Israeli yatangaza rasmi kuingiza majeshi nchini Lebanon upande ya kusini. Nini kitajiri baada ya hatua hii ngumu ya Israeli?

Israeli yatangaza rasmi kuingiza majeshi nchini Lebanon upande ya kusini. Nini kitajiri baada ya hatua hii ngumu ya Israeli?

Huna researcha na hujui kabisa siasa za kimataifa.
Hizo nyuklia reactor za Kiduku na Urusi hazina lolote.
Hivi Israel wameua rais wa Iran , unataka wafanye nini ndio hawa Iran, Kiduku na Putin wamfute kwenye uso wa dunia?

URUSI, KIDUKU, IRAN ni panya tu, wanabweka na sasa wanafuatwa kwao na kutandikwa.
*Nilijua umebadilika kumbe bado unaongea mashudu yasiyo na ushahidi!?
Nani kakwambia hizo nuke reactor za Kiduku na Putin hazina lolote!??
Bro are you out of your damn sanity!?
Hivi unajua kama Putin alipopeleka nuke submarine yake Cuba USA alilalamika vipi!?
Halafu hata haujui kama Russia ndio wenye technology bora ya nuclear hapa ulimwenguni.
*Una ushahidi upi kama Israel wamemuua Ebrahim Raisi!?
Benjamin Netanyahu alikataa mchana kweupe hawahusiki aya tuletee wewe ushahidi wa wao kuhusika.
-Russia imempiga USA ndani ya Syria,Korea war na Ukraine na Georgia,unamuitaje panya!?
-N.Korea alimtwanga USA wako Korea war,unamuitaje dhaifu!?
-Iran imesumbua middle east,imemsumbua USA Yemeni,Imemsumbua USA Red sea kupitia Houthi,unamuitaje Iran dhaifu!??

Kichwa chako kina funza wewe.
Unaifananisha Israel inayosaidiwa bajeti ya nchi KILA MWAKA ikipigana na vikundi vya mgambo na Russia anayepambana na NATO yote!?

Endelea kujichanganya nitakubana kwenye kona.
 
Vita iko hyped na western media, Israel alitangaza kuwa kaishaingia Lebanon na Hezbollah walikanusha.

Bado Israel hawajui wanatumiwa vipi na USA ambae Ana maslahi makubwa na vita hii pamoja na ya Eukraine,

Muda mchache uliopita Hezbollah kapiga Headquarter za Mossad lakini western media zimetulia tu Fox pekee wameripoti, marekani anajalibu silaa zake kwenye live scene akiwatumia israel na Eukraine haiwezi tumia $100M kulipua port ambayo haifiki hata $1M lakini israel wanaenjoy kwasabu sio kodi zao.
Israeli pia haiwezi kupigana hii vita kwa muda mrefu na pia Marekani hawawezi kuwaruhusu Israeli kuendeleza vita hii kwa muda mrefu maana nchini Marekani kwenye tayari kuna migongano ya chini kwa chini huku machawa wa Biden wakishadidia kuongeza uzalishaji silaha kwenye viwanda vyao.

Isitoshe Marekani kanusa kuwa atakuwa "overstretched" kati ya Ukraine na Mashariki ya kati.
 
Marjayoun- Lebanon.

Israeli imetangaza kuingiza majeshi yake upande wa kusini mwa Lebanon na kuliweka eneo hilo chini ya jeshi la IDF yaani "military Zone". Hatua hiyo yafuatia uamuzi ulofanywa na Israeli na kuwaatarifu Marekani kwamba wameamua kuingiza majeshi ya ardhini nchini Lebanon.

Maeneo ya Metula, Misgav Am na Kfar Galadi yaliyoko upande wa kaskazini mwa Israeli yote yamefungwa kwa ajili ya IDF kuyatumia. Naibu kiongozi wa hezbollah Naim Qassim ametoa onyo kwa Israeli kuwa endapo IDF itaingia Lebanon kwa ajili ya vita ya ardhini basi Hezbollah wapo tayari.

Majeshi ya IDF khasa yale maalum au Special Forces tayari yapo ndani ya Lebanon huku vikosi vingine vikiendelea kusogea karibu na mpaka kutokea sehemu ya Kiryat Shmona. Vikosi vya makomandoo wa IDF vitakuwa vikitafuta upenyo wa kuingiza na kupandkiza mabomu ili kuwezesha vifaru kusogea ndani zaidi.

Israeli wamesema watatumia njia zote za ardhini, angani na majini kutimiza azma yao ya kupigana na Hezbollah vita ambayo ni ya pili baada ya vita ilopiganwa mwaka 2006 vita ambayo haikutoa mshindi yoyote. waziri mkuu Benjamin Netanyahu ametoa onyo kwa Iran kuwa hakuna eneo lolote ambalo Israeli itashindwa kulipiga.

