Itakuwaje ikionekana Morisson ana mkataba na Yanga?

Itakuwaje ikionekana Morisson ana mkataba na Yanga?

1. Yanga wanapewa Ubingwa wa Ligi
2. Ubingwa wa Azam
3. Ngao ya Jamii
4. Wanapewa nafasi ya robo fainal iliyofikiwa na simba CAF
5. Wanakuwa kwenye 20 best teams in africa.
6. Wao ndo wanapewa sifa za kucheza soka mujarabu
7. Wanapewa viwanja vya Bunju

N.k



RATIBA YA KESI KASI WEEK HII

26.07.21


CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige

29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison

05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald

09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)

23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC

25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
 
1. Yanga wanapewa Ubingwa wa Ligi
2. Ubingwa wa Azam
3. Ngao ya Jamii
4. Wanapewa nafasi ya robo fainal iliyofikiwa na simba CAF
5. Wanakuwa kwenye 20 best teams in africa.
6. Wao ndo wanapewa sifa za kucheza soka mujarabu
7. Wanapewa viwanja vya Bunju

N.k
Umesahau na simba super cup
 
RATIBA YA KESI KASI WEEK HII

26.07.21


CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige

29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison

05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald

09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)

23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC

25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda

kuna uwezekano kwanza kombe wakapewa upande wa pili ama kukawa na ban ya caf au yote kwa pamoja
 
RATIBA YA KESI KASI WEEK HII

26.07.21


CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige

29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison

05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald

09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)

23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC

25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
Wanakuwa mabingwa

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
RATIBA YA KESI KASI WEEK HII

26.07.21


CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige

29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison

05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald

09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)

23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC

25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
Itakuaje ikionekana hana mkataba na yanga?
 
tff watakuwa na makosa? ulemsemo tff wapo kwa ajili ya kuhakikisha simba inafanya vizuri utatimia nijib please
Tff ipo kwa ajili ya timu bora ishinde na simba ni timu bora hivyo upo sahihi.
 
Sasa mbona ni kama una hitimisho lako tayari,kulikuwa na haja gani ya kuanzisha hii Thread? [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
CAS hawashughuliki na mambo ya point, wanaangalia maslahi ya mlalamikaji na mlalamikiwa. Ndio maana hukumu zao zote ni kuilazimisha klabu kumlipa mchezaji au kocha hela, mfano Amis Tambwe na Mwinyi Zahera. Kwa hiyo wataangalia kama Yanga anastahili kulipwa au watashikilia msimamo wa TFF kuwa Morrison alikuwa mchezaji huru
Vipi kuhusu hukumu ya AS Vita kutoka CAS hadi akapokonywa points na kunyimwa Ubingwa?
 
CAS hawashughuliki na mambo ya point, wanaangalia maslahi ya mlalamikaji na mlalamikiwa. Ndio maana hukumu zao zote ni kuilazimisha klabu kumlipa mchezaji au kocha hela, mfano Amis Tambwe na Mwinyi Zahera. Kwa hiyo wataangalia kama Yanga anastahili kulipwa au watashikilia msimamo wa TFF kuwa Morrison alikuwa mchezaji huru
[emoji106]
 
Bado hukumu haijatoka tu!
Nadhani bado

Screenshot_2021-07-29_132103.jpg
 
Na kweli alishinda, kwa hiyo anticipation yake ilikuwa sahihi. Simba walikuwa smart, walikuja kumtangaza kusajiliwa baada ya kesi yake kumalizwa (fuatilia hilo utajua tarehe aliyotangazwa rasmi)
Kesi ilimalizwa vp while Yanga waliendelea na kesi cas,simba ilistahili imsajili morison leo hii baada ya kutoka hukumu ya cas iwapo atashinda,sema kipindi iko kuna walikua serikali na wengine bado wapo serikalini kwa kushirikiana na tff wakajiamulia tu kisiasa kuidhulumu Yanga mchezaji wao
 
Back
Top Bottom