Mwanamke anapoandanana kudai haki sawa, ni kuwaonea tu wanaume, maana wanaume hawajawanyima haki yoyote
Wanawake wanapaswa kufahamu kwamba, wanayetakiwa kumdai hizo haki ni MUNGU, maana huyo ndiye aliyesema mwanaume ndiye kichwa cha familia basi..!
Mungu ndiye aliyesema, Mwanaume atamtawala mwanamke, wamdai yeye na siyo kuandamana wakitudai sisi wanaume
ukimkuta kiongozi kasimama kuungana na kelele hizo za wanawake wakidai haki hizo, ujue anataka kusimama kwenye nafasi ya MUNGU
Nataka kusema hivi..! MUNGU ndiye aliyewapa hiyo aridhi Waisrael
Hao Parestina wanapaswa kuandamana wamuulize huyo Mungu ni kwa nini aliwapa aridhi waisrael? JE wao waende wapi? Atawajibu
Sasa wewe, aidha unitukane mimi,, na au umtukane huyo Mungu aliyesema hivyo
Sasa kazi ni kwako
Unaonesha una akili mgando sana.
Je Mungu ameruhusu mwanaume amnyanyase mwanamke kwa kumpiga na kumdhalilisha kimaneno!?
Je Mungu aliruhusu sisi wanaume tuwatumikishe hovyo hovyo wanawake katika majumba!?
Je Mungu aliruhusu sisi wanaume tuwaonee wanawake hata kama sisi ndio tumekosea!?
Hizo hapo juu ndio sababu ya wanawake kupata mwanya wa kudai haki zao za uhuru.
Kama sisi wanaume tungeliwatendea haki basi tusingelifikia huko kuandamwa na wanawake wakidai haki zao za uhuru na usawa.
Wanaisrael walishafikishwa nchi ya ahadi!?
Unaweza kututajia nchi ya ahadi ambayo wanaisrael walifikishwa na Mungu!?
Sawa twende taratibu,Israel walipewa ardhi kubwa inayowatosheleza ikiwemo Jerusalem wanayoitaka wao.
Ila hawakuishia hapo kuanzia 1948 walivamia;
-Central Syria.
-Gollan heights.
-Lebanon.
-Sinai-Egypt.
-Suez canal-Egypt.
Aya tuambie Mungu alimpa ardhi zote hizi Israel!?
Pia unasahau kuwa hao Palestina ndio wafilisti.
Una safari ndefu sana kifikra.
Mungu wa sisi sote na anatutendea sote pasi na upendeleo na ardhi ni ya sisi sote.
Ingekuwa hivyo basi hata GREEK/UGIRIKI ingeanzisha vita na UTURUKI kudai ISTANBUL(CONSTANTINOPLE),BURSA,ANATOLIA/ANTALYA.
Maana takriban asilimia 45 ya ardhi ya Uturuki ni ardhi ya UGIRIKI.
Je haki ya kudai ardhi anayo Israel tu!?
Pole sana.