Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

Tunajionea, wizi, utapeli, ushirikina, ushoga, kuharibu watoto kulikoenea makanisani, dunia nzima.

Unangoja nini kwenda msikitini kutubu moja kwa moja kwa Muumba wako?
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Rashid wa Kawe anasemaje?
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini
Watoto wa KAMBO wanadekezwa sana🤣🤣
 
Bado haijafiikia huko lakini In shaa Allah ifikie ndiyo kitaeleweka.
Haitakaa itokee huwajui wazungu wewe. Huyu mwarabu kawekwa kumzuia mchina. Ulipolala mzungu alishaamkia hapo jana. Ndio maana Zanzibar haiwez kutoka mikononi mwa Tanganyika sio kwasababu ya Tanganyika ila mzungu hawez kuruhusu.
 
Basi huna akili? Sasa unashangaa DAR kuwa na misikiti MINGI? Kwa Taarifa yako, DAR ni moja ya mikoa ambayo majority ni WAISLAM na utamaduni wao ni huo wa KIISLAM kwa sehemu kubwa.

Inashangaza MBEYA kila hatua 3 kuna KANISA na hakuna malalamiko, wakati mwingine mjue kuna kanda ziko DOMINATED na WAISLAM KWA ZAIDI YA 90% hivyo ujenzi wa misikiti ni kawaida.

DAR, TANGA, LINDI, TABORA, MTWARA, MOROGORO, PWANI hayo maeneo MISIKITI ni MINGI kuliko MAKANISA

Niliwai kwenda iringa sehem inaitwa udekwa,huko shule ya serikali ina kamradi cha kufuga nguruwe...na walichinja nguruwe kwa ajili yetu wageni,mie muislam nikapiga zangu maharage ya mchemsho na ugali bila malalamiko yeyote kwa kua eneo hilo ni wakristo wanakaa,,,ila ningekua na chuki kama za mleta mada bhc lile swala lisingeishia pale [emoji81][emoji81]
 
Haitakaa itokee huwajui wazungu wewe. Huyu mwarabu kawekwa kumzuia mchina. Ulipolala mzungu alishaamkia hapo jana. Ndio maana Zanzibar haiwez kutoka mikononi mwa Tanganyika sio kwasababu ya Tanganyika ila mzungu hawez kuruhusu.
Masikini ya Mungu nwkuhurumia sana kwa kujazwa ujings ukskujss, jionee Mzungu anafanya nini sasa hivi 👇🏾

Marekani: Jinsi kanisa lililotelekezwa la New York liligeuka kuwa kituo cha jumuiya ya Waislamu​

Bibi Esahack anatekeleza maono yake kwa ajili ya kituo cha jumuiya huko Brooklyn, New York, ambacho kinalenga kusaidia vizazi vijavyo vya jumuiya ya Kiislamu.
Kanisa lililotelekezwa liligeuzwa kuwa kituo cha jamii ya Waislamu.

Kanisa lililotelekezwa huko Brooklynn huko New York liligeuzwa kuwa kituo cha jamii ya Waislamu (Zainab Iqbal/MEE)
 
Mbona ulalamiki kuhusu uwepo wa bar.
Watu wakifanya ibada inakukera Nini.
Pana siku mmoja alilalamika mbona airport hakuna prayers room za Wakristo zipo za waislamu.
Hapa ni ishu ya nature ya ibada, Mkristo haitaji prayers rooms akiwa safarini tofaut na Muislamu,vitu vingine Huwa Sio logic kuhoji
 
Iweje kwenye maeneo ya serikali ijengwe misikiti? Soko la kukaangia samaki Ferry kuna msikiti, nanunaendelea kujengwa.

Mwenge kuna msikiti uliojengwa tangu miaka ya 1974, lakini serikali inajenga msikiti mwingine hapo kwenye stand mpya ya daladala. Umbali kutoka msikiti mkubwa hadi huo msikiti mpya hata mita 100 hazifiki.

Badala ya serikali kujikita kwenye kuboresha miundombinu, yenyewe imekuwa busy na shughuli za kidini


Na nyie mjenge kanisa hapohapo.
 
Back
Top Bottom