Vifaru vya kijeshi vya IDF vimesogea mpakani na Lebanon huku naibu kiongozi wa wa Hezbollah akisema kuwa wapiganaji wa Hezbollah wapo tayari kwa vita ambayo kitaalamu yaiotwa Asymmetrical Warfare pale ambapo Hezbollah watatumia mbinu iitwayo "gollila tactics" dhidi ya jeshi la IDF lenye kila aina ya zana ya kijeshi ijulikanayo ulimwenguni.

Lengo kuu ya Israeli ni kubomoa miundombinu ya Hezbollah ambayo yajumuisha njia za chini kwa chini (Tunnels) na njia za panya ambazo Hezbollah huzitumia kupitisha silaha zao na bidhaa zingine kutoka nje. Pia lengo hilo limekusudia kuhakikisha wananchi wa Israeli wanoishi upande wa Kaskazini ambao wamekimbia, warudi katika makazi yao.

Kwanini hali hii imefikia hapa?

Terehe 17 hadi 18 mwezi huu vifaa vya mawasiliano yaani "pagers" wanotumia Hezbollah vililipuka pamoja na radio za mawasiliano.

Tarehe 23 hadi 24 Israeli ikafanya mashambulizi ya anga kwa kutumia ndege za kivita dhidi ya maeneo ya Hezbollah.

Tarehe 27 Septemba kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah akauawa katika shambulio kubwa la bomu liitwalo "banker" lilofurumusha majengo na handaki walokuwamo Nasrallah na wenzie.

Tarehe 30 yaani leo jumatatu kiongozi wa Hamas aliekuwepo Lebanon nae ameuawa baada ya Israeli kushambulia tena kwa dege za kivita eneo hilo la kusini mwa Lebanon.

Wachambuzi wengi wa kijeshi na kijajusi wametoa tahadhari kwa Israeli kwamba hata kama safari hii wamejifunza mengi kutokana na vita ya mwaka 2006 lakini pia Hezbollah nao pamoja na kuuliwa kwa viongozi wake wengi kutokana na mashambulizi mengi aloyafnya Israeli, bado wana shaka kuwa Israeli itaweza kupigana vita ya ardhini.

Vita hii ya ardhini ambayo ni rahisi kuingia lakini ngumu kutoka, safari hii imekusanya makundi ya wapiganaji wanojiita "Axis of Resistance" yanojumuisha makundi ya kutoka Lebanon, Hamas, kutoka nchi za Irak na Syria pamoja na kundi la Houdh la Yemen na wote wakiwa na silaha walopewa na Iran.

Wahudhi wamepewa jukumu la kuhakikisha Marekani hapeleki silaha zaidi Israeli huku makundi yaliyoko Syria na Irak wakihakikisha wanatuma makombora upande wa kaskazini mwa Israeli kulipo milinma maarufu ya Golan ambayo Israeli huitumia kufanya doria dhidi ya Syria na Irak.

Milima ya Golan ilipokwa na Israeli baada ya vita ya siku sita ya mwaka 1967 na tangia muda huo milima hiyo imekaliwa na Israeli.

Nini kitajiri katika vita hiyo ambayo itaaqnza kukolezwa muda huu wa usiku wa kuamkia jumanne?

NB:
Tafadhali Mods ninawaomba kuuweka uzi huu Live ili tuendelee kuleta yale yanojiri katika eneo

Sema mashoga
Kama weww ulivyo Shoga?
Ona huyu!
Hilo kombora lililoanguka barabarani ni moja wapo ya makombora yaliyorushwa.
Hizbollah hajarusha kombora moja karusha zaidi ya 10.
Usitufanye wote ni mbulura kama wewe mengine yamekuwa intercepted na hilo moja limeangukia barabarani wapita njia 2 ndiyo waliojeruhiwa. Hezbollah mliokuwa mnawasifia mlikuwa mnasifia Utopolo tu Operation Beeper makamanda wake 80% ni vilema Majeshi ya Israel yako huko sasa hivi wala hawaonyeshi upinzani wowote ule. Makombola ya Hezbollah wala Wahouthi hayana impact yoyote kila siku yanapopolewa na mengine kuangukia porini na kusababisha kuharibu misitu tu Hezbollah kwa kuwa waliamua kuwaunga mkono Hamas Acha wachezee kichapo cha mbwa-koko
 

Lazima tufahamu na tuelewe kuwa raia wengi wa Israeli hivi sasa waishi kama wakimbizi wamekimbia eneo la kaskazini mwa Israeli kutokana na mashambulizi ya Hezbollah ambayo wamekuwa wakiyafanya kwa muda mrefu.

