Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Yote hayo nayafahamu, swali langu lililenga kupata maoni ya huyo niliemuuliza. Asante kwa kujibu.
Tusichokijua wangapi au kina nani?
Hata mimi nimeongea kauli ya kuuliza kwa kushangazwa,maana habari zilitapakaa kote.
Sijanena kwa ubaya.
 
Kama vichaa wa kiisrael wanafanya kweli basi Hizbollah asingeshambulia kaskazini kwa Israel kiasi wayahudi kuondoka makazi yao.
Kuondoka si kigezo cha kuhitimisha kushindwa.Kuondoka sehemu hakuna tofauti na kukwepa ngumi au kofi la mtu.Kwani mnapopambana,hata na mtu dhaifu,huwa harushi makonde?
 
Kuondoka si kigezo cha kuhitimisha kushindwa.Kuondoka sehemu hakuna tofauti na kukwepa ngumi au kofi la mtu.Kwani mnapopambana,hata na mtu dhaifu,huwa harushi makonde?
Upinzani umezidi zaidi kati ya Hizbollah na Israel.
Kadri Israel inavyoshambulia Lebanon ndivyo kadri Hizbollah inavyozidisha mashambulizi pia.
 
Najua wanapata full support toka iran. Alietoa hayo mawazo amesema houthi imesema itawapiga hao Waarabu wote, Soudia, Misri, Jordan,

Una maoni gani kuhusu hao Waarabu, je hawana watu nyuma yao ambao ni tishio kwa washirika wa houthi pia?
 
Upinzani umezidi zaidi kati ya Hizbollah na Israel.
Kadri Israel inavyoshambulia Lebanon ndivyo kadri Hizbollah inavyozidisha mashambulizi pia.
Kwani wewe ulitegemea watulie tu?Lazima waoneshe ukinzani wao.Ni wachezaji wawili uwanjani.Mmoja anajihami,na mwingine anataka ushindi.
 
Madrasa
 
Najua wanapata full support toka iran. Alietoa hayo mawazo amesema houthi imesema itawapiga hao Waarabu wote, Soudia, Misri, Jordan,

Una maoni gani kuhusu hao Waarabu, je hawana watu nyuma yao ambao ni tishio kwa washirika wa houthi pia?
Mtu aliye nyuma yao ni huyo waliyemsaidia Israel na USA,UK.
Ila hiyo ni mikwara Houthi hawezi akipiga nchi zote hizo.
Labda ni mikwara tu ya kutishana.
Uvamie nchi tatu kwa mara moja sio kitu chepesi.
Ingekuwa Iran kama Iran ningesema inawezekana,ila Houthi ambaye anabebwa na Iran ni kitu kigumu haiwezekani.
 
Hizi vita kuna kundi wanafaidika nalo, haiwezekani kila siku watu wanauawa na UN wapo kimya
 
Kwani wewe ulitegemea watulie tu?Lazima waoneshe ukinzani wao.Ni wachezaji wawili uwanjani.Mmoja anajihami,na mwingine anataka ushindi.
Nani anajihami na nani anataka ushindi!?
Japo nilitegemea kwa jinsi Israel inavyosifika basi Hizbollah ingeogopa na kutuliza vurugu.
 
Iran ajibu kwani kafanywa nini mzee mbona unachanganya madawa
Kuhusiana na Yemen suala la kujibiwa nilazima watajibu
Kuhusiana na rabsha israhell hana rabsha zozote toka kwa waarabu nandio maana katulia
Ana rabsha wakati UAE SAUDIA nk wanamuuzia mafuta nk yanayomfanya aendelee kuitwanga ghaza
Zamani kweli alikumbana na rabsha za hapa na pale ila kwa sasa karelax sana anapewa upinzani na vikundi zamani alikua anapewa na nchi ama waarabu wengi kama sii wote
 
Hiyo ni fact.
Kwa nini unahisi Iran ana uwezo wa kuwapiga misri, Jordan na saudia kwa pamoja?
 
firauni sialitea kibri wana wa israili au hamkusomaga hivyo?
 
Kijana sikiliza kwanza nilicho ongea kiko wazi hakuna technology yoyote ile Israel anayo yaweza kupeleka F35 Al Houdaida, Yemen bila kurefuel.

Short distance akitumia njia ya Red Sea 2,350 KM karibu, wakati Iran ni 1750 KM, hata hio Iran anaweza kwenda na kurudi kwa shaka, na lazima awe kabeba silaha hazina impact kubwa.

Punguza mapenzi kijana ya kuisifu Israel, mimi kwenye mambo ya ndege za kivita hunizidi hata siku moja, nawala usidanganywe na mtu hakuna technology ambayo Israel anayo ya kumfikisha Al Hudauda bila ku Refuel.

Mwenye technology hawezi kuwazidi wale orignal maker, hawezi yeye kutengeneza F16 au kutengeneze F35 afu unamsifia kuliko USA. Israel akibahatika kumodify kwenye fuel consumption itakuwa ni 1/10 sio zaidi ya hapo, na akitaka izidi stage ya 3>-4/10 ya fuel consumption, nilazima afanye off-loading capacity ya orignal loading capacity ya F35 na hapo harudi ila kwa kibahati bahati ataishia kwenye bahari la Red Sea 😄
 
Hiyo ni fact.
Kwa nini unahisi Iran ana uwezo wa kuwapiga misri, Jordan na saudia kwa pamoja?
Kwanza kulingana na historia yake ya vita, pili kulingana na uwezo wake wa kijeshi.
Ndio maana hata mataifa ya kiarabu yalipoombwa bandari zake zitumike dhidi ya Iran zilikataa.
Iran pale middle east ana missile power kuliko taifa lolote.
Na missile power zote ziko active,tena makombora mengine yana uwezo wa kukwepa ADS na kuifikia target.
Pia ana stock ya kutosha.
Sio vya kuagiza kama Houthi.
 
Hakuna mfanano wa makundi na nchi na hautakuja uwepo
Mnataka mfananishe kufidia kushindwa kwa mzayuni
Nchi itaendelea kua nchi na makundi yataendelea kua makundi
Hamas wapo ila wao hawaelewani na fatah wapo nchi moja unawafananishaje na nchi?
Houthi wapo ila nchi imegawanyika kuna serikali zaidi ya moja hawa unafananishaje na nchi?
Walau hizbullah wao ni sehemu ya sirikali
Ila hakuwezi kukawa sawa baina ya nchi na kundi
 
Nakubali wana siraha nyingi na uzoefu.
Linapokuja swala la kupigana na nchi 3 kwa wakati mmoja ni changamoto sana. Itamlazimu kuligawa jeshi lake kukabirina na majeshi ya nchi 3 kitu ambacho kitapunguza uwezo wake.

Ila kwa nchi moja moja nakubali hana mpinzani dhidi ya hizo nchi tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…