Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Waislam awapuzii ibada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka waweke picha ya yule jamaa alitundikwa msalabani akiwa uchiNajua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Umejuaje kuwa awafungi kutoka moyoni?chuki ni mbaya kuliko ukimwiUdini upo sana, ila ni kwasababu wakristo hasa wakatoliki ambao ndio wenye ukristo wanaojua maana ya kwaresma wamezubaa tu hatupo strong, ila wenzetu japo hawafungi ile kutoka moyoni kabisa na hawabadiliki matendo wala nini ndio wanaojua promo, ukimgusa kidogo anasingizia ramadan, sisi tupotupo tu.
[emoji3581]Hebu lete mchoro kama huo,unaohusu kwaresma.Halafu si mnasema mwafanya ibada kiroho sio kimwili,sasa vipi upewe pongezi za kimwili?.Waislamu wanafanya ibada kiroho na kimwili,ndio ukaona wanapewa pongezi kimwili na kiroho.
Ramadhani inafahamika ulimwenguni kwaresma nihapa bongo tuSasa achana na yanga na Simba mimi nafatilia EPL,Laliga kipindi kwaresma inaanza hawakupost chochote ila Leo na jana Klabu zote Man U,city,Madrid n.k wotee wamepost Ramadan kareem JE NA WAO NI WADINI??
[emoji3581]Nenda kwenye Page ya Manchester United kule insta kaniletee picha ya kwa Resma.
Nipo hapa nakusubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunawaona hawabadiliki tabia.Umejuaje kuwa awafungi kutoka moyoni?chuki ni mbaya kuliko ukimwi
Kakudanganya nani? Google lent utaelewa au kwakuwa hatupayuki kila mahali kama nyie 🤣Ramadhani inafahamika ulimwenguni kwaresma nihapa bongo tu
Skuizi mna chuki ata kututakia tu heri ya sikukuu mnaona nongwa utadhani ndio mmebatizwa🤣 Ila sisi wala!Kwahiyo kumbe desemba maofisi ya serikali yakifungwa miti na majani na taa za kubwinya bwinya ni udini? Manake hatujaona wakifunga kwenye siku za idi
Wacha udini utakonda sana
Heti Miaka ya nyuma akuwepo viashiria via kidini uongo mtupu kazi yenu kulialiatu,serikali ibapo pumzika juma mosi na juma pili wanao enda kuabudu siku hizo ni waisilamu au wakiristo?sikukuu zote za kikiristo maofisi yote ya serikali upwambwa kwa gharama ya serikali wewe ni miongoni mwa wakiristo wajinga sanaUnashangaa nini kama wasemaji wao tu ni wa dini hiyo? Lazima wajitoe ufahamu wadhani club hizo zimejaa wenyewe tu wa dini hiyo. Haya mambo ya dini yameanza kushamiri sana kwenye mambo ya umma tofauti na miaka ya nyuma ilikuwa ni upuuzi kuonesha vimelea vya dini fulani kwenye ofisi au vyombo vya umma vya nchi ambayo inajinasibu haiongozwi kwa misingi ya dini. Siku hizi unakuta vyombo vya habari vya umma vimejazwa vipindi vyenye maudhui ya dini fulani kutamalaki kana kwamba tayari nchi ni ya dini hiyo
Siku 40 mnafunga[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Wewe kua strong unakutafsiri vipi, na kumbuka mfumo wa mfungo wa waislam na wakristo ni tofauti.
Wapo wakristo wanaofunga ten bila ubabaishaji wala posts status, na mfungo wa kikristo sio lazima ufungue kwa pishi zito, mfungo wa kikristo hauna daku na ni siku 40..nk
Ndio maana sio popular sana kwasababu ya ugumu wake.
[emoji3581]Hata haya matimu ya ulaya nayo yana udini saana hayakupost kwaresma ila yamepost Ramadhani.View attachment 2562829View attachment 2562831View attachment 2562832
Mfamaji [emoji24][emoji24][emoji24]Vya kazi gani ndugu,siye funga yetu anaijua aliyejuu [emoji120]hatuhitaj kupiga mbiu ili kuomba futari [emoji28][emoji28]
Ulitakaje?Kushinda na njaa kutwa halafu kudamka alfajiri kujisindilia viazi na uji aka futari [emoji28][emoji28]
mkiguswa kuwa mnaleta udini mpaka sehemu za umma hamuachwi kutoa povu. Acheni udiniHeti Miaka ya nyuma akuwepo viashiria via kidini uongo mtupu kazi yenu kulialiatu,serikali ibapo pumzika juma mosi na juma pili wanao enda kuabudu siku hizo ni waisilamu au wakiristo?sikukuu zote za kikiristo maofisi yote ya serikali upwambwa kwa gharama ya serikali wewe ni miongoni mwa wakiristo wajinga sana
Kwaresma inafahamika tz tu msungu na hayo mambo wapinawapiMANCHESTER UTD, BARCA, LIVERPOOL, AC MILAN, REAL MADRID kama umeona wametoa heri ya Kwaresma niite mbwa nimekaa paleeeeee.
Wakristo mnaichukulia KWARESMA kama kitu cha kawaida na hamkipi uzito kuzidi BIRTHDAY YA YESU na KIFO cha YESU.
Huyo mzee alikuwa muongo alie weka mfumo wa serikali kupumzika siku ya j 2 na j mosi nani?na hizo siku watu wagani wanatumia siku hizo kuabudu?uliwa kujiuliza kwa nini watumishi wa umma wengi wao ni wakiristo?waisilamu wanavumilia mengi kutoka kwenulogic ni kwamba wale ni viongozi wa juu wa kitaifa protocal inawalizimisha kushiriki shughuli za kitaifa hata kama hawaamini dini hiyo ili tu kubalansi mambo na ieleweke ndani ya serikali kuna watu wa imani zote kuu. Hata hivyo mwalimu hakuedekeza udini, aliukemea kila alipopata wasaa wa kuzungumza mambo ya kitaifa