Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kunywa maji ya mtoni pale ambapo Farasi anakunywa. Farasi hawezi kunywa maji machafu.
Weka kitanda chako mahali ambapo paka hupenda kulala.
Kula tunda ambalo limeguswa na mdudu au mnyoo.
Chuma Uyoga ambao wadudu huufata.
Panda mti mahali ambapo Panya wamechimba.
Wakati wa kusafisha kiwanja ikitokea mahali ambapo umemkuta Nyoka basi jenga nyumba yako eneo hilo.
Jenga Kisima mahali ambapo Ndege hujificha kukwepa joto.
Kalale na uamke muda ambao ndege huamka _ Utavuna mbegu adhimu za Dhahabu.
Hakikisha unakula Mboga saba halafu zote za Majani utakuwa na Miguu yenye nguvu, utakwepana na magonjwa ya Moyo, kama wanyama wa msituni.
Ogelea mara kwa mara na utajisikia upo Duniani kama samaki majini.
Tazama mawinguni mara kwa mara na Fikra zako zitakuwa Angavu na Safi.
Kuwa mkimya sana, Ongea kidogo - na Ukimya utakuja moyoni mwako, na Roho yako itatulia na kuwa na Amani.
Weka kitanda chako mahali ambapo paka hupenda kulala.
Kula tunda ambalo limeguswa na mdudu au mnyoo.
Chuma Uyoga ambao wadudu huufata.
Panda mti mahali ambapo Panya wamechimba.
Wakati wa kusafisha kiwanja ikitokea mahali ambapo umemkuta Nyoka basi jenga nyumba yako eneo hilo.
Jenga Kisima mahali ambapo Ndege hujificha kukwepa joto.
Kalale na uamke muda ambao ndege huamka _ Utavuna mbegu adhimu za Dhahabu.
Hakikisha unakula Mboga saba halafu zote za Majani utakuwa na Miguu yenye nguvu, utakwepana na magonjwa ya Moyo, kama wanyama wa msituni.
Ogelea mara kwa mara na utajisikia upo Duniani kama samaki majini.
Tazama mawinguni mara kwa mara na Fikra zako zitakuwa Angavu na Safi.
Kuwa mkimya sana, Ongea kidogo - na Ukimya utakuja moyoni mwako, na Roho yako itatulia na kuwa na Amani.