KUCH KUCH
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 1,327
- 966
Watu wa football km wewe ndio waongeeCAF na FIFA huwa zinawasiliana na klabu au mchezaji kupitia chama cha soka cha nchi husika, mfano TFF. Kwa hiyo mchezaji au klabu haiwezi kuficha taarifa yoyote kutoka CAF au FIFA maana lazima huyo mchezaji au klabu izipate kutoka kwa chama cha soka