Sensa umefanya lini?Inawezekana kwaresma haifahamiki vyema kutokana na kutukuzwa na jamii ya wakristo wa kikatoliki. Jamii ya wakristo duniani ni wengi kuliko waislam. Si wakristo wote wanaotambua kwaresma kama ilivyo kwa waislam wote kwa ujumla kuitukuza ramadhan. Acheni wapeane heri maana ni wachache duniani
Maneno kibao lakin ni porojo tu acha bangi narudiahiyo ni timu ya england wewe hujui dhehebu kuu linaongoza taifa hilo ni lipi? Umekariri kwaresma kuwa inaadhimishwa na wakristo wote. Kuna wakristo hawajui hicho ni kitu gani. Labda nikusaidie ufahamu kuwa kwaresma ni kwa wakatoliki na wenye mafundisho yanayofanana na wakatoliki. We ni muislam gani usiyejua dini na madhehebu yaliyopo duniani? Kama ya dunia huyajui unawezaje kuyajua ya nchini mwako? Nadhani hutoshi kuwa muislam bali ulizaliwa ukajikuta ni mwislam ukaridhika na uislam na kuifanya akili yako isipanuke kujua nadharia za dini zote zilipo duniani malengo yake ni nini hasa
acha udini ili uwe na akili huruSensa umefanya lini?
NdioSiku 40 mnafunga[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ila misosi ndo wanaifaidi kwakweli, dhana ya mfungo wa waislam na wakristo ni tofauti kabisa kabisa.Hawafungi wale, ni mwezi kulakulaa, focus ni kula kula tu ndio maana ata bei ya vyakula hupanda. Wapo kimsosi zaidi sio kiroho.
KAFIRI weweNajua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Wakristo hatujali sana,na wala hatuna muda wa kufuatilia hayo mamboNajua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792
Inaitwa Daku, inaliwa chaap na kufuta mdomo kabla ya 10 alfajiri jombaKushinda na njaa kutwa halafu kudamka alfajiri kujisindilia viazi na uji aka futari [emoji28][emoji28]
Najua jf hawapendi muda mwingine tuseme ukweli hasa unaohusu dini ila hili ni kweli
Wakristo walivyoanza kufunga hizi club pendwa hazikutoa post yoyote ya kuwatakia kwaresma njema
Ila waislamu baad ya kuanza kufunga wote wamewatakia mfungo mwema
Huu ni ubaguzi
Hata kama hizi club asili yake ni kariakoo eneo lenye waislamu wengi
Hata kama waweka pesa ni waislamu ila club zina rundo la wanachama na mashabiki wakristoView attachment 2562792Wakristu hatufungi ila tuna kipindi cha kwarezima elewa hilo, so it is not famous kama hawa suruali fupi.
Hapana siyo kweli, sema hivi waislamu mnapenda attention sanaKitu Cha kufahamu wewe mtoa mada ni kwamba, Dini ya kiislam inanguvu Kubwa kama nguvu ilizonazo hizo Timu.
Huwezi fananisha Uislam na dini yoyote Tz hii.
Huu ndio Ukweli kama hutaki basi
Mtoa mada umeulizwa Chelsea na Manchester united ni Dini ganiHapana siyo kweli, sema hivi waislamu mnapenda attention sana
Nyambafu....Haya mambo yakifumbiwa macho yatazoeleka na kuonekana ni ya kawaida na kuenea katika sekta zote za umma kana kwamba nchi ni ya kiislam. Upuuzi huu ulikemewa sana miaka ya nyuma hakukuwa na unasibishaji wa dini yoyote katika mambo ya umma. Sasa hivi watu hawana aibu wanashirikisha wenzao katika ibada zao mahali pasipo pake. Mara walishe watu futari, mara chinja isiyoeleweka malengo yake ni nini, ili mradi tu watu wote washirikishwe ibada zao kinamna bila kutumia nguvu. Haya mambo ya dini yalibaki hukohuko wanakoabudia, walipeana salamu zao hukohuko wanakokutania. Ofisi za umma kujazwa ibada za dini fulani huko ni kupotoka na ni hatari kwa mshikamano wa kitaifa uliojengwa tangu awali na wasisi wa taifa hili
povuNyambafu....
Umbwa weweKAFIRI wewe
yule aliyeliwa mkono na nguruweUlitaka waweke picha ya yule jamaa alitundikwa msalabani akiwa uchi
gsm uyo uliambiwa eti wachezaji waliofanikiwa sana Tz ni waislamu ndio akaamua na yeye abadiliNi kweli kuna Udini mkubwa, angalia wameanza kuwarubuni vijana wadogo wa kikristo wabadili dini au kuwasilimisha kilaghai
Ukristo ulaya na marekani unapumulia mashine. Wazungu suala la dini wamelitupilia mbali sana.MANCHESTER UTD, BARCA, LIVERPOOL, AC MILAN, REAL MADRID kama umeona wametoa heri ya Kwaresma niite mbwa nimekaa paleeeeee.
Wakristo mnaichukulia KWARESMA kama kitu cha kawaida na hamkipi uzito kuzidi BIRTHDAY YA YESU na KIFO cha YESU.
Kuna hotuba? kanisa gani? maneno ya vijiweni kama story za kwenye kitabu chenuUliwahi kukemea Hotuba za MAKANISANI kila JUMAPILI?