Israel yarudisha majeshi nyuma kutoka Rafah na katikati ya Gaza. Hii ina maana gani

Nadhani ndita za mzee Biden zimesaidia.

Always UTU unashinda UNASABA na ITIKADI
 
Muislam hapotezi kitu. Akikua au akiuliwa kwake ni faraja akiwa anatetea mali yake au ardhi yake.
Sasa kama ni hivyo mbona wanaandamana kutaka Israel isitishe vita. Acha upunguan wewe au kwasababu upo huko tandale kwa mfuga mbwa unaona raha kuzungumza wakati watoto wa wenzio wanalia huko.
 
Summbukumu ummuyun wafahulauuminu
Unadhani wale wangalikua wakiristo mngalikaa kimya? Mbona Ukrain mnapiga kelele?
Nasema kama muislam kufa ni raha kwanini mnaandamana wakati watu wanapata raha wacha wafe.
 
Nasema kama muislam kufa ni raha kwanini mnaandamana wakati watu wanapata raha wacha wafe.

1. Kwani walichopeana na wale washirika wa WCK nacho kilikuwa maumivu?

2. Nasema waendelee kutoa starehe hata Kwa washirika wao hasa wale kindaki ndaki.
 
Yaani nyie kobazi mnavituko sana! Mkilegezewa kidogo tu mnaanza kutamba ooohh wamekimbia vita, mkikaziwa mnaanza oooohh wanawake na watoto wanateketezwa gaza!😅
Yani ni kama ile ukinipiga umenionea uniniacha umeniogopa
Wacha upuuzi wewe.Hii hali sio kobaz walioisababisha.Israel wenyewe wanajua zaidi kuliko wewe.
Na hata mayahudi wenyewe na Marekani wanaona faida yake.
Sasa wewe kama nani unayelazimisha watu wapigane tu bila faida yoyote hata kama hali ya vita inataka visimame.
 
Nasema kama muislam kufa ni raha kwanini mnaandamana wakati watu wanapata raha wacha wafe.
Hilo lisikudhughulishe.muislam akifa ktk vita vya Jihad uje huyo ni minalfaizin
 
Dunia iache kulialia kutaka Ceasefire Natanyahu apewe muda hadi December Nchi za Kiarabu na Kiislamu zikae kimya hadi Hammas wamalizwe.
 
Dunia iache kulialia kutaka Ceasefire Natanyahu apewe muda hadi December Nchi za Kiarabu na Kiislamu zikae kimya hadi Hammas wamalizwe.
Dunia haina watu wengi wapumbavu kama wewe.
Tunashukuru Mungu.
 
Dunia haina watu wengi wapumbavu kama wewe.
Tunashukuru Mungu.
IDF haiwezi shindwa na Magaidi wa Hammas IDF ikiamua inaweza kwenda mpaka Saudi Arabia kwa Mabwana zenu.
 
Uzi wa magaidi....mnafarijiana 😀
 
Wakanani walikuwa wakiongea Kikanani Wahibru wanaongea Kihibru mpaka leo Waarabu ni wavamizi wa hilo eneo.

Waarabu walivamia Iberian Peninsula (Spain&Portuga) wakatolewa na hapo wanatolewa mdogo mdogo.
 
IDF haiwezi shindwa na Magaidi wa Hammas IDF ikiamua inaweza kwenda mpaka Saudi Arabia kwa Mabwana zenu.
Huu ni ushindi wa kiaina na hautokani na wingi wa silaha na ukubwa wa jeshi.
Ushindi wa aina hii ni wa kunyong'onyea tu.Kwani hujawahi kuona mtu mkubwa mwenye nguvu akidondoka tu bila hata kupigwa.
 
Huu ni ushindi wa kiaina na hautokani na wingi wa silaha na ukubwa wa jeshi.
Ni ujinga kuamini ni ushindi vita bado vinaendelea baada ya IDF kuua kwa bahati mbaya wafanyakazi wa World Kitchen wanazuga halafu kipigo kiko pale pale.
 
Ni ujinga kuamini ni ushindi vita bado vinaendelea baada ya IDF kuua kwa bahati mbaya wafanyakazi wa World Kitchen wanazuga halafu kipigo kiko pale pale.
Akili yako ndiyo imekupeleka huko
 
Ni furaha kubwa kuonkoka kwao na ni mipango ya Allah subhaanahu wataala
Hapo kama ni Vita wanapigana Miungu wawili Yahweh na Allah kiukweli kabisa Allah kapigwa vibaya hadi aibu😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…