Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Ndege zina utofauti,hizo walizodau kutumia Israel zinakula mafuta mbaya,kwa umbali ule sharti zitue sehemu zijaze Tena mafuta,tofauti na ndege ya usafiri waliyotumia Entebbe, houthi walitumia drone,ambazo si lazima zitumie mafuta
Umbali huo ni sawa na kutoka Dar Bukoba si mbali kiasi hicho
 
Reactions: I M
Jeshi mnslojiaminisha kua bora kupigwa jeki dhidi ya watu kadhaa ni udhaifu
Hatuwapangii wala kukataa ila tunawapa ukweli munao ukataa
 
Ndege zina utofauti,hizo walizodau kutumia Israel zinakula mafuta mbaya,kwa umbali ule sharti zitue sehemu zijaze Tena mafuta,tofauti na ndege ya usafiri waliyotumia Entebbe, houthi walitumia drone,ambazo si lazima zitumie mafuta
Ukweli Ni kwamba Israel imeibonda Yemen hayo mengine Ni blabla tu na matamanio yenu kwamba ndege za israel zisifike Yemen
 
......Israel walikuwa wanawatafutia Sababu... Kwa hiyo wanoko Wakajileta wenyewe sio? Na Israeli hakufanya ajizi -akaitumia hiyo Fursa vizuri au sio.
Ni kama vile mchezo wa draft, yan unasukumiwa kete moja uile halafu mwenzako anabutua hadi King. Sasa hapo mjanja nani? Na ole wao Houthis na wenzake warudie tena.
 
Jeshi mnslojiaminisha kua bora kupigwa jeki dhidi ya watu kadhaa ni udhaifu
Hatuwapangii wala kukataa ila tunawapa ukweli munao ukataa
Mbona hapo hakuna mashindano ya ubora wa jeshi? Hapo ni nani anatoa kipigo chenye maumivu makali zaidi? Hoja ya kwamba ni dhaifu, ni kiwete, ni duni etc. etc. watajibizana wao wenyewe baadaye. Ngoja Kwanza kazi ya kutwangana iishe halafu hayo mengine ndo yatafata.
 
Yemen kama kweli anauwezo kuliko Israel mpaka leo hii angeshajibu mapigo: Iran nae baada ya kupelekewa Moto angeshajibu mpaka sasa hivi... Usije ukajifariji UKWELI LAZIMA USEMWE Israel kutokana na rabsha za kila siku toka kwa Warabu wamekuwa na Uhodari na mbinu pamoja na Silaha za kutosha kujikinda
 
Unakabia juu sana masta!
 
Reactions: I M
Hawa jamaa wapo Makini mno! Na wana Pesa, Silaha na Uzoefu wa vita... jiulize toka vita inaze na Wa palestina Je Pesa yao imeshuka thamani??😁 Israel kwenye kila products za Kielectronic, Computers, Madawa etc na ata Mobile money Technologies anapata mirahaba Dunia nzima. Kila Iphone, Computer na Microsoft Software Licences ana pata % ya hela zake! So ushabiki wa Warabu wa Chamazi na vijiwe vya kahawa vya Kwa mtogole aviwezi pindisha ukweli !! Israel is Rich, Capable and willing
 

Attachments

  • IMG_8438.jpeg
    236 KB · Views: 2
Mkuu siasa za middle east naona itakua zinakuchanganya.
Pia kitendo cha hao waarabu kumsaidia Israel ni uhaini ama usaliti.
Na Yemeni ikimnasa yule sahihi aliyehusika awashiwe moto.
Mbona Yemeni ilishambulia directly mpaka Tel Aviv!?
Waw! Kwa hiyo walidhani kila siku ni Ijumaa? Warudie tena waone!
Siasa za middle east ni vurugu tupu. Hakuna siku Mwarabu amekuwa mtulivu na straight forward katika maugomvi yao yasiyoisha. Leo kaamka huyu hivi, kesho kaingia huyu, mtondogoo fulani anajiandaa kusupport, juzi akina naniliu walisema.... Oh! Zamani hizo, enzi zile tulisemaga is very kantangaraso.
Mambo ya Arabs waachie wenyewe - Unaweza kuchizika moja kwa moja.
 
Watakuja kukushambulia na kukuambia Mazayuni na US ni Mashoga.
 
Kwa ujumla ni kwamba nguvu yote ya kivita ya Houthi iko crippled kwa sasa na wamebakiza maneno tuu.
Myahudi hajaribiwi
Kobazi walianzinzisha vi thread hapa kila mgambo wa Houth wakiteka meli au kurusha vi drone, leo wamepigwa chuma moja tu wanalialia.
 
Watakuja kukushambulia na kukuambia Mazayuni na US ni Mashoga.
Kweli kabisa! Mudy aliwaambia watafute Elimu popote ata Mpaka China! Wao wamekomaa na Umbumbumbu na ujuwaji mwingiii na kujiona bora kuliko Binadamu wengine🤣. Ata wakipewa 1 billions Years awatoshinda!!!Maana Mungu wao sio Mungu Wetu🙏Jeremiah 1:19 They will fight against you, but they shall not prevail against you, for I am with you, declares the LORD, to deliver you.”
 
Israel amejizika!
 
Kobazi walianzinzisha vi thread hapa kila mgambo wa Houth wakiteka meli au kurusha vi drone, leo wamepigwa chuma moja tu wanalialia.
Houth walikuwa wanaliwa timing wakaingia Choo cha Mabasha🤣 Wamepelekewa Moto kimya! Wawaite UN basi wawasaidie🤣🤣
 
Hakuna kisichoeleweka ila wewe ndio huelewi mkuu.
Chanzo cha ugomvi wote kinajulikana na mlolongo wa huyu kumsapoti huyu ama kumsaliti huyu unajulikana pia bila shaka.
Ni wewe tu ndio hujaelewa straight ila sio wao.
 
Israel uchumi uliyumba March mwaka huu kiasi walipunguza askari kurudi kutoka vitani.
USA na UK wanawapa unconditional loans and grants Israel ili kuokoa uchumi wao na kuendesha nchi yao.
Hilo hulijui ndio maana unaongea unayoongea.
Ingekuwa Israel inajiendesha yenyewe kifedha kwa hii vita ya Gaza isingefika popote pale.
 
Houth walikuwa wanaliwa timing wakaingia Choo cha Mabasha🤣 Wamepelekewa Moto kimya! Wawaite UN basi wawasaidie🤣🤣
Kwani hujui kama Eilat ilishambuliwa baada ya Hodeidah kushambuliwa!?
Houthi washalipa kisasi kwa kushambulia Eilat.
Au ulilala toka majuzi hukusikia kitu!?
Israel ni nchi ambayo crippled tena hasa kijeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…