"AKILI NDOGO IKITAWALA AKILI KUBWA NIMMATATIZO* MADINI KWENYE SHIKINGI 100 MNACHUKUA SH 4.WANACHIMBA MADINI MIAKA 100.
Kwani liliwekwa na Wageni!???Hili ndani ya siku 100 za kwanza tunalitoa
Achakutupotezea muda ukijuwa kabisa Tundu hawezi kushinda Urais. Yani ni Bwana mdogo Sana Kwa Magufuli na CCM na yeye anajuwa.Wengi nasikia tu mnasema ooh Magufuli hajafanya lolote, ooh katupiga sana nk. Lakini pale ninapouliza baadhi ya watu kwamba ni kitu gani ambacho amefanya Magufuli ambacho unaona hakifai, wengi wanashindwa kutoa jibu la haraka.
Sasa leo ningependa kuwauliza katika mtandao wa JF, kwamba ikitokea Tundu Lissu anashinda kiti cha uraisi, na akakuambia toa pendekezo ni kitu gani ambacho Magufuli alikifanya nikiondoe au kukikomesha mara moja, utapendekeza nini?
Amendments of Cyber Crime Act, Media Service Act, Electronic Transaction Act, NGO's Act, na nyinginezoKama ipi?
Very good!Amendments of Cyber Crime Act, Media Service Act, Electronic Transaction Act, NGO's Act, na nyinginezo
Kama ingekuwa ni mtihani tungeshafeli wengi. Jamaa kasema " vya kuondoa". Sio kurekebisha wala kuongoza.k
Alikuwa anacopy cha wazunguKamuulize kwanza Zitto, kwa nini alikuwa anashadadia hili suala.