Isreal Kakacha Baada ya US kumuambia Hawezi Kupigana na Iran

Isreal Kakacha Baada ya US kumuambia Hawezi Kupigana na Iran

Israel aliona amepata fursa ya kumconvince USA ampige Iran baada ya tukio la juzi. Ila USA naona kaanza kupata akili kaona hapa maslahi yangu yapo hatarini. Usisahau USA ina military bases karibu nchi zote hapo Middle East wanalinda mafuta utadhani yao.

Sasa USA ameona kama Iran inaweza kuipiga Israel kwa masafa yale basi kwa hakika inaweza kuzipiga USA military bases zake zote zilizopo Middle East na USA kaona hii ngoma siiwezi.

Sasa Israel kwa hasira anawatukana wafazili wake hao ameanza na Macron soon atafuatia Biden.

Israel haina nguvu yeyote bila misaada ya west
Maneno yako ni 💯 Israel hana lolote hata Nasurlah nasikia ni USA ndio kapiga yale maboom sio Israel, huyo chui wa karatasi kakimbilia kujisifu yeye ndio alimuwa Nasurlah 😄
 
Unaishi Ulimwengu wa wapi? Eti mashambulizi mara 2 bila majibu!! Wakati shambulio la kwanza lilijibiwa kwa kombora la ndege, likatekeza mtambo wa kurushia makombora wa Iran, na Iran hakuendelea tena.

Na hata hili shambulio la sasa, Marekani ameisihi Israel kutojibu mashambulizi, lakini Israel imegoma, na kusema ni lazima ijibu kwa mashambulio ya kuangamiza binu vya nuklia na visima vya mafuta vya Iran.
Shambulio lakwanza hatukuliona, kama unachanzo tuwekee. Hili la pili ningonjera tu zinapigwa na vikao vya harusi vya Kila siku kati ya bwana USA na mkewe ISRAEL lakini hatuoni majibu.
 
Alipigana na warabu wote na alishinda labda unajisahaulisha,waarabu na waislamu walivyo wabaguzi Israeli ungekuwa dhaifu ingeshafutwa,Hakuna nchi ya kiarabu inaweza pigana na wayahudi never .....Huwa sipati picha nchi ya kiarabu ingekuwa super powe kama USA , UK and etc wote tungelazimishwa ku slimu...
 
Alipigana na warabu wote na alishinda labda unajisahaulisha,waarabu na waislamu walivyo wabaguzi Israeli ungekuwa dhaifu ingeshafutwa,Hakuna nchi ya kiarabu inaweza pigana na wayahudi never .....Huwa sipati picha nchi ya kiarabu ingekuwa super powe kama USA , UK and etc wote tungelazimishwa ku slimu...
Alipigana wapi, story zakwenye kahawa hizo ambazo midea za west zilikua zinatudanganya. Hamas tu anamtoa kamasi mwaka sasa umeisha, Hezbollah ndio akiingia m100 anatoka mbio anarudi kushambulia angani. Na wote tunaona .
 
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
yaani hata wakipigana hawatusaidii chochote, zaidi sana wataongeza ugumu wa ,maisha baada ya mafuta kupanda. Iran amekuwa gentleman sana kwenye suala hili, baada ya kupiga, ilikuwa ni kama watoto wawili walikuwa wamechokozana akajirudishia akampigia marekani kumwambia nimejirudishia na sina nia ya kuendelea na ugomvi, marekani hakupokea simu, kaenda Qatar ambaye akipiga simu tu marekani anapokea kwa sababu kuna base yake pale, akamwambia naomba mwambie marekani mimi nimeshajirudishia sitaki ugomvi uendelee, of course quatar inaonekana alifikisha meseji, Iran hakuishia hapo, akatuma watu India, ambayo ni rafiki wa Israel akawaambia waishauri israel isijirudishie kwa sababu yeye amejirudishia na hataki waendelee kupigana.

ukweli ni kwamba, nchi zote mbili ni imara sana. iran amechimbia chini ya mahandaki silaha zake nyingi ambazo myahudi anaweza asizilipue hadi aende ground invasion jambo ambalo ni baadaye sana. pia iran alishajipanga kwa mahandaki mengi kupigana na marekani hivyo israel akienda miundombinu ile waliandaa kupigana na marekani itatumika kupigana na israel, na israel itapata shida kumpiga, kwa sababu silaha anazo nyingi. hata vitu vya nuclear vipo ardhini.

iran anaogopa sana kulipuliwa kwa visima vyake vya mafuta, mitambo yake ya kufua umeme na radar zake ambavyo vitambarimu sana, kwa sababu Iran sio taifa tajiri, ni middle income, bado anajikokota hata kama ana mafuta mengi na gas lakini bado sio nchi ya ulimwengu wa kwanza. hivyo hataki kurudishwa nyuma. ila kama wakiingia vita akaamua kujitoa mhanga, ataisumbua sana israel, na hayupo tayari kujitoa mhanga kwa sababu ana uhakika with time israel atampiga tu.