Israeli wapo hapo eneo la mpakani ili kuwasogeza Hezbollah warudi ndani zaidi ya Lebanon na kuondoa uwezo wao wa kushambulia kaskazini kwa Israeli, ndo maana sasa hivi kuna hiyo operesheni.
 
Kama weww ulivyo Shoga?

Usitufanye wote ni mbulura kama wewe mengine yamekuwa intercepted na hilo moja limeangukia barabarani wapita njia 2 ndiyo waliojeruhiwa. Hezbollah mliokuwa mnawasifia mlikuwa mnasifia Utopolo tu Operation Beeper makamanda wake 80% ni vilema Majeshi ya Israel yako huko sasa hivi wala hawaonyeshi upinzani wowote ule. Makombola ya Hezbollah wala Wahouthi hayana impact yoyote kila siku yanapopolewa na mengine kuangukia porini na kusababisha kuharibu misitu tu Hezbollah kwa kuwa waliamua kuwaunga mkono Hamas Acha wachezee kichapo cha mbwa-koko
Nani kakuambia Wanajeshi wa Israel wapo Lebanon?.
 
Vita iko hyped na western media, Israel alitangaza kuwa kaishaingia Lebanon na Hezbollah walikanusha.

Bado Israel hawajui wanatumiwa vipi na USA ambae Ana maslahi makubwa na vita hii pamoja na ya Eukraine,

Muda mchache uliopita Hezbollah kapiga Headquarter za Mossad lakini western media zimetulia tu Fox pekee wameripoti, marekani anajalibu silaa zake kwenye live scene akiwatumia israel na Eukraine haiwezi tumia $100M kulipua port ambayo haifiki hata $1M lakini israel wanaenjoy kwasabu sio kodi zao.
Umeshakuwa Brainwashed na Aljazeera makao makuu ya Mossad yalilengwa lakini kombola hili lilipopolewa ni ujinga kutaka kutuaminisha kuwa katika vita hii Israel inatumiwa wajinga tu na wapumbavu kama wewe watakuunga mkono. Israel imekuwa ikishambuliwa na Hezbollah toka Oct 08,2023 miezi 11 sasa na ndiyo maana wameamua sasa wale sahani moja nao. Kwa taarifa yako Hezbollah wamachezea kipondo.
 
Nani kakuambia Wanajeshi wa Israel wapo Lebanon?.
Acha ujinga Askari wa Israel wako Lebanon sio leo tu wako huko siku nyingi na mahandaki mengi yako mikononi mwao. Jana ndiyo askari wa miguu waliingia huko wakati Special-Force wako huko siku nyingi. Kama hata Aljazeera wamekiri hayo wewe mbulu-kenge unabisha nini?
 
Embu usiongee mashudu mkuu.
Kama Israel angekua Karibu na North korea tegemea Israel wayahudi wote wangeshachinjwa kwa mapanga.
Kama Israel angekua karibu na Russia tegemea now Tel aviv iko chini ya Russia.
Wewe wanamgambo wa Hamas tu wamewapa Israel hasara ya vita ya zaidi ya Yom Kippur war.
Halafu uropoke iingie vita na Kiduku au Russia!?
Zingepigwa Iskander kadhaa hapo pangegeuka juu chini hapa Kiryat Shmona.
Cha mwisho mshindi wa vita ya Ukraine ni Russia hadi sasa.
Hata viongozi wa kizungu wenyewe wanasema ngoma ngumu kumzuia Russia.
Ndugu siku nyingi Simo humu lakini Nijuavyo mimi humu wapo GREAT THINKER kwa maneno yako hayo unauabisha Mtandao mzima wa Jamiforums kwa hizi Pumba ulizotoa nashindwa hata nikujibu lipi kwa hayo uliyoandika.
 
Kama weww ulivyo Shoga?

Usitufanye wote ni mbulura kama wewe mengine yamekuwa intercepted na hilo moja limeangukia barabarani wapita njia 2 ndiyo waliojeruhiwa. Hezbollah mliokuwa mnawasifia mlikuwa mnasifia Utopolo tu Operation Beeper makamanda wake 80% ni vilema Majeshi ya Israel yako huko sasa hivi wala hawaonyeshi upinzani wowote ule. Makombola ya Hezbollah wala Wahouthi hayana impact yoyote kila siku yanapopolewa na mengine kuangukia porini na kusababisha kuharibu misitu tu Hezbollah kwa kuwa waliamua kuwaunga mkono Hamas Acha wachezee kichapo cha mbwa-koko
Aisee kama huna unalojua kaa kimya.
Unajua yameshambuliwa maeneo mangapi leo!??
Yameshambuliwa maeneo zaidi ya mawili humo Israel.
Hilo lililoangukia road ni moja wapo ya yaliyopenya.
Mengine yamelipua viwanda na sehemu zingine.
*Halafu we kijana mdogo hao Hizbollah umeanza kuwajua leo.Nenda katizame 2006 Israel aliondokaje Bint Jubeir.
Hao Houthi unaosema mashambulizi yao hayana impact wao ndio wamesababisha bandari ya Eilat isifanye kazi.
Sijui akili zako huwa zipo makwapani!??

