Itoshe kusema Simba na Yanga ni wadini hasa?

Itoshe kusema Simba na Yanga ni wadini hasa?

Kwahiyo kumbe desemba maofisi ya serikali yakifungwa miti na majani na taa za kubwinya bwinya ni udini? Manake hatujaona wakifunga kwenye siku za idi

Wacha udini utakonda sana
 
Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli

Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema

Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Ulitaka waweke picha ya yule jamaa alitundikwa msalabani akiwa uchi
 
Udini upo sana, ila ni kwasababu wakristo hasa wakatoliki ambao ndio wenye ukristo wanaojua maana ya kwaresma wamezubaa tu hatupo strong, ila wenzetu japo hawafungi ile kutoka moyoni kabisa na hawabadiliki matendo wala nini ndio wanaojua promo, ukimgusa kidogo anasingizia ramadan, sisi tupotupo tu.
Umejuaje kuwa awafungi kutoka moyoni?chuki ni mbaya kuliko ukimwi
 
Hebu lete mchoro kama huo,unaohusu kwaresma.Halafu si mnasema mwafanya ibada kiroho sio kimwili,sasa vipi upewe pongezi za kimwili?.Waislamu wanafanya ibada kiroho na kimwili,ndio ukaona wanapewa pongezi kimwili na kiroho.
[emoji3581]
 
Sasa achana na yanga na Simba mimi nafatilia EPL,Laliga kipindi kwaresma inaanza hawakupost chochote ila Leo na jana Klabu zote Man U,city,Madrid n.k wotee wamepost Ramadan kareem JE NA WAO NI WADINI??
Ramadhani inafahamika ulimwenguni kwaresma nihapa bongo tu
 
Kwahiyo kumbe desemba maofisi ya serikali yakifungwa miti na majani na taa za kubwinya bwinya ni udini? Manake hatujaona wakifunga kwenye siku za idi

Wacha udini utakonda sana
Skuizi mna chuki ata kututakia tu heri ya sikukuu mnaona nongwa utadhani ndio mmebatizwa🤣 Ila sisi wala!
 
Unashangaa nini kama wasemaji wao tu ni wa dini hiyo? Lazima wajitoe ufahamu wadhani club hizo zimejaa wenyewe tu wa dini hiyo. Haya mambo ya dini yameanza kushamiri sana kwenye mambo ya umma tofauti na miaka ya nyuma ilikuwa ni upuuzi kuonesha vimelea vya dini fulani kwenye ofisi au vyombo vya umma vya nchi ambayo inajinasibu haiongozwi kwa misingi ya dini. Siku hizi unakuta vyombo vya habari vya umma vimejazwa vipindi vyenye maudhui ya dini fulani kutamalaki kana kwamba tayari nchi ni ya dini hiyo
Heti Miaka ya nyuma akuwepo viashiria via kidini uongo mtupu kazi yenu kulialiatu,serikali ibapo pumzika juma mosi na juma pili wanao enda kuabudu siku hizo ni waisilamu au wakiristo?sikukuu zote za kikiristo maofisi yote ya serikali upwambwa kwa gharama ya serikali wewe ni miongoni mwa wakiristo wajinga sana
 
Wewe kua strong unakutafsiri vipi, na kumbuka mfumo wa mfungo wa waislam na wakristo ni tofauti.
Wapo wakristo wanaofunga ten bila ubabaishaji wala posts status, na mfungo wa kikristo sio lazima ufungue kwa pishi zito, mfungo wa kikristo hauna daku na ni siku 40..nk

Ndio maana sio popular sana kwasababu ya ugumu wake.
Siku 40 mnafunga[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Heti Miaka ya nyuma akuwepo viashiria via kidini uongo mtupu kazi yenu kulialiatu,serikali ibapo pumzika juma mosi na juma pili wanao enda kuabudu siku hizo ni waisilamu au wakiristo?sikukuu zote za kikiristo maofisi yote ya serikali upwambwa kwa gharama ya serikali wewe ni miongoni mwa wakiristo wajinga sana
mkiguswa kuwa mnaleta udini mpaka sehemu za umma hamuachwi kutoa povu. Acheni udini
 
MANCHESTER UTD, BARCA, LIVERPOOL, AC MILAN, REAL MADRID kama umeona wametoa heri ya Kwaresma niite mbwa nimekaa paleeeeee.

Wakristo mnaichukulia KWARESMA kama kitu cha kawaida na hamkipi uzito kuzidi BIRTHDAY YA YESU na KIFO cha YESU.
Kwaresma inafahamika tz tu msungu na hayo mambo wapinawapi
 
logic ni kwamba wale ni viongozi wa juu wa kitaifa protocal inawalizimisha kushiriki shughuli za kitaifa hata kama hawaamini dini hiyo ili tu kubalansi mambo na ieleweke ndani ya serikali kuna watu wa imani zote kuu. Hata hivyo mwalimu hakuedekeza udini, aliukemea kila alipopata wasaa wa kuzungumza mambo ya kitaifa
Huyo mzee alikuwa muongo alie weka mfumo wa serikali kupumzika siku ya j 2 na j mosi nani?na hizo siku watu wagani wanatumia siku hizo kuabudu?uliwa kujiuliza kwa nini watumishi wa umma wengi wao ni wakiristo?waisilamu wanavumilia mengi kutoka kwenu
 
kama sisi wakristo wenyewe hatuizingatii kwanini wao waizingatie, Krwarezma bado tunakula bia asubuh had Jion
 
Back
Top Bottom