Israel yaupinga mpango wa waarabu kuhusu ujenzi wa Gaza


Hayo ni maneno ya Hamad Masoud anaelezea kuhusu uchaguzi na hamna sehemu kaeleza jeshi na polisi lilivyouwa watu kwani hao ndio wanaompa kula , wanamtumia. Yaani bora ungalitafuta mtu mwengine
 
Hayo ni maneno ya Hamad Masoud anaelezea kuhusu uchaguzi na hamna sehemu kaeleza jeshi na polisi lilivyouwa watu kwani hao ndio wanaompa kula , wanamtumia. Yaani bora ungalitafuta mtu mwengine
Picha za waliouwawa kwenye uchaguzi huko Tanzania Visiwani zililetwa humu JF labda kama unataka ligi tu.
 
Si ndiwo uliouanzisha mwenyewe au vipi ??
Huwezi ukafosi tungeelee Waarabu wa Palestina wakati Waarabu wa Sudan wanawaua Waafrika weusi wenzetu huku wamefunga lamazani.
 
Huwezi ukafosi tungeelee Waarabu wa Palestina wakati Waarabu wa Sudan wanawaua Waafrika weusi wenzetu huku wamefunga lamazani.

Mimi si fosi unayefosi ni wewe kama vile hao waarabu wa Sudani wote ni weupe , hizo ni propaganda za kanisa kama hizi za Zanzibar eti ilipinduliwa serikali ya mwalabu , wakati waziri mkuu muhammed shamte ni mpemba wa ole
 
Mimi si fosi unayefosi ni wewe kama vile hao waarabu wa Sudani wote ni weupe , hizo ni propaganda za kanisa kama hizi za Zanzibar eti ilipinduliwa serikali ya mwalabu , wakati waziri mkuu muhammed shamte ni mpemba wa ole
Ninyi huwa mnafurahia Janjaweed Arab Millitias wamapoua ndugu zetu Waafrika.
 
Ninyi huwa mnafurahia Janjaweed Arab Millitias wamapoua ndugu zetu Waafrika.

Kuliko mnavyofurahia kuuliwa waislamu waafrika hapa zanzibar wakati wa uchaguzi
 

Kanapewa kibri na mmarekani haka kajamaa

Nchi za kiarabu zikaze hamna kurudi nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…