Marekani ana mabom makubwa sana hata ya bunker za kupiga kitu kikiwa chini ya ardhi, na ameweka base nyingi kuizunguka iran, hataiacha salama. labda vita visianze, vikianza tu havitaisha hadi iran iwe Gaza, ndio hofu ya iran. ikianza tu uso kwa uso havita isha hadi iran iwe gaza kwasababu UK, Ufaransa, Ujerumani, NATO yote, Israel, Marekani wataungana na kupigana bila uchumi wao kuteketea ila uchumi wa irani utakuwa unateketea and with time atashindwa hata kuhudumia wanajeshi wake mishahara. ndicho anachoogopa.

kama ni vita ya siku moja au miezi sita, iran anaweza kustahimili, ila vita vya muda mrefu, uchumi wake hauruhusu.
 
Waoga sana Israel. Anapigana na vikundi vya wanamgambo anajiita mbabe.

Haya kajitokeza mbabe wa kweli kamshambulia mara mbili nyumbani kwake bila majibu.

Iran ni taifa kubwa lenye silaha hatari zisizozuilika na mfumo wowote wa anga ndiyo maana karusha makombora lakini hayajazuiliwa na nchi kadhaa licha ya jitihada za kuyazuia.
Majibu kaua rais wao kwa ajali fake ya helicopter, kaua Hamas Chief ndani ya Iran, kaua Majenerali wawili wa Iran sio kitu rahisi
 
yaani hata wakipigana hawatusaidii chochote, zaidi sana wataongeza ugumu wa ,maisha baada ya mafuta kupanda. Iran amekuwa gentleman sana kwenye suala hili, baada ya kupiga, ilikuwa ni kama watoto wawili walikuwa wamechokozana akajirudishia akampigia marekani kumwambia nimejirudishia na sina nia ya kuendelea na ugomvi, marekani hakupokea simu, kaenda Qatar ambaye akipiga simu tu marekani anapokea kwa sababu kuna base yake pale, akamwambia naomba mwambie marekani mimi nimeshajirudishia sitaki ugomvi uendelee, of course quatar inaonekana alifikisha meseji, Iran hakuishia hapo, akatuma watu India, ambayo ni rafiki wa Israel akawaambia waishauri israel isijirudishie kwa sababu yeye amejirudishia na hataki waendelee kupigana.

ukweli ni kwamba, nchi zote mbili ni imara sana. iran amechimbia chini ya mahandaki silaha zake nyingi ambazo myahudi anaweza asizilipue hadi aende ground invasion jambo ambalo ni baadaye sana. pia iran alishajipanga kwa mahandaki mengi kupigana na marekani hivyo israel akienda miundombinu ile waliandaa kupigana na marekani itatumika kupigana na israel, na israel itapata shida kumpiga, kwa sababu silaha anazo nyingi. hata vitu vya nuclear vipo ardhini.

iran anaogopa sana kulipuliwa kwa visima vyake vya mafuta, mitambo yake ya kufua umeme na radar zake ambavyo vitambarimu sana, kwa sababu Iran sio taifa tajiri, ni middle income, bado anajikokota hata kama ana mafuta mengi na gas lakini bado sio nchi ya ulimwengu wa kwanza. hivyo hataki kurudishwa nyuma. ila kama wakiingia vita akaamua kujitoa mhanga, ataisumbua sana israel, na hayupo tayari kujitoa mhanga kwa sababu ana uhakika with time israel atampiga tu.

Marekani ana mabom makubwa sana hata ya bunker za kupiga kitu kikiwa chini ya ardhi, na ameweka base nyingi kuizunguka iran, hataiacha salama. labda vita visianze, vikianza tu havitaisha hadi iran iwe Gaza, ndio hofu ya iran. ikianza tu uso kwa uso havita isha hadi iran iwe gaza kwasababu UK, Ufaransa, Ujerumani, NATO yote, Israel, Marekani wataungana na kupigana bila uchumi wao kuteketea ila uchumi wa irani utakuwa unateketea and with time atashindwa hata kuhudumia wanajeshi wake mishahara. ndicho anachoogopa.

kama ni vita ya siku moja au miezi sita, iran anaweza kustahimili, ila vita vya muda mrefu, uchumi wake hauruhusu.
Una upeo mkubwa sio ushabiki
 
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Jana nilikwambia Huna kaba utaleta uzi bila source nilikwambia NITAKUKUMBUSHA haya leta source hapa. Najua utaleta ya Jihadists ya twitter😁😁
 
Time gani bwana nyie si mlisema leo usiku Israel inashambulia Iran?