Na hapo chini panapowaka moto ni barabarani!??
Screenshot_2024-10-01-13-24-54-31_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ndugu siku nyingi Simo humu lakini Nijuavyo mimi humu wapo GREAT THINKER kwa maneno yako hayo unauabisha Mtandao mzima wa Jamiforums kwa hizi Pumba ulizotoa nashindwa hata nikujibu lipi kwa hayo uliyoandika.
Huna unalolijua kijana.
Huwezi kujibu kwasababu HUNA UNALOLIJUA.
Wanaoelewa watakuja kukupa ufafanuzi subiri niwaite.

and 100 others
Extrovert
Maonihuru
kimsboy

Embu mshangaeni kijana anafananisha Russia+North Korea na Israel.
 
Acha ujinga Askari wa Israel wako Lebanon sio leo tu wako huko siku nyingi na mahandaki mengi yako mikononi mwao. Jana ndiyo askari wa miguu waliingia huko wakati Special-Force wako huko siku nyingi. Kama hata Aljazeera wamekiri hayo wewe mbulu-kenge unabisha nini?
Mbona taarifa imetoka mchana wa Leo wanasema Bado hawajaingia, na Hezbollah nao wanasema nikweli hawajaingia Lebanon?. Au mwenzetu taarifa unatoa wapi?.
 
Mbona taarifa imetoka mchana wa Leo wanasema Bado hawajaingia, na Hezbollah nao wanasema nikweli hawajaingia Lebanon?. Au mwenzetu taarifa unatoa wapi?.
Kifupi wewe endelea kuamini hawajaingia kumbe walishaingia mliambiwa pia kuwa Gaidi Sayyed Hassan Nasrallah kauliwa mkaendelea pia kukataa tukawapa muda mwishoni ndipo mlikubali kwa shingo upande hivi nyinyi mliumbwaje? Uongo ndiyo sera yenu?
 
Kifupi wewe endelea kuamini hawajaingia kumbe walishaingia mliambiwa pia kuwa Gaidi Sayyed Hassan Nasrallah kauliwa mkaendelea pia kukataa tukawapa muda mwishoni ndipo mlikubali kwa shingo upande hivi nyinyi mliumbwaje? Uongo ndiyo sera yenu?
Mkuu kiufupi wewe ni mjinga. Na ujinga sio tusi jambo nalokushauri jitahidi kutafuta taarifa za kweli. Juu pale umeonyesha kutilia shaka taarifa za Aljazeera, comment inayofuata ukaonyesha kusapoti taarifa za Aljazeera.
 
Vita iko hyped na western media, Israel alitangaza kuwa kaishaingia Lebanon na Hezbollah walikanusha.

Bado Israel hawajui wanatumiwa vipi na USA ambae Ana maslahi makubwa na vita hii pamoja na ya Eukraine,

Muda mchache uliopita Hezbollah kapiga Headquarter za Mossad lakini western media zimetulia tu Fox pekee wameripoti, marekani anajalibu silaa zake kwenye live scene akiwatumia israel na Eukraine haiwezi tumia $100M kulipua port ambayo haifiki hata $1M lakini israel wanaenjoy kwasabu sio kodi zao.
Duh! Headquarter ya Mossad?

Hii hali hatari.
 
K
Mkuu kiufupi wewe ni mjinga. Na ujinga sio tusi jambo nalokushauri jitahidi kutafuta taarifa za kweli. Juu pale umeonyesha kutilia shaka taarifa za Aljazeera, comment inayofuata ukaonyesha kusapoti taarifa za Aljazeera.
Kwa taarifa yako tu Majeshi ya Israel yako ndani ya Lebanon utake usitake na majeshi ya Lebanon yamejiondoa kupisha kipigo kwa magaidi wa Hezbollah
 
Mbona taarifa imetoka mchana wa Leo wanasema Bado hawajaingia, na Hezbollah nao wanasema nikweli hawajaingia Lebanon?. Au mwenzetu taarifa unatoa wapi?.
Avatar aliyotumia inafahamika mtandao X (Twitter). Ana ubishi huo huo!

Kule X wanamuita Bwana mavitenge(si unaona avatar yake aliyoiweka?!).
 
Duh! Headquarter ya Mossad?

Hii hali hatari.
Huo niongo mtupu kama Israel wameweza kumuua Sayyed Hassan Nasrallah pangolin kwake nyau gani anaweza kupiga makao makuu ya Mossad? Huo ni uzushi wa kutaka kujifurqhisha tu!!
 
Back
Top Bottom