imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Akili yangu sio ya kukaririshwa subhahu wataala.Akili yako ndiyo imekupeleka huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili yangu sio ya kukaririshwa subhahu wataala.Akili yako ndiyo imekupeleka huko
Ni Miungu wawili tofauti kabisa angalia sifa za Yahweh na Allah kama hujui Historia ya Miungu hii ya kale nenda kasome kuanzia Baal miungu ya Wakanani.Mungu ni mmoja tu kwa wote naye ni Allah.ukipenda unaweza kumuita Yahweh au Mwenyezi Mungu.
Kwa kiarabu tu ana majina 99
Achana na maandishi ya kiyahudi wanaopenda kutia chumvi na kujitukuza.Mungu ni mmoja tu.Ni Miungu wawili tofauti kabisa angalia sifa za Yahweh na Allah kama hujui Historia ya Miungu hii ya kale nenda kasome kuanzia Baal miungu ya Wakanani.
Wewe umemuona huyo Mungu mmoja?Achana na maandishi ya kiyahudi wanaopenda kutia chumvi na kujitukuza.Mungu ni mmoja tu.
Wanajipanga kwa wimbi jipya la mashambulizi.
Magaidi Hamas kwisha habari yao
Ni ujinga kuamini ni ushindi vita bado vinaendelea baada ya IDF kuua kwa bahati mbaya wafanyakazi wa World Kitchen wanazuga halafu kipigo kiko pale pale.
Ni jambo jema na la hekima la Iran.BREAKING:
[emoji1130][emoji1258] This explains why today Israel announced a complete withdrawal from Gaza.
Iran has reportedly communicated to the United States through the Sultanate of Oman, that the Islamic Republic intends to directly strike Israel, unless the U.S. guarantees an immediate permanent ceasefire in Gaza & no Israeli ground invasion of Rafah – Exclusive sources to Jadeh Iran
So basically Iran has given the U.S. a choice: You can avoid a direct attack on Israel, by signing a permanent ceasefire in Gaza & an official guarantee of no Rafah operation.
@Middle_East_Spectator
Hivi nikikuuliza eneo kama lile la Gaza la urefu wa kilometa 20 na upana kilomota kumi unaweza kulishinda Jeshi kubwa kama la IDF pale na wewe unwaamini Propaganda?Kwani ndivyo walivyokwambia ndugu?