Wewe mwenyewe bila kutolewa bikra usingezaliwa.Je kwa wale wanao wahi BIKRA hali yao ikoje nako?
Asante
No cease-fire. Lazima tuwamalize Wazayuni.Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Hii Taarifa na video husika mbona vinaacha maswali mengi bila majibu? Kwa mfano;Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Bibi Tarabushi unaweza kuja huku kujibu hizi hoja? FaizaFoxyHii Taarifa na video husika mbona vinaacha maswali mengi bila majibu? Kwa mfano;
1. Maeneo ya Gaza hayana majina? i.e. Taja mtaa,kijiji, Mji au .....kwa sababu hata Kusini bado ni Gaza ile ile.
2.Vifaru na magari ya kivita sio Raslimali za mapigano? Chanzo cha Taarifa hii ni kipi?
3. Mbona safari hii hatajwi gaidi HAMAS ila anayetajwa ni Palestina?
4. Ushindi mkubwa unatakiwa uweje ndo uitwe ni ushindi mkubwa? i.e. huwa ni wa kiwango gani?
5. Mbona HAMAS ndiye anayewalengesha wagonjwa na watoto kwenye mapigano i.e. anawatumia kama ngao kujikinga dhidi ya kichapo kutoka kwa IDF na Hospitali + Mshule HAMAS kavigeuza kuwa ngome zake?
BTW:
IDF nawashauri msiangalie makunyanzi wala kusikiliza makelele ya magaidi.
Nyie IDF kazi yenu ni moja tuu; Twanga magaidi hadi watwangike bara'bara. Maswali ni baadaye.
FAIZA MY LOV UPOππππVideo hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
vita iendeleeHasira zao wanabomowa mahospitali yote.
Angezaliwa wapi ahela madukani ? πWewe mwenyewe bila kutolewa bikra usingezaliwa.
Hamasi wana nguvu sana.Video hiyo inaonyesha jeshi la Israel likikimbia na kupoteza wanajeshi wake wengi kutoka maeneo ya Gaza baada ya kupata uharibifu mkubwa wa rasilimali zao za mapigano, huku vifaru na magari ya kivita yakiharibiwa na wapiganaji wa Palestina. Licha ya kuingia katika maeneo mengi katika eneo la Gaza, vikosi vya Israel mpaka sasa bado havijapata ushindi wowote mkubwa zaidi ya kuuwa wagonjwa na watoto mahospitalini.
View: https://youtu.be/HaKn878izls?si=H1lI6dSB8xIzGEEC
Watu wamefika mpaka al shifa,ndanindani gaza,mara ghafla madege yanaanza kubomoa tena majumba...ni dhahiri hali mbaya,maana yake hamas wanatokea kila pande so solution ni kukimbia na kutumia ndege kupiga hilo eneoHii Taarifa na video husika mbona vinaacha maswali mengi bila majibu? Kwa mfano;
1. Maeneo ya Gaza hayana majina? i.e. Taja mtaa,kijiji, Mji au .....kwa sababu hata Kusini bado ni Gaza ile ile.
2.Vifaru na magari ya kivita sio Raslimali za mapigano? Chanzo cha Taarifa hii ni kipi?
3. Mbona safari hii hatajwi gaidi HAMAS ila anayetajwa ni Palestina?
4. Ushindi mkubwa unatakiwa uweje ndo uitwe ni ushindi mkubwa? i.e. huwa ni wa kiwango gani?
5. Mbona HAMAS ndiye anayewalengesha wagonjwa na watoto kwenye mapigano i.e. anawatumia kama ngao kujikinga dhidi ya kichapo kutoka kwa IDF na Hospitali + Mshule HAMAS kavigeuza kuwa ngome zake?
BTW:
IDF nawashauri msiangalie makunyanzi wala kusikiliza makelele ya magaidi.
Nyie IDF kazi yenu ni moja tuu; Twanga magaidi hadi watwangike bara'bara. Maswali ni baadaye.
Heheeh.......wanachukua hadi watoto wa miaka 9.Je kwa wale wanao wahi BIKRA hali yao ikoje nako?
Asante