Watu wa football km wewe ndio waongeeCAF na FIFA huwa zinawasiliana na klabu au mchezaji kupitia chama cha soka cha nchi husika, mfano TFF. Kwa hiyo mchezaji au klabu haiwezi kuficha taarifa yoyote kutoka CAF au FIFA maana lazima huyo mchezaji au klabu izipate kutoka kwa chama cha soka
Kesi ilimalizwa vp while Yanga waliendelea na kesi cas,simba ilistahili imsajili morison leo hii baada ya kutoka hukumu ya cas iwapo atashinda,sema kipindi iko kuna walikua serikali na wengine bado wapo serikalini kwa kushirikiana na tff wakajiamulia tu kisiasa kuidhulumu Yanga mchezaji wao
Umeme kama ule wa kukalia hamsa hamsa?utaipata tu picha usijali jianadaeni kumlalamikia RAIS WA caf kuanzia septermber maana kwa lile pira kung fu mtakula sana umeme
hapana kama ule wa kupigwa 6-o na raja casablanca au kupigwa 4-1 na gor mahia na rayon ya rwanda
Watu wanachukulia utani ila jaribu kufuatilia hukumu za CAS ndio utakuja kujua vizuri kama Yanga vs B Morrison na Yanga akishinda keshi dhidi ya B Morrison basi Yanga atafungua kesi nyingine dhidi ya TFF kwa sababu Tff ndio walibatilisha mkataba
1. Yanga wanapewa Ubingwa wa Ligi
2. Ubingwa wa Azam
3. Ngao ya Jamii
4. Wanapewa nafasi ya robo fainal iliyofikiwa na simba CAF
5. Wanakuwa kwenye 20 best teams in africa.
6. Wao ndo wanapewa sifa za kucheza soka mujarabu
7. Wanapewa viwanja vya Bunju
N.k
Huyu ni afungiwe kucheza ili ahamie kwenye bangi zake, afu Simba atapishwe ushindi na points zote katika game ambazo Morrison alicheza.Mwisho wa utapeli wa muhindi ni aibu
Acha tuone na hata akirudi sisi hatumtaki
Pale refa anapotaka kuingilia kazi za wanasheria.
vp mbona mme ingia mtini simba mko wapi cas imetambua kuwa alikuwa na mkataba na yanga nini kinafuata please[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]