Tushawaambia Israhell is a dead state without US and western countries support.
US kamuambia don't kaona Missile 800 ziko tayar kushambulia tena Hypersonic kichwa cha missiles ni mara kumi zaidi ya zile alizo piga Tela Aviv.

Turkey wanasema hizo Missiles zinaitwa Siku ya Kiyama, kawambia Nato msijaribu hakuna kitakacho baki Israel

Plus Iran jana katest Nuclear chini ya ardhi yani kisha maliza mchezo wote.

Israel nawambieni 1000/1000 hawezi kugusa Iran.
 
Israel aliona amepata fursa ya kumconvince USA ampige Iran baada ya tukio la juzi. Ila USA naona kaanza kupata akili kaona hapa maslahi yangu yapo hatarini. Usisahau USA ina military bases karibu nchi zote hapo Middle East wanalinda mafuta utadhani yao.

Sasa USA ameona kama Iran inaweza kuipiga Israel kwa masafa yale basi kwa hakika inaweza kuzipiga USA military bases zake zote zilizopo Middle East na USA kaona hii ngoma siiwezi.

Sasa Israel kwa hasira anawatukana wafazili wake hao ameanza na Macron soon atafuatia Biden.

Israel haina nguvu yeyote bila misaada ya west
Ila kuna namna fulani isreli ameweza kuaminisha watu kuwa yeye ndo super power kwa hiyo kila mtu nchi pale ikawa inafuat mkia ila kwa sasa yupo uchi na ndo ikitu kinachomtesa kwa sasa
 
Watu mna papara sana. Hamna subira hata kidogo.

Israel naamini inafuata timetable yake yenyewe. Haifuati timetables za watu wa mitandaoni.

Naamini itajibu kwa kufuata muda wake yenyewe.

Just watch this space….
 
Jana nilikwambia Huna kaba utaleta uzi bila source nilikwambia NITAKUKUMBUSHA haya leta source hapa. Najua utaleta ya Jihadists ya twitter😁😁
Wewe lala mwenzako napata habari kabla ya CNN na Aljazeera. Mimi nimeitoa hio habari mchana sa we katune Aljazeera na CNN utasikia US anasema hatutaki vita viwe vikubwa mda sio mrefu haha.
US atatangaza mda si mrefu. Hio ni kuondoa aibu kama Israel sio yeye ka backdown, ni kwa sabubu ya kuwasikiliza US na US ndio kawazuia hahaha, wakati wao ndio walisema mwanza Israel ina haki ya kulipa kisasi na wao wako naye.

Wameona moto huko si mchezo.
 
Kwa ufupi tu...hii vita Israel hawezi kushinda...Iran ni just a tip of Iceberg, hapo Middle East wapo maadui zake wengi tu wanamchora tu...Halafu udhaifu wa silaha za West umeonekana Ukraine, hivo ukitoa Nyuklia, Israel hana cha kumtisha Iran... halafu shambulio la Iran limeshangiliwa sana hapo mashariki ya kati, tofauti na ilivotegemewa na hakuna serikali yoyote ya kiarabu iliyolaani kitendo hicho...hiyo ni picha tosha kwa Israeli kuwa anaweza kuanzisha vagi ambalo hataliweza, ukichukulia kanchi kenyewe kadogo na sehemu kubwa ya wananchi wake wana uraia wa nchi mbili...
 
Israel kaukacha bada ya kuambiwa na US asisubutu kugusa Iran, sababu
Iran amezielekeza 800 Hypersonic missiles kuelekea israel, na hizo missiles vichwa vyake vina high explosions. US wamewambia Israeli army that it could not withstand the explosions of these missiles, so it is better to stop the response.
Ndiyo matunda ya vikwazo ukimusababishia mtu changamoto binadamu huamsha ubongo jinsi ya kukabiliana na changamoto
 
