Lete ushahidi ni wapi Hizbollah katoa tamko?Hezbollah amekubali yaishe kakubali kutokuingilia ugomvi wa Israeli hamasi kama alivyo agizwa na Israel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete ushahidi ni wapi Hizbollah katoa tamko?Hezbollah amekubali yaishe kakubali kutokuingilia ugomvi wa Israeli hamasi kama alivyo agizwa na Israel
Ngoma kurudi uwanjani inawezekana maana Israel itakua ishajipanga.Nanukuu: "Watakua wanasitisha ili kujipanga upya".
Hapana mkuu.
Kitendo cha kusitisha mtifuano ni juhudi za USA na Ufaransa.
Halafu kwenye hiyo ceasefire (Truce)yapo masharti e.g. Usitishwaji ni wa muda wa 60dys halafu tathmini itanyika kuona jinsi masharti yalivyozingatiwa.
Hezbollah hatakiwi aonekane kujipanga kijeshi (Regrouping)na asivuke mto Litani ng'ambo kuelekea Israel kaskazini. Hiyo buffer zone kati ya mto Litani na Israel kaskazini watakuwepo jeshi rasmi la Lebanon (Lebanon Armed Forces) na UN kulinda amani.
Kama Vigezo na masharti visipozingatiwa kama ilivyoainishwa katika makubaliano hayo ngoma inarudi uwanjani.
Acha uvivu mambo yapo wazi ingia mtanadoni,kwani umesikia amegoma kutoka mpakani?Lete ushahidi ni wapi Hizbollah katoa tamko?
Hapo Litani river Kwani mara ya kwanza Israel kufika!?View attachment 3163541View attachment 3163542
Wanaume hao hapo.
Huko masjid mnajazana matango pori sana.
Sawa sina muda wa kubishana mambo yapo wazi Irani kanywea hata humsikii kizungumzia mambo Lebanoni,Hezbolah katulizwaHiyo ni kawaida ya vita piga nikupige.
Hivi una habari kama Kursk imeshakombolewa na Russia Kwa 46% hadi Sasa!?
Una habari kuwa Russia wanazidi kusonga mbele ndani ya Ukraine mashariki!??
Usitudanganye Kila chombo Cha habari kilionesha kuwa shambulio la Israel Kwa Iran ni totally failure.
Na radar iliyoharibika ilikua moja tu ya s300 ya Khomeini Airport.
Na siku inayofuata satellite ilionesha IRGC ikisambaza mifumo ya anga ya Khordak-15 na Bavaar-373 Kila Kona ya nchi.
Ninaifuatilia Hizbollah kuliko unavyodhani.Acha uvivu mambo yapo wazi ingia mtanadoni,kwani umesikia amegoma kutoka mpakani?
Hizbollah kutulia kunategemea kauli ya Iran.Sawa sina muda wa kubishana mambo yapo wazi Irani kanywea hata humsikii kizungumzia mambo Lebanoni,Hezbolah katulizwa
Hujui kinachoendelea Duniani kama huamini BBC soma hata Al Jazeera utapata ufahamu nduguWe kijana huwa unakurupukaga sana ku comment halafu huwa unajikuta unajuuaaa.
Hizbollah kuondoka Kusini mwa Lebanon sahau hilo.
Pia unatakiwa ujue kuwa Iran haijatoa tamko kuhusu hili,tamko la Iran ndio utakua uamuzi wa Hizbollah.
Hizbollah bado wapo Kusini mwa Lebanon.
Pia unapaswa ufahamu kuwa Hizbollah ni sehemu ya serikali ya Lebanon,hivyo na wao wana maamuzi ya kufanya sio kufanyiwa maamuzi.
Kwasababu hii cease fire deal wamekubaliana serikali ya Lebanon na Israel/USA ikiwa Hizbollah hakuna alichosema wala kujibu.
Irani naye katulizwa anahangaika kutimiza promise lllHizbollah kutulia kunategemea kauli ya Iran.
Muda utaongea tupo hapa tusibishane🙌🙌🙌🙌.
Endelea kuchelewa,Leo hutasikia rocketing huko kafyata mkia tyr alichokitafuta kapewaNinaifuatilia Hizbollah kuliko unavyodhani.
Hadi sasa bado hawajatoa tamko.
Iran katulia hajatulizwa.Irani naye katulizwa anahangaika kutimiza promise lll
Hizbollah hajatoa tamko.Endelea kuchelewa,Leo hutasikia rocketing huko kafyata mkia tyr alichokitafuta kapewa
Iran kajichokea maana panyaroad wake kibao wameuwawa na Israel kuanzia Gaza mpaka Lebanon nikikumbuka zile pager, cellphones, laptops, solar panel za panyaroad zilivyolipuliwa na myahudi aisee hiyo jamii ni next levelIrani naye katulizwa anahangaika kutimiza promise lll
Enedelea kusubiri tamkoHizbollah hajatoa tamko.
Akitoa tamko ndio mengine yatafuata.
Sawa endelea kuamini hilo sisi tunasubiri Ahadi ya Ayatollah asifirikiri tume sahau,na asipotimiza ameisha atakuwa kama Syria tuIran katulia hajatulizwa.
Hakuna mtu wa kumtuliza Iran hapo middle east.
Ushaambiwa "over a decade" ww unasema mwaka Jana au lugha ni tatizo?Hapo Litani river Kwani mara ya kwanza Israel kufika!?
Hata mwaka jana December si walifika wakarudi nyuma na kuondoka!?
Kufika ndio kuikalia ama kuichukua!?
Waweke buffer zone kama wao wanaume kweli uone balaa lake.
Hizbullah haiwezi kukubali kusimamisha mapigano bila baraka kutoka Iran ,unapo ona wame kubali kusimamisha mapigano ujue na Iran kalidhia.
Alafu kwa sasa Iran ina silaha zenye uwezo mkubwa wa kuipiga Israel moja kwa moja ,hivyo uhitaji wa kuwa makundi yaliyoko karibu na mipaka ya Israel unapungua.