Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Israel yasema shambulio la Yemen ni onyo kwa maadui zake wote wa mashariki ya kati

Wewe ndo umeanzisha mada ya kubishana.
Base yangu kuongelea dini ni kusimama katika ukweli kuwa kama ufia dini wako unakufanya kuwa liongo,lizushi na libishi basi hiyo dini haikufai.
Kama gt nimejipa muda kusoma na kuangalia kweli kama hiyo link inaongelea eillat kulipuliwa na houth na nikajiridhisha beyond reasonable doubt kama umeongopa.
Nakutahadhalisha kuwa usijisahau tunakusoma jinsi ulivyo either positively or negatively kupitia mabandiko yako.
Usipoteze credibility ukajivua nguo mbele ya waungwana kwa sababu ya ufia dini.
Wasalaam
Kuniita punguani ni dalili ya kutumia nguvu kujibu hoja badala ya kutoa hoja ya nguvu
Wewe sio tu punguani we mpumbavu KABISA.
Kuniita kwako mimi mfia dini haiondoi kuwa wewe ni punguani tena sio tu punguani bali mpumbavu asiyejua anayejifanya anajua kabisa.
Usikute ninaongea na mtu HAJUI HATA KIIGEREZA.
Screenshot_2024-07-25-23-00-59-86_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-25-23-01-22-98_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Wewe ndo umeanzisha mada ya kubishana.
Base yangu kuongelea dini ni kusimama katika ukweli kuwa kama ufia dini wako unakufanya kuwa liongo,lizushi na libishi basi hiyo dini haikufai.
Kama gt nimejipa muda kusoma na kuangalia kweli kama hiyo link inaongelea eillat kulipuliwa na houth na nikajiridhisha beyond reasonable doubt kama umeongopa.
Nakutahadhalisha kuwa usijisahau tunakusoma jinsi ulivyo either positively or negatively kupitia mabandiko yako.
Usipoteze credibility ukajivua nguo mbele ya waungwana kwa sababu ya ufia dini.
Wasalaam
Kuniita punguani ni dalili ya kutumia nguvu kujibu hoja badala ya kutoa hoja ya nguvu
Mie huwa sibishani bali huwa nazungumza nachokifahamu na kukihakikisha.
Ila wewe ndio umeleta ubishi kiasi unaniita mimi mfia dini na muongo.
Wadhani utabadilisha ukweli!??
Aya wasome na hao hapo FRANCE 24.
Na hapo nilipoweka alama nyekundu panasema ving'ora vya anga vililia kwasababu ya uwezekano wa mabaki ya roketi kuangukia ndani.Na kama yameangukia ndani ya Eilat basi kuna uwezekano kuna lililopenya ndani.
Screenshot_2024-07-25-23-07-34-83_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-07-25-23-08-23-16_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Wewe Mohammed ni nani? Kwa kiboko ya wachawo wamejaa waislamu, kwa mamposa wamejaaa waislamu? Mnahangajika sanaa. Masheikh wamejaa uganga na majini
Mtume Muhammad ni kipenzi changu na Waislam wote. Achana na story uchawi upo kila sehemu uwe Mkristo, Mhindu, Mbhudas na hata wanao jiita Waislam.

Waislam ni mbali na mbali na hayo ulio yaongea.

Kunavwachawi kama wakristo? Nenda Sumbawanga ukawaone jama zako.

Hao masheikh unao ongelea hao machizi tu ukiona wanavaa kanzu usidhani wote ni waislam, hao ni kama nyie wakristo.
 
Hebu rudia nilio yandika mimi nimesema mimi, au nimesema wanasema

Kuna opinion tofouti wako wanasema na mimi nimeongea pia, Israel lazima kapita kwenye anga za nchi hizi Saud Arabia, Jordan na Egypt sababu ya ku Refuel.

Wako wanasema ndege za Israel zimetokea UAE.

