu siku😂😂FaizaFoxy kumbe ndio nickname yako hii hautuambii 😆
Anaitwa Bibi TarabushiNaona mnataka kupata kichambo muharibu siku😂😂
Mazayuni wameingizwa kichwa kichwa, sasa tazama kimbembe wanachoshushiwa mitaani:Mpaka sasa idadi ya waisraeli waliokufa toka October,7th ni 10% ya idadi ya magaidi na familia zao waliouwawa huko Gaza.Sababu kubwa ya familia za magaidi wakiwemo wanawake na watoto kuuwawa ni kuwa eneo la vita pamoja na ndugu zao magaidi(Hamasi).Walionywa waondoke lakini wamekaidi ili kupata huruma za dunia 🙄
Mazayuni wameingizwa kichwa kichwa, sasa tazama kimbembe wanachoshushiwa mitaani:
View: https://youtu.be/L-apt6xhElw?si=hQnEOp7lSd_DpiKe
Mazayuni wameingizwa kichwa kichwa, sasa tazama kimbembe wanachoshushiwa mitaani:
View: https://youtu.be/L-apt6xhElw?si=hQnEOp7lSd_DpiKe
Vipi allah kashindwa tangu 1948? Sasa unaendeleaje kuwa muislamu kama mungu wako ni dhaifu na anapewa kichapo kila siku?No ceasefire mpaka Palestina ipewe madaraka yake kamili.
Kila siku Israel ina tangaza wanajeshi wake kuuawa, leo tu wametangaza 10 kwenye mapambano sasa hamas kama wamekimbia na hawajulikani wako wapi hao wanao pambana na wanajeshi wa Israel ni majini au?Unajifariji tu hapa JF.
Kiuhalisia dunia yote inajua Hamas kwa sasa imepoteza udhibiti wa maeneo yote ya Gaza, haijulikani hata wako wapi, wamekufa au kukimbia wote.
Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Wakati huo ww unakula 2 ugali mlenda na kuandika no cease fireNo ceasefire mpaka Palestina ipewe madaraka yake kamili.