Israel yathibitisha kuuliwa kwa Hassan Nasrallah Kiongozi wa Hezbollah

Dah!..
 
Huyu gaidi Israel,alimpiga,akamvalisha nepi,akamsulubu Yesu,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa,Yesu aliyekuja kuwakomboa wana Israel,ije kuwa wengine;ambao hawakutumwa na Mungu,kuwakomboa.
Issa huyo
 
Iron like Lion is zion-bob marley, zionism ni movement iliyozaa taifa la israel,siyo waisrael haswa bali wanajidai wayahudi,mfano netanyahu baba yake ni mpoland akiitwa benzion mileikowsky,alihamia palestine...
Nimesoma uzi wote pamoja na kusoma michango kadhaa ya watu mstari kwa mstari, wengine wana mahaba ya dini, wengine chuki, wengine nimeona wana andika wasivo viamini nk, nimejikuta na comment kwako. Sio kweli kwamba baba yake Netanyahu sio Mu Israeli, baba yao mzee Netanyahu ni mzaliwa wa hapo hapo mashariki ya kati na alikua moja ya marabi wa Kiyahudi (kwa huku kwetu RABI tungemwita askofu au kadhi kwa Waislam) Rabi huyu alikua anasafiri kwenda mataifa mbalimbali yenye Wayahudi wengi including hiyo Poland ulioitaja, alikua anakwenda sana USA kwa kazi hiyo ya kuwafundisha Wayahudi kuhusu dini yao ya Judaism ✡️, alibarikiwa kuzaa watoto kadhaa, maarufu wapo 2, huyu waziri mkuu wa sasa na kaka yake aliyekua anaitwa Jonathan ambaye aliongoza ile the 90 minutes in Entebbe Uganda mwanzoni mwa miaka ya 70; kama kawaida ya wazee wa Kiyahudi wa miaka hiyo walikua wanaona fahari sana moja kati ya watoto wao wa kiume kua mwana jeshi, kama ilivokua hapa kwenye miaka ya nyuma kwa Wakulya wa mkoa wa Mara. Nimesahau kidogo, kati ya Benjamin na Jonathan mmoja wao kazaliwa hapo hapo mashariki ya kati while mwingine alizaliwa USA baba yao akiwa ziarani kwa mafundisho ya kidini. I just wanted to put clear history of this family.
 
Kwani bwana akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu? Warumi 8:31
Ila kumbuka sana,Israel sio ndugu yako licha wewe kujipendekeza kwao...hao ni wayahudi sio wakristo wala waislam.Pole kwa kudhani ni ndugu zako.
 
Uyahudi ni dini,paulo ndiyo muhunzi wa ukristu, wayahudi wanachukia ukristu kuliko hata uislam,kuna vitu uyahudi na uislam vinaendana na siyo ukristu unaodai utatu mtakatifu
Hata ukristo uyahud vinaendana mbona.
 
Duh! Hatari kweli kweli, hizbolah si wakubali kushindwa ili athari isiwe kubwa?!
Shetani yupo nyuma yao na anataka wengi zaidi waingie kuzimu hivyo hi vita haiishi leo wale kesho itachukua miaka kadhaa hivyo tegemea Hezbollah, Hamas, Houth, Iran kuendelea kuisumbua Israel kwa miaka kadhaa.
 

Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
 
Mzee wee tukae tu huku kwetu tuendelee kula maharage. Hizo mambo achana nazo
 
Hata laiivyokufa Mulka Afghanustan walidhani ndiyo movie imekwisha. Kimbebe kilichiwawakia moto kwa miaka 20 mfululizo npaka wenyewe wakatoka nduki.
Wewe nenda ulee wajukuu huna dili au utandae mikhanga ukaomboleze huyo gaidi wenu.
 
Now I think Khamenei is a fair target. He will order the strike against Israel which will lead to his death. I fear for the peace of the world.
 
View attachment 3109614
Qur'an 2:154. Wala msiseme kuwa wale walio uwawa katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni maiti; bali hao ni wahai, lakini nyinyi hamtambui. 154
Well nimeelewa kwamba kumbe hata wale Waisrael wa Oct 07 nao siyo maiti,nao ni wahai kwa sababu walikufa kupitia njia ile ile ya kifo alichokiumba Mwenyezi Mungu.

Maana hawakuyeyuka wala kutoweka ghafla wasijulikane kilichowakuta.
 
Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.

 
Waiter tuitie mtu wa jikoni tafadhali....Au mwambie atutengenezee kilo tano rost( kitimoto)
 
Maliza maana hao ni wapalestina walioenda kuchukua nchi ya wakristo na kutengeneza ngome yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…