kushineyBodi ya mikopo wafanye marekebisho.
Fao la kujitoa.
Uhuru wa kujieleza
Marekebisho kwenye bima ya afya maana sa ivi dawa nyingi zimeondolewa
Hapo kwenye katiba mpya kwa hakika ikishabadilika JELA zitajaaa watu.*Katiba mpya
*Kuacha misifa ya kutumbua viongozi majukwaani
*Kuwapa wafanyakazi stahiki zao za nyongeza ya mishahara za miaka yote mitano
CHADEMA Ni SERIKALI? NAJUA CHADEMA NI CHAMA.KAMA WALIKUBALIANA ADHABU NI HIYO KWA WASALITI LAZIMA ITEKELEZWE, NI KAMA CCM WALIVYOMTOSA MBOBEZ MEMBE MAMBO YA VYAMA..
Kama ipi?Sheria zote kandamizi zilizotungwa chini ya utawala wake
Wasiojulikana wapatikane au akamatwe Magu, Siro na DiwaniWengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Mkuu kwa hilo huna haja ya kupendekeza kwa Tundu Lissu!Wasiojulikana wapatikane au akamatwe Magu, Siro na Diwani
Sawa.Nakubaliana na wewe 100%. Tatizo langu kubwa na Magufuli ni kuonea wapinzani na ukosefu wa haki za binadamu kutia ndani uonevu wa polisi na ku-endorse Wsiojulikana. UKkondoa haya he is a very aggressive leader for development. Wasiojulikana amesitisha, labda kwa pressure ya USA, kwa hiyo akiwa reasonable kwa upinzani basi ni kiongozi mzalendo sana.
Mmeulizwa swali sasa badala ya kujibu mnalalmikia issue zingine jibu swaliChuki Mbaya sana
Na Bahati hiyo Hatoipata Ataishia kutumika tu kama Kaptula
******** hashindwi na Lissu..anashindwa na Watanzania wazawa..XenophobiaUmewauliza swali gumu sana Vibendera
Na ngojea uone kama kuna mwenye jambo la Maana toafuti na Ukibendera wao tu
Yaani Magufuli Ashindwe na Lisu kabisa Hizo ni Ndoto za Kichaa
"AKILI NDOGO IKITAWALA AKILI KUBWA NIMMATATIZO* MADINI KWENYE SHIKINGI 100 MNACHUKUA SH 4.WANACHIMBA MADINI MIAKA 100.hahaha kwahio chadema nzima imeamua kuwafukuza kisa wameenda bungeni? kwahio chama kizima hakuna demokrasia basi, una la nyongeza?