Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Hakuna kitu kama hicho hakuna sehemu yoyote ndani ya Israel limetua kombora lolote la houthi tangu Israel Ishambulie
Wamepiga,raia walisema walisikia milipuko,jeshi likasema walidundua makombora ya houthi nje ya anga la Israel,hapa unajua kabisa IDF inadanganya,houthi kesho yake tu walianza kwa kubutua meli ya marekani kwa mvua ya drones na makombora,wakapiga na Israel
 
Hivi kuna ISRAEL ya kwenye media na ISRAEL halisi?
Ndio MKUU yakwenye media inaenda kupigana na mataifa saba kwa siku sita ila inashindwa na kagroup kwa mwaka mzima
Yakwenye media inaenda entebbe kuokoa mateka wake kwa masaa 24 ila inashindwa kuokoa mateka wake hapo mlangoni kwao kwa mwaka kasoro sasa
Nadhani umeiona israhell halisi naile ya kwenye media
 
Hao Youth mpaka wanaichokonoa Islael ilikuwa imewafanya nini?
 
Israel huwa hawamtishi mtu awaye yote.Huwa wanatuma taarifa tu.Kwamba,nitakupiga huku tayari kakukung'unta unalialia.
Watu wameshajifunza zaidi na tangu zamani walikuwa wanajuwa kwani Allah aliyewaumba ameshatoa taarifa.
Hao waarabu wanebaki na ujinga na kiburi chao tu.Iko siku watachanganywa wote pamoja.
 
Inaua watu wasiokua na hatia pale ghaza na kuwaacha hamas
"Kwasababu ina nguvu kuliko hamas" (Russia v/s Ukrain?)
- Houth kwanini hawakuchaguwa kuisaidia Palestine waakimarishana huko huko ndani ya palestine ambako tayari moto ilikuwa ukiwaka, au walitaka kupanua eneo la mapigano?
 
Point yako iko sawa kwenye vita ya kuvunja majumba, barabara, kuwauwa raia kweli Israel atawashinda lakini kwa vita haswa hanshindi hata mmoja.
 
Mwanamke anapoandanana kudai haki sawa, ni kuwaonea tu wanaume, maana wanaume hawajawanyima haki yoyote

Wanawake wanapaswa kufahamu kwamba, wanayetakiwa kumdai hizo haki ni MUNGU, maana huyo ndiye aliyesema mwanaume ndiye kichwa cha familia basi..!

Mungu ndiye aliyesema, Mwanaume atamtawala mwanamke, wamdai yeye na siyo kuandamana wakitudai sisi wanaume

ukimkuta kiongozi kasimama kuungana na kelele hizo za wanawake wakidai haki hizo, ujue anataka kusimama kwenye nafasi ya MUNGU

Nataka kusema hivi..! MUNGU ndiye aliyewapa hiyo aridhi Waisrael

Hao Parestina wanapaswa kuandamana wamuulize huyo Mungu ni kwa nini aliwapa aridhi waisrael? JE wao waende wapi? Atawajibu

Sasa wewe, aidha unitukane mimi,, na au umtukane huyo Mungu aliyesema hivyo

Sasa kazi ni kwako
 
Hatuwezi kujua huwenda vyote vikawezekana.
Maana ukitizama Iran haijapakana na taifa lolote kati ya hayo.
Kwahiyo vita itayopiganwa ni ya makombora,roketi na ndege.
Maana si Iran wala hao waarabu atakayekubali kuvuka zaidi ya kilometa 1000 kumfuata mwenzake.
Ila makombora ndio yatahusika.
Na hakuna taifa la kiarabu lenye uwezo wa kupimiana nguvu za makombora na Iran,Iran pia inao uwezo wa kurusha makombora kwa nchi hizo tatu kwa wakati mmoja maana mifumo yake iko activated siku zote.
Labda useme uvamizi wa miguu ndio ungehitaji kugawanya jeshi,ila hapo haitofanyika uvamizi wa miguu maana hawachangii mipaka ya nchi.
Hata hizo nchi zikijaribu kuivamia kwa miguu Iran zitashindwa,maana Iran wako vizuri kwenye ku repell ground attacks.
Turejelee vita ya Iraq-Iran war ya 1980-1988.
Iraq aliivamia Iran akisapotiwa na USA na France in all millitary wise.
Ila walishindwa kumpiga Iran.

Kiufupi mkuu hapo itapiganwa vita ya masafa marefu ikihusisha makombora na ndege na drones .
Na kwenye hiyo sekta hakuna mtu yeyote middle east anamfikia Iran.
 
Point yako iko sawa kwenye vita ya kuvunja majumba, barabara, kuwauwa raia kweli Israel atawashinda lakini kwa vita haswa hanshindi hata mmoja.
Soma kuelewa kaka sio kujibu.
Tunaongelea Iran dhidi ya Misri, Jordan na Saudia sio Israel. Kosugi
 
Nakubaliana na wazo lako.
Lakini umeangalia upande wa kushambulia tu. Vipi na wao wakishambuliwa kwa wakati mmoja, uwezo na ubora wao katika kujilinda utabaki ule ule?
 
