Isreal Kakacha Baada ya US kumuambia Hawezi Kupigana na Iran

Msije mkaanza kulialia kikianza kuum1na
 
Mkuu hujui huko lebanon mambo siyo mambo, hadi sasa wanapokea miili tu ya marehemu, na walionywa hawakusikia
In the coming weeks hizbullah wataanza kupiga miji katikati lengo itakuwa kuwalazimisha israel kuacha vita na mara nyingi katikati maana yake ni both military na civillian target sasa hivi utaanza kuona maandamano ya raia na sasa hivibutamuona usa akianza kupigia kelele ya cease fire wait and see.
 
Iran sio tishio kwa Israel kwa namna yoyote ile.

Tetea hoja yako kwa vielelezo kuwa Iran sio tishio kwa Magaidi wa Israel, co unaropoka tu, kama mabwana zake US wanamtaadhirisha asithubutu kupambana na Iran, we nani?
Leo Mike pompeo anasema iran can destroy israel mara 2500 kwa kuwa ina heavy missile power around laki 5,hapo usizungumziie nukes just ordinary missile
 
Kwani hamas si Iran pia au ujui Kama ni kundi lake alilolipandikiza palestina
Nasikia bunge la iran linadraft ushirikiano kijeshi kama vile nato itainclude syria ,yemen ,hizbullah na hamas halafu akishambuliwa mmoja basi wote wanaingia mzigoni.
 
Ukitaka mti usitoe tena unatoa na mizizi ambayo ndio Iran 🇮🇷 ila kukata matawi ambayo hizbullah na hamas sio dawa
 
Hii vita ya Erael na Palestine haina kichwa wala migu ni kwaajiri kulinda urasi wa Netanyau. Nentanyau hajari maisha ya wa Esrael wala mtu yoyote zaidi ya yeye mwenyewe na familia yake.
 
Kama papa anavyo walazimisha kufirana watu wajinsia moja na kusagana
 
Marekani imetumia $22.76bn kusaidia vita vya Israel dhidi ya Gaza na operesheni dhidi ya Houthis nchini Yemen, kulingana na ripoti ya Taasisi ya Watson ya Chuo Kikuu cha Brown.

Msaada wa kijeshi wa dola bilioni 17.9 kwa Israeli tangu vita vya Gaza kuanza mwaka mmoja uliopita ni jumla ya juu zaidi ya mwaka kuwahi kutokea, kulingana na ripoti hiyo.
 
Kama hata harusi watu wanapata hasara za kugharamika kutumia pesa na kupata madeni ila unataka kwenye vita watu wapate faida ila wasirudi miaka 50 nyuma ukiingia kwenye vita ujue Kuna hasara israhell kama anaweza kweli waingie tu au unadhani Iran 🇮🇷 hawakujua kama kuna hasara na kurudi nyuma kabla ya kurusha makombora
 
WHERE ARE YOU ALLAH?
UPO WAPI ALLAH?View attachment 3117734
Umeshawahi kusoma bible zilizoandikwa Kiarabu? au kusikiliza Misa zinazotolewa kwa lugha hiyo?
Kama bado fanya moja wapo utajua maana ya ALLAH.
Labda kama tunadanganywa. Lakini kama IRAN aliweza kuzichakaza base za ISRAEL ambayo iko mbali huku Tena zikipata Kila msaada wa US na NATO na MAJIRANI vibaraka, direct war ijianza atashindwa vipi kuanza kuziangamiza base za ADUI zilizomzunguuka?
 
Je kwenye hizo Biblia za kiarabu Yesu anaitwa Issa wewe mbwiga?

NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR
 
Allah limungu lakiarabu lioga kama nini. Limewaingiza mkenge likala kona na kuzama chaka limewaacha Solemba mmebakia kubweka allah akbar allah akbar huku mmebana mikundunamarinda mkiwa na uchungu mkali.
 
Watu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.

Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.

Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.

Just watch this space….
Watu wanacho argue ni kuona hiyo timetable yake mwenye skiibadilisha Kila mara.
Siku ya kichapo " oo nitalipiza Leo leo"- kaufyata mkia.
Sunday. "Usiku wa Leo nitalipiza. Nitavishambulia vituo vya nuclear" -akaambiwa na IRAN " Jaribu .hujui tulichokuandalia" - Kaufyata.
Baada ya kusomewa mchezo na basha wake." Tume postpone mpaka Jumatatu" - Jumatatu kimya. Kaufyata
ISRAEL iazimie kukushambulia hafu ikwambie muda au siku- wao ni full kuvizia na kushtukiza hata kama wataua raia elfu Moja wao haiwagusi, wao watajitetea wameua Magaidi.
Hii nitalipiza Leo, kesho, mchana, jioni usiku ni kujitoa kimasomaso asionekane mnyonge mbele ya IRAN baada kuaminisha watu kua yeye ni bwana wa mabwana.
 
Lini Israel ilisema italipiza leo leo?
 
NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR
 
Je kwenye hizo Biblia za kiarabu Yesu anaitwa Issa wewe mbwiga?

NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR NETANYAHU AKBAR
Umeelewa point yanngu lakini? Kama hujaielewa niulize nilikua namsanisha nini nikueleweshe.
Kuhusu swali lako hata kama ni slightly irrelevant ni kwamba kwenye hizo bible za Kiarabu YESU anaitwa MASSIH - maana yake mkombozi. Na kwenye Qur ani majina yote mawili Issa (linaandikwa na kutamkwa IISAA")na MASSIH yote yanatumika.
 
Bora wafanye mazungumzo ya amani kuliko kutupiana makomvora.

Israel akimjibu Iran basi itakuwa vita ingine ya muda mrefu
 
Sema hawa nyambizi wa jerusalem wameyakanyaga kwa iran asee kikubwa utulivu tu wakitaka mbaya wacha iwe mbaya kama wao ni wanaume kweli na sio wanapigana na kigroup kifua mbele asee sa mnyama kaingia kama wakiweza kutunisha upepo miluzi itakuwa kwao pamoja me salamu za rambirambi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…