Kwa ufupi tu...hii vita Israel hawezi kushinda...Iran ni just a tip of Iceberg, hapo Middle East wapo maadui zake wengi tu wanamchora tu...Halafu udhaifu wa silaha za West umeonekana Ukraine, hivo ukitoa Nyuklia, Israel hana cha kumtisha Iran... halafu shambulio la Iran limeshangiliwa sana hapo mashariki ya kati, tofauti na ilivotegemewa na hakuna serikali yoyote ya kiarabu iliyolaani kitendo hicho...hiyo ni picha tosha kwa Israeli kuwa anaweza kuanzisha vagi ambalo hataliweza, ukichukulia kanchi kenyewe kadogo na sehemu kubwa ya wananchi wake wana uraia wa nchi mbili...
marekani kuna wayahudi 8m, ni wengi kuliko wale walioko Israel. na wengi wameshika serikali mfukono ukijumlisha matajiri. hata secretary of state huyo anayejifanya kwenda israel mara kwa mara, baba yake na mama yake ni wayahudi walihajia toka Hungary miaka ya holocost. kwahiyo ukisema Israel inapigana, jua sio israel peke yake, ni Israel +Marekani+UK na nchi za NATO. Iran kwa miezi michache atapigana na kuleta madhara, ila with time uchumi wake utayuba atashindwa hata kulipa mishahara wanajeshi wake, na wanajeshi hata kama wapo royal kwako namna gani ukiona mpunga haupo, wanakusaliti asubuhi kabisa. tofautisha na Urusi ambaye anapigana ila bado ana nchi anafanya nao biashara na uchumi wake hauyumbi, NATO waliisukuma ukrain ikapigane naye wakitegemea with time uchumi utashuka na atashindwa kuhudumia vita, lakini uchumi wa russia haushuki ndio maana anaendelea kupigana hadi leo. haitakuwa hivyo kwa Iran, iran yupo vulnarable zaidi, ukigusa kituo cha umeme, visima vya mafuta na rada za kuongozea ndege, inakuwa failed state hata mwaka mrefu. atanyoosha mikono na nchi itakuwa kam ilivyo iraq sasaivi. iran anajua hilo ndio maana pamoja na kufanya retaliation, anaonekana ana hofu san ana vita hiyo kwa sababu anajua with time watamshinda tu.

vita ni pesa, wale wanajeshi wana familia, wana watoto wanasoma, wana wake zao wanahitaji mpunga, ukipigana vita uchumi ukasimama wale wale wanajeshi wako wanakupindua.
 
SIo kuogopa ila kwa hali ilivyo kuna mambo mengi mtu unaangalia kabla ya kuamua kupigana
Nguvu ya adui, usalama wa watu wako , budget, prioroties za kisiasa etc
Marekani yupo kwenye uchaguzi hawezi kuacha uchaguzi akapigane vita ambavyo havina faida bali upuuzi wa netanyahu
UFaransa na uingereza hawapo tayari kuingia vitani for now, covid na vita ya ukrane imewafubaza
Hivi wewe unajua unachokiongea,unasema hivyo vita havina faida kwa USA-kwa akili yako unayedhani anapigana hapo ni nani labda,Israel anatumika kama ambavyo anatumika Ukraine na yupo hapo mashariki ya kati kwa kuwa USA & Uk walitaka awepo kwa manufaa yao.
 
Alipigana na warabu wote na alishinda labda unajisahaulisha,waarabu na waislamu walivyo wabaguzi Israeli ungekuwa dhaifu ingeshafutwa,Hakuna nchi ya kiarabu inaweza pigana na wayahudi never .....Huwa sipati picha nchi ya kiarabu ingekuwa super powe kama USA , UK and etc wote tungelazimishwa ku slimu...
Nani kakudnganya wewe, kama aliwapiga waarabu wote sasa mbona Hamas tu inamshinda na Hamas haina hata kifaru kimoja?
Nilishaona video ya askari mstaafu wa UK akisema kuwa yale mapigano ambayo Iran alipigana na waarabu akashinda ndani ya siku 6 yeye pia alikuwepo na waliambiwa wahakikishe hakuna anayejua kuwa kuna foreigners kwenye jeshi la Israel. Hakuna kitu kama hicho ndugu hao wazungu ndio waliungana wakawapiga waarabu wakiwa wamevaa sare za jeshi la Israhell.

Ipo siku hawa West wakimchoka Israel watatoboa siri zao zote.

There is no Israel without western countries
 
😂😂 Israel, Marekani na Ulaya hawalali kwasababu ya tishio la Iran wewe mtu wa Ngudu unasemaje?😂😂

Laiti Israel na Marekani wangekuwa na uwezo wa kuifuta Iran na kuweka vibaraka wao wasingethubutu kupoteza fursa adimu kama hiyo.

Wanajeshi wa Israel walijaribu kunusa tu mpaka wa Lebanon wamekutana na chinja chinja wamevunwa kama samaki.
Hapo hakuna vita kati ya nchi na nchi Israel yupo kwenye operation ya magaidi unafikiri ingekuwa ni vita kamili cha moto Iran ingekiona hata majengo yanayojengwa ni ya viongozi wa hezibulla hawagusi ya raia wa kawaida ndiyo maana wanawataarifu raia waondoke kabila ya mashambulizi
 
Back
Top Bottom