Irani na Hezbollah hawajafikia Maelengo Yao Ili Hali iIsraeli imefikia nayo ni kuinyamazisha Irani na Hezbollah waliokuwa wanajifanya kuingilia ugomvi wa Israel na Hamas,saiv wameambia wakae kimya Hamasi ashughlikiwe vilivyoWaliyoleta ceasefire ni Israel kupitia Marekani, UAE na Saudi Arabia.
Hapo Hezbollah ndo kashindwa kwa sababu lengo lake la kuingia mapiganoni ni kuilazimisha Israeli iache kuishambulia Gaza,Sasa mapigano yanasimamishwa na Irael Bado inabinda Gaza.Pili kampeni ya Israeli kuingia kusini mwa Lebanoni ni kuwasukuma mbali na mpaka Hezbollah na katika makubaliano Hezbollah anaondoka kilimeta kadhaa toka mpakani na kufanya raia wa Israeli walio hama kaskazini warudi na kama Hezbolaah watashambulia sitisho la mapigano linakoma vita inaendelea jambo ambalo serikali y a Lebanon haitaki litokeeUmeandika kama vile mshindi Israel? Wakati Isreal yeye ndio aliemuomba mmarekani aingilie kati
Gaza wameambiwa wakitaka Hilo wawaachie mateka,Sasa wao kichwa ngumuNi hatua muhimu kuleta utulivu eneo hilo.....hata Gaza wanahitaji makubaliano aina hiyo.
Toka lini muisrael ashinde alafu akubali ceasefire? Acheni ujinga. Hivi mnaijua Israeli au mnaisikia?Hapo Hezbollah ndo kashindwa kwa sababu lengo lake la kuingia mapiganoni ni kuilazimisha Israeli iache kuishambulia Gaza,Sasa mapigano yanasimamishwa na Irael Bado inabinda Gaza.Pili kampeni ya Israeli kuingia kusini mwa Lebanoni ni kuwasukuma mbali na mpaka Hezbollah na katika makubaliano Hezbollah anaondoka kilimeta kadhaa toka mpakani na kufanya raia wa Israeli walio hama kaskazini warudi na kama Hezbolaah watashambulia sitisho la mapigano linakoma vita inaendelea jambo ambalo serikali y a Lebanon haitaki litokee
Si ndo hapo sasa? Mbona Gaza hajakubali ceasefire? Anajua Hamas ni dhaifu hawana silaha kama HizbollahToka lini muisrael ashinde alafu akubali ceasefire? Acheni ujinga. Hivi mnaijua Israeli au mnaisikia?
Hapo mmarekani amerusha taulo baada ya kuona kitinda mimba wake anapewa za uso. Israel akilianzisha tena hapo Gaza, Hezbola tutarudi taena kwa nguvu zaidi
Hapa nona umejipangia tu story wala mambo hayapo hivyoUnaishi Ulimwengu wa giza kweli!! Inaonekana hujui hata aliyeomva ceasefire ni nani?
Israel imekubali ombi la Lebanon kusitisha maligano kwa siku 60 tu. Baada ya hapo watafanya tathmini jinsi Hezbollah na Lebanon walivyotekeleza masharti ya Ceacefire. Ikiwa vinginevyo, vita inaendelea.
Lakini ni jambo hema kama Hezbollah watapata angalao hata hekima ndogo ili maafa ya watu wasio na hatia yakome.
Nina hakika ungekuwa huko Lebanon, ungeifurahia sana hatua hii.
Israel imesisitiza kuwa Hezbollah ikikiuka kipengere chochote, ataitwanga tena:
Effective at 04:00 tomorrow local time (02:00 GMT on Wednesday), the fighting across the Lebanese-Israeli border will end," Biden said, adding that it aimed to be a "permanent cessation of hostilities".
Israel's Prime Minister Benjamin Netanyahu said Israel will not hesitate to strike if Hezbollah breaks any part of the agreed deal.
Naona siyo mfuatikiaji kipigo Gaza kinaendelea mpaka wawaachie mateka,na Hezbollah na Iran wameambiwa wasiingilie na wakiinbgilia wanapigwa ndo maana unaona Irani yupo kimyaToka lini muisrael ashinde alafu akubali ceasefire? Acheni ujinga. Hivi mnaijua Israeli au mnaisikia?
Hapo mmarekani amerusha taulo baada ya kuona kitinda mimba wake anapewa za uso. Israel akilianzisha tena hapo Gaza, Hezbola tutarudi taena kwa nguvu zaidi
Hezbollah hawajafikia lengo lao la kuizuia isiipige Gaza lkn Israeli wamefikia lengo lao lakuwaondoa Hezbollah mpakani na kuwakatza wasiingilie ugomvi wa GazaLeo huko Lebanon lazima kutakuwa na sherehe, wanastahiki mapumziko leo.
Wamewafundisha adabu wauwaji wa watoto.
Israel is a nonsense in military
Ulisikiliza hotuba ya Netanyahu au Khamenei?Toka lini muisrael ashinde alafu akubali ceasefire? Acheni ujinga. Hivi mnaijua Israeli au mnaisikia?
Hapo mmarekani amerusha taulo baada ya kuona kitinda mimba wake anapewa za uso. Israel akilianzisha tena hapo Gaza, Hezbola tutarudi taena kwa nguvu zaidi
Mwandiko wako unadhihirisha kuwa wewe ni graduate wa MUMLeo huko Lebanon lazima kutakuwa na sherehe, wanastahiki mapumziko leo.
Wamewafundisha adabu wauwaji wa watoto.
Israel is a nonsense in military
Aliyesarenda ni Hezbollah kwani kakubali kutoishambulia Israeli na kuondoka mpakani,Hezbollah waliishambulia Israeli ili kuizuia Isishambulie Gaza lkn Hilo hawajafanikiwa na Israeli ilisema wakiondoka mpakani itaacha kushambulia Lebanoni jambo ambalo Hezbollah wametii katika makubalianoHizbollah kakikundi tu kanaipiga Israel mpaka kusarenda ndani 2 months tu.
Sasa ndio ataiweza Iran?
Taifa teule la machoko
Lengo la Hezibolah lilikuwa ni kuisaidia Gaza lkn wameambiwa wakae mbali nao wametii nani kasikilizea hapoThis time Israel ndio imejua nini maana ya vita. Mabomu yanatua Tel Aviv kila siku watu wanalala kwenye bunkers
Huko Askari wanarudi maiti au majeruhi tu
Vifaru vyote choma moto
Kaona isiwe shida..
hahahahhah leo nimefurahi sana yani
Vip rafikiUmeandika kama vile mshindi Israel? Wakati Isreal yeye ndio aliemuomba mmarekani aingilie kati
Watapigwa na nani😜😜😜kama walikuwa na huo uwezo kwanini wamekimbilia ceasefire?? Sahau vita vya gaza kuendelea.Naona siyo mfuatikiaji kipigo Gaza kinaendelea mpaka wawaachie mateka,na Hezbollah na Iran wameambiwa wasiingilie na wakiinbgilia wanapigwa ndo maana unaona Irani yupo kimya