SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mtu ukilala na njaa lazima uote ndoto za kitoto kitoto tuSimba vs pamba play off maana atakua na point 38
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu ukilala na njaa lazima uote ndoto za kitoto kitoto tuSimba vs pamba play off maana atakua na point 38
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
RATIBA YA KESI KASI WEEK HII
26.07.21
CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige
29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison
05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald
09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC
25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
Umesahau na simba super cup1. Yanga wanapewa Ubingwa wa Ligi
2. Ubingwa wa Azam
3. Ngao ya Jamii
4. Wanapewa nafasi ya robo fainal iliyofikiwa na simba CAF
5. Wanakuwa kwenye 20 best teams in africa.
6. Wao ndo wanapewa sifa za kucheza soka mujarabu
7. Wanapewa viwanja vya Bunju
N.k
Kabisa.🤣🤣🤣Umesahau na simba super cup
RATIBA YA KESI KASI WEEK HII
26.07.21
CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige
29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison
05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald
09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC
25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
Wanakuwa mabingwaRATIBA YA KESI KASI WEEK HII
26.07.21
CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige
29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison
05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald
09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC
25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
utopolo wanakuwa mabingwa halafu wanapewa nafasi ile ya robo fainali ya klabu bingwa then wanaplekwa number 13 kwenye ranking za caf kutoka 74kuna uwezekano kwanza kombe wakapewa upande wa pili ama kukawa na ban ya caf au yote kwa pamoja
Itakuaje ikionekana hana mkataba na yanga?RATIBA YA KESI KASI WEEK HII
26.07.21
CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC)
CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige
29.07.21
CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison
05.08.21
CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor v. Mitchell Glenn Donald
09.08.21
CAS 2020/A/7537 Francisco José Castro Fernandes v. Club FC Farul Constanta & Fédération Internationale de Football Association (FIFA)
23.08.21
TAS 2021/A/7824 Mahamadou Traoré c. CS Constantine
CAS 2020/A/7555 Al Nassr FC v. Asian Football Confederation (AFC) & Persepolis FC
25.08.21
CAS 2021/A/7738 Socieda
utopolo wanakuwa mabingwa halafu wanapewa nafasi ile ya robo fainali ya klabu bingwa then wanaplekwa number 13 kwenye ranking za caf kutoka 74
Tff ipo kwa ajili ya timu bora ishinde na simba ni timu bora hivyo upo sahihi.tff watakuwa na makosa? ulemsemo tff wapo kwa ajili ya kuhakikisha simba inafanya vizuri utatimia nijib please
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mbona ni kama una hitimisho lako tayari,kulikuwa na haja gani ya kuanzisha hii Thread? [emoji3][emoji3][emoji3]
Akikujibu nishtuenimekusoma vp as vita hukumu ilitoka cas au walijisahau nn au zile alizo nyanganywa zilikuwa si za uwanjan mkuu
Vipi kuhusu hukumu ya AS Vita kutoka CAS hadi akapokonywa points na kunyimwa Ubingwa?CAS hawashughuliki na mambo ya point, wanaangalia maslahi ya mlalamikaji na mlalamikiwa. Ndio maana hukumu zao zote ni kuilazimisha klabu kumlipa mchezaji au kocha hela, mfano Amis Tambwe na Mwinyi Zahera. Kwa hiyo wataangalia kama Yanga anastahili kulipwa au watashikilia msimamo wa TFF kuwa Morrison alikuwa mchezaji huru
[emoji106]CAS hawashughuliki na mambo ya point, wanaangalia maslahi ya mlalamikaji na mlalamikiwa. Ndio maana hukumu zao zote ni kuilazimisha klabu kumlipa mchezaji au kocha hela, mfano Amis Tambwe na Mwinyi Zahera. Kwa hiyo wataangalia kama Yanga anastahili kulipwa au watashikilia msimamo wa TFF kuwa Morrison alikuwa mchezaji huru
Bado hukumu haijatoka tu!
Kesi ilimalizwa vp while Yanga waliendelea na kesi cas,simba ilistahili imsajili morison leo hii baada ya kutoka hukumu ya cas iwapo atashinda,sema kipindi iko kuna walikua serikali na wengine bado wapo serikalini kwa kushirikiana na tff wakajiamulia tu kisiasa kuidhulumu Yanga mchezaji waoNa kweli alishinda, kwa hiyo anticipation yake ilikuwa sahihi. Simba walikuwa smart, walikuja kumtangaza kusajiliwa baada ya kesi yake kumalizwa (fuatilia hilo utajua tarehe aliyotangazwa rasmi)