Mlishatiaminisha kuwa Tanzania hakuna corona mpaka watu wameingiwa na uoga hata kutaja jina .Tuachane nao kivipi? Hali ni mbaya sana.
Inawezekana wakawa ni mapandikizi ya cdm haoHao mawaziri watakuwa wa upinzani, ndo wanaturudisha sana nyuma.
Kwani hiyo ya kutumia nyungu ililetwa kwa wananchi na mawaziri husika?Hivi nyungu inasaidia? Kama haisaidii waziri wa Afya na wizara yake wawe held accountable for misleading the nation, then waweke proper guidelines za kufuata kama nchi nyingine.
Kwani hiyo ya kutumia nyungu ililetwa kwa wananchi na mawaziri husika?
Keep quite.Mlishatiaminisha kuwa Tanzania hakuna corona mpaka watu wameingiwa na uoga hata kutaja jina .
Sasa mnahangaika kitu gani tena?
Achana na mpuuzi huyu.Hukuiona ile picha Waziri na mumewe wakipiga nyunguziiii halafu mazoezi....
Kuamini kua wizara ya afya wanafanya wanayo fanya bila ruhusa ya alfa na omega wa tanganyika, ni matumizi mabaya ya akili.Wana Jf kwa jinsi tulivyo katika kipindi kigumu ambacho kimezua hofu kwa kila mtu ni wazi kuwa Waziri wa afya na naibu wake hawastahili kuwepo kwenye hii nafasi mpaka sasa.
Mwaka jana bila kupepesa macho Dk Faustine Ndugulile alieleza ukweli umma wa Watanzania kuwa kujifukisha hakuwezi kuua wadudu wa Covid 19, hii ni sababu hawa virus wakiingia kwa binadamu huingia moja kwa moja kwenye mfumo wa kupumua( mapafu) hivyo hata ukijifukiza ni ngumu kuwaua huko ndani ya mapafu.
Mwaka huu baada ya dalili kuwa hili janga limerudi Tanzania kwa namna nyingine,maana inadaiwa sasa hivi kirusi cha korona kimejibadili. Tumeshuhudia madaktari wawili ambao wanasimamia wizara ya afya wakisisitiza watu kujifukiza. Je hawa watu kwa nini hawakutoa ushauri wa kitaalamu unaozingatia taaluma yao kama Faustine Ndugulile?
Leo hii toka watoe demostrantion namna ya kujifukiza hali inaonekana kuwa mbaya. Maana vifo vya vigogo mpaka makabwela vinazidi kupamba moto. Na tatizo ni hilo la kukosa uwezo wa kupumua.
Karne ya ishirini na moja kuongozwa na wasomi ambao hawezi kusimamia taaluma yao na kumshauri rais namna ya kukabiliana na magonjwa kisayansi ni aibu kubwa. Mawaziri hawa wawili wasisubiri vifo vya watanzania iwe sababu ya wao kujiuzulu.
Ndungulile alipo shauri nini kilimtokea?Kwa nini wasimshauri kitalaam? Maana ni madaktari.
Tuachane nao?...kwa nn wamekubali dhamana waliyopewa?,...eti tuachane nao,au wao ndo waachie nafasi zaoAchana na watu wanaohangaikia ugali wao hawajali afya za wengine. Uzuri Kovidi haichagui cheo wala rangi inakwenda tu.
Punguza masiharaMbaya kivipi? Mh. Rais amesema hakuna covid nchini, ipo chache, ipo kidogo[emoji23][emoji23][emoji23]
Masihara gani. Nimemnukuu mwenyewe alivyosemaPunguza masihara
Subiri korona ipo mlangoni kwako maana wewe haswa ulikuwa na kiherehere kuwapongeza waliosema kuwa Tanzania hakuna corona.Jikite kwenye mada.
Jiandae kutangulia na sisi tupo tayari kukuimbia mpeleke mpelekeKeep quite.
Tuachane nao kivipi? Hali ni mbaya sana.
🙏Jiandae kutangulia na sisi tupo tayari kukuimbia mpeleke mpeleke
We hujui?Wafukuzwe Kwa kosa lipi?
Hao wameingia juzi,kesi yenyewe ilianza mwaka jana wakati tuna aminishwa kuwa tunafanya maombi ili kuidhibiti korona.Hukuiona ile picha Waziri na mumewe wakipiga nyunguziiii halafu mazoezi....