Unaonesha una akili mgando sana.
Je Mungu ameruhusu mwanaume amnyanyase mwanamke kwa kumpiga na kumdhalilisha kimaneno!?
Je Mungu aliruhusu sisi wanaume tuwatumikishe hovyo hovyo wanawake katika majumba!?
Je Mungu aliruhusu sisi wanaume tuwaonee wanawake hata kama sisi ndio tumekosea!?
Hizo hapo juu ndio sababu ya wanawake kupata mwanya wa kudai haki zao za uhuru.
Kama sisi wanaume tungeliwatendea haki basi tusingelifikia huko kuandamwa na wanawake wakidai haki zao za uhuru na usawa.

Wanaisrael walishafikishwa nchi ya ahadi!?
Unaweza kututajia nchi ya ahadi ambayo wanaisrael walifikishwa na Mungu!?

Sawa twende taratibu,Israel walipewa ardhi kubwa inayowatosheleza ikiwemo Jerusalem wanayoitaka wao.
Ila hawakuishia hapo kuanzia 1948 walivamia;
-Central Syria.
-Gollan heights.
-Lebanon.
-Sinai-Egypt.
-Suez canal-Egypt.
Aya tuambie Mungu alimpa ardhi zote hizi Israel!?
Pia unasahau kuwa hao Palestina ndio wafilisti.

Una safari ndefu sana kifikra.
Mungu wa sisi sote na anatutendea sote pasi na upendeleo na ardhi ni ya sisi sote.
Ingekuwa hivyo basi hata GREEK/UGIRIKI ingeanzisha vita na UTURUKI kudai ISTANBUL(CONSTANTINOPLE),BURSA,ANATOLIA/ANTALYA.
Maana takriban asilimia 45 ya ardhi ya Uturuki ni ardhi ya UGIRIKI.
Je haki ya kudai ardhi anayo Israel tu!?

Pole sana.
 
Nakubaliana na wazo lako.
Lakini umeangalia upande wa kushambulia tu. Vipi na wao wakishambuliwa kwa wakati mmoja, uwezo na ubora wao katika kujilinda utabaki ule ule?
Unaweza usibaki ule ule kaka,ila itatarajiwa hao watashambulia wakati gani maana mifumo yao haipo active kama ya Iran.
Pia Iran ina historia ya kuchangiwa na zaidi ya taifa moja na ikahimili mashambulizi.
Hivyo katika medani ya vita wako vizuri,japo hatuwezi kujua kitatokea nini moja kwa moja.
 
"Kwasababu ina nguvu kuliko hamas" (Russia v/s Ukrain?)
- Houth kwanini hawakuchaguwa kuisaidia Palestine waakimarishana huko huko ndani ya palestine ambako tayari moto ilikuwa ukiwaka, au walitaka kupanua eneo la mapigano?
Umeongea nini hapa mbona hueleweki!?
Tulia uandike vizuri.
 
Mkuu nimekuelewa sasa. Hizi media hasa za western ni majanga. Tnalishwa matango pori kila siku.
US nayo itakuwa hivyo mikwara kibao ila hakuna kituπŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•πŸ˜•
 
Sawa. Sasa inakuwaje nchi husika haziwakatai ili kujiepusha na kipigo/Uharibifu? e.g. Unapomhifadhi kibaka aliyeingia nyumbani kwako (haumtoi); raia wenye hasira kali waliokuwa wanamfukuza wanaweza kuichoma nyumba hiyo ambayo ni mali yako na ww ndo unapata hasara. e.g. Bandari iliyochomwa ni mali ya Yemen na sio mali ya Houthi. Ila Yemen ndo amepata hasara.
 
Ni Chama cha siasa kweli, lakini kimeenda mbali zaidi na kujiwekea mkondo wa kijeshi ndani ya chama. Hauwezi kuwa na majeshi mawili katika nchi moja. Ndo mana nimesema wanahifadhiwa kwa mana kwamba Yemen ana-intertain uwepo wa jeshi lisilo rasmi nchini mwake hata kama wahusika ni wenyeji.
Yan ACT wazalendo wawe na vikosi vya kiJeshi hapa Tz? Hawatakubaliwa japo ni Watanzania halisi- Hizo ni vurugu. Kama Tz wataridhika bila kuchukua hatua ina maana wamekubaliana na jambo hilo. Kama wakichukua hatua, hata nchi marafiki watasaidia kuvifurusha vikosi hivyo haramu(Sio vikosi rasmi na havitakiwi).
 
Houthi ndio inaunda serikali ya Yemeni sasa hivi,japo muunganiko bado haujawa sawa.
Raia wote wanaunga mkono anachofanya Houthi.
90% ya raia wa Yemeni wanaungana na anachofanya Houthi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…