Wako wanasema ni US, UK, Egypt na Saud Arabia ndio wamepiga, sikusema hizo ni Opinion zangu.

Soma vizuri sisi tunafatilia news, ikiwa hizo TV channels zinasema uwongo ni wao, hata wao wanasema inasemekana, inaweza kuwa sawa au si sawa.
Mpwa mesejibza mtandaoni unapanik hivi ,serious keyboard inakupanikisha
Vipi mngekutana uso kwa uso hehehehe
 
Mimi unadhani natishika na wakristo 😄 3=1 hata mimi nikisema Mungu yuko na mimi na kuwa 3=1 anzeni kunita na mimi Mungu vichaa kweli nyie.

Mimi huwa sipendi kurudia nilicho kiongea wakristo ambao kidogo nao waheshimu ni wale wanao amini Israeli ni taifa haramu.

Ama nyie vilaza bakini na mjinga aliye kosa nyumba akalala chini ya mti, usingizi ulimvyo mchukua akamuota shetani akadhani kamuota Yesu 😄
Aisee!
 
Wewe sio tu punguani we mpumbavu KABISA.
Kuniita kwako mimi mfia dini haiondoi kuwa wewe ni punguani tena sio tu punguani bali mpumbavu asiyejua anayejifanya anajua kabisa.
Usikute ninaongea na mtu HAJUI HATA KIIGEREZA.
View attachment 3052010View attachment 3052011
Endelea kujivua nguo kwa chuki zako za kifia dini ndugu yangu.
Inawezekana kweli sijui kiingereza,inawezekana kweli mimi ni mpumbavu na punguwani kama unavyodhibirisha chuki yako kwa wanaopishana na wewe mtazamo lakini haindoi ukweli kwamba umeongopa kwa kusema kuwa mji wa eillat ulilipuliwa.
Naweza nikawa sijui kiingereza lakini si mjinga wa kudanganywa kuwa mji ulipigwa.
Wapi hapo katika mabandiko yako huo mji umepigwa.
Kunitukana kwako hakuondoi ukweli kwamba dini yako imekufanya kuwa lizushi,lijuaji,liongo na lipuuzi.
 
Endelea kujivua nguo kwa chuki zako za kifia dini ndugu yangu.
Inawezekana kweli sijui kiingereza,inawezekana kweli mimi ni mpumbavu na punguwani kama unavyodhibirisha chuki yako kwa wanaopishana na wewe mtazamo lakini haindoi ukweli kwamba umeongopa kwa kusema kuwa mji wa eillat ulilipuliwa.
Naweza nikawa sijui kiingereza lakini si mjinga wa kudanganywa kuwa mji ulipigwa.
Wapi hapo katika mabandiko yako huo mji umepigwa.
Kunitukana kwako hakuondoi ukweli kwamba dini yako imekufanya kuwa lizushi,lijuaji,liongo na lipuuzi.
Soma tena kwa umakini.
Hao ni France 24 au nao FRANCE 24 ni waongo,wajuaji na wapuuzi na wafia dini!??
Maana hii habari imetoka kwao.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Daaah ujinga mzigo mdogo ila UPUMBAVU ni furushi kubwa sana.
Embu soma kwa umakini nilipozungushia alama nyekundu.
Shrapnel ama mabaki/vyuma vya roketi ama makombora vimetokea wapi kama sio shambulizi!?
Nahisi ninaongea na kichaa.
Kuwa na aibu hata kidogo basi.
Acha ubishani wa kipumbavu.
Screenshot_2024-07-25-23-08-23-16_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Soma tena kwa umakini.
Hao ni France 24 au nao FRANCE 24 ni waongo,wajuaji na wapuuzi na wafia dini!??
Maana hii habari imetoka kwao.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Daaah ujinga mzigo mdogo ila UPUMBAVU ni furushi kubwa sana.
Embu soma kwa umakini nilipozungushia alama nyekundu.
Shrapnel ama mabaki/vyuma vya roketi ama makombora vimetokea wapi kama sio shambulizi!?
Nahisi ninaongea na kichaa.
Kuwa na aibu hata kidogo basi.
Acha ubishani wa kipumbavu.View attachment 3052510
Rejea post yako #60 ujifanyie assessment mwenyewe.
 
