Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii video inasema wanajeshi 3000 wa Israel wamekufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inama Nikusweke' nikuulize sawali?Ndiyo maana wanapiga hovyo na midege
Unamjua alyemtoa bikra bi mkubwa wako? Muuliza🤣Angezaliwa wapi ahela madukani ? 😆
UlizaInama Nikusweke' nikuulize sawali?
1. Blah blah blahHii Taarifa na video husika mbona vinaacha maswali mengi bila majibu? Kwa mfano;
1. Maeneo ya Gaza hayana majina? i.e. Taja mtaa,kijiji, Mji au .....kwa sababu hata Kusini bado ni Gaza ile ile.
2.Vifaru na magari ya kivita sio Raslimali za mapigano? Chanzo cha Taarifa hii ni kipi?
3. Mbona safari hii hatajwi gaidi HAMAS ila anayetajwa ni Palestina?
4. Ushindi mkubwa unatakiwa uweje ndo uitwe ni ushindi mkubwa? i.e. huwa ni wa kiwango gani?
5. Mbona HAMAS ndiye anayewalengesha wagonjwa na watoto kwenye mapigano i.e. anawatumia kama ngao kujikinga dhidi ya kichapo kutoka kwa IDF na Hospitali + Mshule HAMAS kavigeuza kuwa ngome zake?
BTW:
IDF nawashauri msiangalie makunyanzi wala kusikiliza makelele ya magaidi.
Nyie IDF kazi yenu ni moja tuu; Twanga magaidi hadi watwangike bara'bara. Maswali ni baadaye.
We bikra yako alikutoa nani?Unamjua alyemtoa bikra bi mkubwa wako? Muuliza🤣
Inama Nikusweke' umesimamia upande gani?Uliza
Muulize b mkubwa wako leo ukifika hom akikwambia ndiyo utaniheshimuWe bikra yako alikutoa nani?
Wewe bikra yako hapo nyuma ulitolewa mwaka gani? Najua huko nyuma haukua hivyo wewe ni mkongwe Ila bikra yako ya huko nyuma ushaipotezaMuulize b mkubwa wako leo ukifika hom akikwambia ndiyo utaniheshimu
🤣🤣🤣Watu wa munyaazi kwa kujazana maujinga SI haba hongereni.
Hakuna rangi mtaacha kuona.1. Blah blah blah
Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Yeye Bibi Tashbura FaizaFoxy hawaiti Hamas anawaita Palestina 🤪Siyo kweli. Hii video nimeiona kitambo sana. In actual sense, magari mengi na vifaru viliingizwa gaza kati kama mbinu ya kuwatoa Hamas waliko. Vifaru vingi ni robotic. Ujinga wa Hamas wakaingia kingi. Wanachomoka wanapiga kifaru kinaendeshwa na roboti na kurudi kwenye migorofa huku satelite za Wazayuni zikinasa. Wameshushuwa kipondo ndani ya magorofa na familia zao. Wanajeshi wa Israel waliokufa wengi ni wale snipers ambao lazima watembee na kukabiliana ana kwa ana.
Faizy, wake up. Video nyingi za Hamas ni za mchongo za kubembeleza wakubwa zao watoe zaidi.
Kwahiyo za hawa Wayahudi ndio sio za mchongo?Siyo kweli. Hii video nimeiona kitambo sana. In actual sense, magari mengi na vifaru viliingizwa gaza kati kama mbinu ya kuwatoa Hamas waliko. Vifaru vingi ni robotic. Ujinga wa Hamas wakaingia kingi. Wanachomoka wanapiga kifaru kinaendeshwa na roboti na kurudi kwenye migorofa huku satelite za Wazayuni zikinasa. Wameshushuwa kipondo ndani ya magorofa na familia zao. Wanajeshi wa Israel waliokufa wengi ni wale snipers ambao lazima watembee na kukabiliana ana kwa ana.
Faizy, wake up. Video nyingi za Hamas ni za mchongo za kubembeleza wakubwa zao watoe zaidi.
Sina maana hiyo. Actually kama umewahi kufuatilia kwa karibu vita za nchi za kiarabu hasa hawa vikundi vya kigaidi extremists, wanapenda sana kutumia mashimo ya ardhini kujificha. Na main reason hawana guarrila fighters kwa vile maeneo yao ni Jangwa. No forests for hiding and combat.Kwahiyo za hawa Wayahudi ndio sio za mchongo?
Idadi ya watoto wa kiume walio pigwa mabomu hao ndo wangekuwa khamas wa kesho.Je wapiganaji wangapi wa HAMAS wamepoteza maisha hadi sasa?