Uchaguzi 2020 Itokee Lissu akashinda Urais, akakupa nafasi ya kutoa pendekezo, ni kitu gani alichofanya Magufuli utamwomba akiondoe mara moja?

Uchaguzi 2020 Itokee Lissu akashinda Urais, akakupa nafasi ya kutoa pendekezo, ni kitu gani alichofanya Magufuli utamwomba akiondoe mara moja?

*Katiba mpya
*Kuacha misifa ya kutumbua viongozi majukwaani
*Kuwapa wafanyakazi stahiki zao za nyongeza ya mishahara za miaka yote mitano
Hapo kwenye katiba mpya kwa hakika ikishabadilika JELA zitajaaa watu.
 
CHADEMA Ni SERIKALI? NAJUA CHADEMA NI CHAMA.KAMA WALIKUBALIANA ADHABU NI HIYO KWA WASALITI LAZIMA ITEKELEZWE, NI KAMA CCM WALIVYOMTOSA MBOBEZ MEMBE MAMBO YA VYAMA..

hahaha kwahio chadema nzima imeamua kuwafukuza kisa wameenda bungeni? kwahio chama kizima hakuna demokrasia basi, una la nyongeza?
 
1. Arudishe mabombadier yote aliyonunua magu kwa cash, pesa zetu.
2. Simba wetu aliochukua Serengeti na mwingine kupeleka burigi chato warudishwe kwenye makazi yao ya asili.
3. Uwanja wa ndege chato na traffic lights, magufuli afikishwe mahakamani kujibu shutuma maana ni ufisadi.
4. Magufuli na makonda wafikishwe mahakamani kujibu shutuma kuhusu kutekwa tekwa kwa watu na kupotea kwa watu kama Ben Saanane na kupigwa risasi Tundu Lissu.
5. Ccm wawajibishwe kwa kupakia watu kwenye mafuso kama vile ni mizigo katika ujinga wao wa kutaka kujaza nyomi fake kwenye kampeni zao.
 
Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.

Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Wasiojulikana wapatikane au akamatwe Magu, Siro na Diwani
 
Nakubaliana na wewe 100%. Tatizo langu kubwa na Magufuli ni kuonea wapinzani na ukosefu wa haki za binadamu kutia ndani uonevu wa polisi na ku-endorse Wsiojulikana. UKkondoa haya he is a very aggressive leader for development. Wasiojulikana amesitisha, labda kwa pressure ya USA, kwa hiyo akiwa reasonable kwa upinzani basi ni kiongozi mzalendo sana.
Sawa.
 
Umewauliza swali gumu sana Vibendera
Na ngojea uone kama kuna mwenye jambo la Maana toafuti na Ukibendera wao tu
Yaani Magufuli Ashindwe na Lisu kabisa Hizo ni Ndoto za Kichaa
******** hashindwi na Lissu..anashindwa na Watanzania wazawa..Xenophobia
 
hahaha kwahio chadema nzima imeamua kuwafukuza kisa wameenda bungeni? kwahio chama kizima hakuna demokrasia basi, una la nyongeza?
"AKILI NDOGO IKITAWALA AKILI KUBWA NIMMATATIZO* MADINI KWENYE SHIKINGI 100 MNACHUKUA SH 4.WANACHIMBA MADINI MIAKA 100.
 
Back
Top Bottom