Rejea post yako #60 ujifanyie assessment mwenyewe.
Nikisema wewe kuwa una tatizo la uelewa ninakosea!?
Je Houthi hawajashambulia Eilat!?
Je Israel Air defence system zao zimedungua nini angani kama Houthi hawajashambulia!?
Aya niambie nimedanganya wapi!?
Tttttttttt
Fanya assessement wewe sasa wapi nimedanganya.
Screenshot_2024-07-26-09-34-00-98_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
Screenshot_2024-07-25-23-08-23-16_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Nikisema wewe kuwa una tatizo la uelewa ninakosea!?
Je Houthi hawajashambulia Eilat!?
Je Israel Air defence system zao zimedungua nini angani kama Houthi hawajashambulia!?
Aya niambie nimedanganya wapi!?
Tttttttttt
Fanya assessement wewe sasa wapi nimedanganya.
View attachment 3052540View attachment 3052541
Kama hicho ndo kisasi cha Houthi basi najifanyia assessment mimi mwenyewe!
 
Kama Rusia anasaidiwa na Iran Korea ,hivyo hakuna tatizo kwa Israel kusaidiwa na hao sawala na ushindi
Na kunyimwa msaada kwa Hamas nako jee itakuwa sawa ?
 
Isreal ni bla bla nyingi kwanza hizo F35 mpaa zifike Yemen wanazo two option wapunguze uzito, wa maboom ndio zitafika Yemen, kama wakitumia njia ya Red Se.

Hao mimi na kwenda na wale walio sema hizo ndege zilizo piga ni za US, UK, Egypt na Saud Arabia. Israel bila kupewa green light watumie Air space ya Egypt na Saud Arabia ni vigumu kufika huko ndege zao bila kuwa refuel, na hizo ndege tulizo onyeshwa zina refuel sio za Israel eti zipo Red Sea, ni video zipo kwenye archive zao.

Option ya pili walitumia UAE kwenda ku attacked Yemen.

Huku na huku warabu wameshiriki kama kawaida zao wameruhusu ndege za Israel kutumia anga ya Jordani, Saud Arabia na Egypt Warabu na wafrica si watu wakuwamini,wakiona ngozi ya pink.

R.I.P commander wangu Robert Mgabe huyu ni katika wale wakristo 10% naheshimu misimamo yao, sio hivi vikristo njaa vinavyo amini bibilia ya Paulo na taifa teule lake

Hi video nzuri kwa waimba kwaya watazame vipi Mungu wa bibilia zaio.ni Racist 😄


View: https://youtu.be/kQI7WWCi-eQ?si=RG6Ku8g3825pzy2U

Aliye waambia mumchokoze Yahudi nani?? Huku mnajua MUNGU wao Amewaamrisha!;
👇👇
Torati.19:20-21
[19]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Kambishie muham mad aka allah aliye waambia kwamba!;
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 
Aliye waambia mumchokoze Yahudi nani?? Huku mnajua MUNGU wao Amewaamrisha!;
👇👇
Torati.19:20-21
[19]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.
[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Kambishie muham mad aka allah aliye waambia kwamba!;
👇👇
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Qur'an hakuwahi hata siku moja kupoint wanafunzi wa Paulo, ilikuwa inawapoint wale wanafunzi wa Yesu ambao walifundisha mafunzo ya Yesu sio huyo bwege wenu aliye ota kalala chini ya mti.

Kuhusu israel kipigo kinakuja nyie tegeni masikio kuanzia leo mpaa hizi siku tatu we tega sikio utaona Yahudi anavyo sambaratishwa.
 
Back
Top Bottom