Jagina
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 8,428
- 4,022
Weka link ya moja tu Kati ya hizo nyuxiMbona nyuzi ziko kibao tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka link ya moja tu Kati ya hizo nyuxiMbona nyuzi ziko kibao tu.
Weka link ya moja tu Kati ya hizo nyuxi
Hamad M. Hamad: Zanzibar imefanya chaguzi 6, ni mbili tu hazikuwa na mauaji
Dar es Salaam, Agosti 23, 2023 – Katika Mkutano wa kujadili demokrasia ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD). Hamad M. Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF na Waziri wa zamani wa Miundombinu na Mawasiliano, amezungumzia hatua zilizofikiwa katika kufanikisha mazingira bora...www.jamiiforums.com
Picha za waliouwawa kwenye uchaguzi huko Tanzania Visiwani zililetwa humu JF labda kama unataka ligi tu.Hayo ni maneno ya Hamad Masoud anaelezea kuhusu uchaguzi na hamna sehemu kaeleza jeshi na polisi lilivyouwa watu kwani hao ndio wanaompa kula , wanamtumia. Yaani bora ungalitafuta mtu mwengine
Picha za waliouwawa kwenye uchaguzi huko Tanzania Visiwani zililetwa humu JF labda kama unataka ligi tu.
Unaendekeza ubishi wa kijinga.Si ndio umeleta hiyo link au vipi ??
Si ndiwo uliouanzisha mwenyewe au vipi ??Unaendekeza ubishi wa kijinga.
Huwezi ukafosi tungeelee Waarabu wa Palestina wakati Waarabu wa Sudan wanawaua Waafrika weusi wenzetu huku wamefunga lamazani.Si ndiwo uliouanzisha mwenyewe au vipi ??
Huwezi ukafosi tungeelee Waarabu wa Palestina wakati Waarabu wa Sudan wanawaua Waafrika weusi wenzetu huku wamefunga lamazani.
Palestine ni wavamiziIsrael ikubali kuundwa kwa taifa la Palestine kama inataka usalama wa kudumu.
Ninyi huwa mnafurahia Janjaweed Arab Millitias wamapoua ndugu zetu Waafrika.Mimi si fosi unayefosi ni wewe kama vile hao waarabu wa Sudani wote ni weupe , hizo ni propaganda za kanisa kama hizi za Zanzibar eti ilipinduliwa serikali ya mwalabu , wakati waziri mkuu muhammed shamte ni mpemba wa ole
Ninyi huwa mnafurahia Janjaweed Arab Millitias wamapoua ndugu zetu Waafrika.
Hayo sio mambo ya Uisilamu hayo ni mambo ya VyamaKuliko mnavyofurahia kuuliwa waislamu waafrika hapa zanzibar wakati wa uchaguzi
Hayo sio mambo ya Uisilamu hayo ni mambo ya Vyama
Israel inakataa mpango wa nchi za Kiarabu kukabiliana na Gaza.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje:
"Taarifa iliyotolewa kwenye kikao cha dharura cha mkutano wa kilele wa ajabu wa Waarabu haiangazii uhalisia wa hali ilivyo baada ya Oktoba 7, 2003, na inabakia kukita mizizi katika mitazamo ya kizamani. Ni vyema kutambua kwamba shambulio la kikatili la Hamas, ambalo lilisababisha maelfu ya vifo vya Waisraeli na mamia ya utekaji nyara, halijatajwa, wala hakuna hatia yoyote ya mauaji na mauaji hayo. tishio hilo linaleta kwa Israeli na eneo hilo.
"Taarifa hiyo inaendelea kutegemea Mamlaka ya Palestina na UNRWA - zote mbili zimeonyesha mara kwa mara rushwa, kuunga mkono ugaidi, na kushindwa kutatua suala hilo."
"Kwa miaka 77, nchi za Kiarabu zimetumia Wapalestina kama risasi dhidi ya Israeli, na kuwahukumu kuwa 'ukimbizi' wa milele."
"Sasa, kwa wazo la Rais Trump, kuna fursa kwa watu wa Gaza kufanya uchaguzi huru kulingana na hiari yao. Hili linapaswa kutiwa moyo! Badala yake, nchi za Kiarabu zimeikataa fursa hii, bila kuipa nafasi ya haki, na kuendelea kutoa shutuma zisizo na msingi dhidi ya Israel."
"Shambulio la Hamas dhidi ya Israel limevuruga eneo zima. Utawala wa kigaidi huko Gaza unazuia uwezekano wowote wa usalama kwa Israel na majirani zake. Kwa hiyo, kwa ajili ya amani na utulivu, Hamas haiwezi kuachwa madarakani."
"Israel inazitaka nchi zinazowajibika za kikanda kujinasua kutoka kwa vikwazo vya siku za nyuma na kushirikiana ili kuunda mustakabali wa utulivu na usalama katika eneo hilo."
ACT nacho kimekuwa chama cha Nyerere?Vyama vya Nyerere?
Act kilimuuwa Nani?ACT nacho kimekuwa chama cha Nyerere?